Sidhani kama watoto wa MO au Bakhresa wanajuta kuzaliwa kwenye familia zao πŸ€”

Sidhani kama watoto wa MO au Bakhresa wanajuta kuzaliwa kwenye familia zao πŸ€”

KIDUME20

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2023
Posts
1,951
Reaction score
4,540
Wadau za saizi nipo hapa bed nimejilaza na shida zangu tu

Nikafikiri 97% ya shida zangu ninazopitia ni kwasababu sijatokea kwenye familia tajiri bali yenye hela

Nikawaza hivi wakina MO au Bakhresa watoto wao wanajisikiaje kuwa na wazazi kama hao πŸ€” maana chapaaa money πŸ’°πŸ€‘πŸ’΅πŸ’ΈπŸ’·πŸ’ΆπŸ’·πŸ’ΈπŸ’΅ inasoma vyedi

1.) Ma rolls royce, bentley, g wagon yamepakiamo kwenye parking wengine hata baiskeli hatuna πŸ˜’πŸ˜“

2.) Kila siku watu wanaingiza billion 3.5 kama faida daaaah 😒 wengine budget ni 3500 daily πŸ˜“

3.) Watoto wanaenda shuleni na ma V8 wengine tunategemea daladala πŸ˜“

4.) Watoto Wanaenda pizza hut na kfc kama wanavyoenda chooni wengine tunakula kwa mama ntilie vyakula vya 1500 na bado vinatutoa jasho πŸ˜’πŸ˜“

5.) Watoto wanasoma shule zenye gharama ya millioni 91 kwa mwaka wengine tunasoma za 500k tena kwa mbinde πŸ˜“πŸ˜’

6.) Watoto wanakataa scholarship na kazi mambele zenye mshiko wanarudi kuendeleza biashara za familia wengine tunasoma tunafaulu lakini hatujui kesho yetu tunasukumana πŸ˜“πŸ˜’

7.) Watoto wanadate na wanawake wa hadhi za juuu na kuhonga million 50 nikitu cha kawaida sana wengine mademu zetu ni chaputa au tubahatishe wengine wakitukubali (wake za watu) 😊

8.) Watoto wamezaliwa kwenye utajiri sisi wengine tumezaliwa kwenye hela tu maana hata 50 ni hela πŸ˜“πŸ˜’

Itoshe tu kusema moyo unavuja damu kwa maisha haya niliyozaliwa nayo sina chakufanya maana siwezi kurudi nyuma ya muda lakini naapa wanangu hawatapitia huu ukurumbembe ninaopitia

Haiwezekani kwenye ukooo wote hamna tajiri hata 1 hii ni aibu ni aibu kuliko neno lenyewe aibu

Nisipopata utajiri ni bora nizikwe na shahawa zangu tu kuliko kutungisha mimba na mwanangu aishimo kwenye hili dimbwi la umasikini

Najua kuna watu mtakuja kunibeza hapa na kunisema ooh rizika na ulichonacho weeee weeee weeee weee nyamaza kabisa

wivu wa maendeleo ni muhimu sana

Hapa chini ni baadhi ya picha kuwasilisha uzi.

download.jpeg
images (1).jpeg
 
Yesu kwanini aliishi kimaskini na sio kitajiri
Ushajiuliza hili?
Bro mimi nasoma bible daily najua hilo ila Yesu ni mtoto wa Mungu alikuwa na probability ya 100 ya kuwa tajiri na kuenda mbinguni sasa mimi naweza kuwa masikini na kuenda motoni imagine duniani mateso na mbinguni nako mateso what is this bro what is this πŸ˜’πŸ˜“πŸ˜“πŸ˜“
 
Unaweza kukuta hata mshua wako nae analalamika,kwanini hakumzaa mtoto kama Mbwana Samata?


πŸ˜€πŸ˜€
Daaah πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† wapi ww biblia inasema mzazi bora huacha urithi hadi kwa wajukuuu mi sijarithi chochote napambana tu sina uhakika wa maisha mkuuuu

Na kila mtu anakipaji chake wengine ni kusoma na kupambana sio mpira
 
The beauty of life is in our differences.

Huko utakuta kuna dogo kazila hataki iphone ya silver anataka nyeusi
Daaaah acha tu mi najuta kwakweli najuta wazazi kutoniandalia mazingira bora ya kutoboa maisha hapa chuoni nasoma tu ili mradi nifaulu

Wakina (kinana,Kikwete, Bakhresa, mo, gsm, samia, pinda, n. K) watoto wao wana uhakika wa maisha hata wakisoma mazingira ni mazuri na koneksheni ni kibao tu

Sisi wengine sijui itakuwaje πŸ˜“πŸ˜’
 
Hizi familia hazina uhuru ni privacy 95%
Bro uhuru wa nn we kama mtu ana uhakika wa kulambishwa asali mkuuu privacy its not an issue

Watoto wana njia nyingi za kutoboa maisha sisi wengine ni kituko tu hatujui hata kesho yetu ipoje tunasoma na kufaulu koneksheni hamna bora hata babaangu angetumia kondom tu ningeshatupwa huko kwenye dustbin

Daah acha tu aseee umasikni ni mbaya sana πŸ˜“
 
Back
Top Bottom