Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemlaumu sana tuUnatakiwa kumlaumu aliyekutoa kiunoni mwake
Asante mkuyySasa sikia ndugu yangu masikini tupo kukumbusha matajiri kwamba utajiri ni neema na sio wa wote
Tajiri akitaka kua masikin anaweza
Ila sisi mafukara hata ukitaka kuigiza utajiri ndo utakosa hata hela ya kula
Tatizo sio umasikini, tatizo ni wewe kua kwenye hilo kundi la masikini wa mfano[emoji3]Sasa sikia ndugu yangu masikini tupo kukumbusha matajiri kwamba utajiri ni neema na sio wa wote
Tajiri akitaka kua masikin anaweza
Ila sisi mafukara hata ukitaka kuigiza utajiri ndo utakosa hata hela ya kula
We ata kwenye vitabu vya dini,masikini walikuwa watumwa....Turidhike na majaaliwa ya mwenye-enzi Mungu, hizo ni kudra zake.
Daah hapo ndo mawazo ya kujiua huwa yaja sasa au ujilipue tu kwa shetani daaah Mungu aturehemu tu 😔mimi ni moja kati ya watu ambao marafiki zangu wengi tuluosoma primary, secondary adi chuo na ata wale tuliokuwa pamoja street wengi wao wamefanikiwa kiuchumi tena pakubwa mno. wanamiliki biashara kubwa, magari na majumba, mim bado aisee dunia hii
hahahahahahahaaa Alooooo umetisha mzeeA foolish Man Always complains that his pocket has holes, But a wise man use the hole in his pocket to scratch his private part.
‌
Watoto wanaweza kuwa wanajuta kwasababu wanafungiwa getini hawapati kucheza na majirani kama sisi tulivyocheza kombolela na kujifunza kudinyana humo humo kwenye kibaba baba na kimama mama.Wadau za saizi nipo hapa bed nimejilaza na shida zangu tu
Nikafikiri 97% ya shida zangu ninazopitia ni kwasababu sijatokea kwenye familia tajiri bali yenye hela
Nikawaza hivi wakina MO au Bakhresa watoto wao wanajisikiaje kuwa na wazazi kama hao 🤔 maana chapaaa money 💰🤑💵💸💷💶💷💸💵 inasoma vyedi
1.) Ma rolls royce, bentley, g wagon yamepakiamo kwenye parking wengine hata baiskeli hatuna 😢😓
2.) Kila siku watu wanaingiza billion 3.5 kama faida daaaah 😢 wengine budget ni 3500 daily 😓
3.) Watoto wanaenda shuleni na ma V8 wengine tunategemea daladala 😓
4.) Watoto Wanaenda pizza hut na kfc kama wanavyoenda chooni wengine tunakula kwa mama ntilie vyakula vya 1500 na bado vinatutoa jasho 😢😓
5.) Watoto wanasoma shule zenye gharama ya millioni 91 kwa mwaka wengine tunasoma za 500k tena kwa mbinde 😓😢
6.) Watoto wanakataa scholarship na kazi mambele zenye mshiko wanarudi kuendeleza biashara za familia wengine tunasoma tunafaulu lakini hatujui kesho yetu tunasukumana 😓😢
7.) Watoto wanadate na wanawake wa hadhi za juuu na kuhonga million 50 nikitu cha kawaida sana wengine mademu zetu ni chaputa au tubahatishe wengine wakitukubali (wake za watu) 😊
8.) Watoto wamezaliwa kwenye utajiri sisi wengine tumezaliwa kwenye hela tu maana hata 50 ni hela 😓😢
Itoshe tu kusema moyo unavuja damu kwa maisha haya niliyozaliwa nayo sina chakufanya maana siwezi kurudi nyuma ya muda lakini naapa wanangu hawatapitia huu ukurumbembe ninaopitia
Haiwezekani kwenye ukooo wote hamna tajiri hata 1 hii ni aibu ni aibu kuliko neno lenyewe aibu
Nisipopata utajiri ni bora nizikwe na shahawa zangu tu kuliko kutungisha mimba na mwanangu aishimo kwenye hili dimbwi la umasikini
Najua kuna watu mtakuja kunibeza hapa na kunisema ooh rizika na ulichonacho weeee weeee weeee weee nyamaza kabisa
wivu wa maendeleo ni muhimu sana
Hapa chini ni baadhi ya picha kuwasilisha uzi.
View attachment 2571499View attachment 2571500
Yesu aliishi kimasikini ndomaana wazazi wake walitoa sadaka ya njiwa wawili badala ya kondoo kwasababu hawakuwa na uwezo wa kondoo (Walawi 12:6, na Luka 2:22-24)Kasome tena ujue why hakuzaliwa hosp., wazazi walikuwa na uwezo sana tu ila hakukuwa na nafasi(vyumba) KABISA kwani vyote vilikuwa booked tayari. Acha kupotosha, soma uelewe!.
A foolish Man Always complains that his pocket has holes, But a wise man use the hole in his pocket to scratch his private part.
‌