Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί Ooooh nimekwisha mimi....
😁😁😁 Hainaga vipimo chuki chuki...
Nipe 1.5M yaani nahama mpaka jf humu πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
kumbe ndo nyingi ivo,,bas wacha mm ni log out kwa mwaka 1 assee😁😁😁
 
Uliyo yaeleza Mimi nishuhuda mke wangu amekua msaada mkubwa kwangu
 
Hivi uko kwenye ndoa hizi changamoto za afya huwa zinatupata wanaume tu? Maana naona mara zote vitisho vinaelekezwa kwetu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…