Sidhani kama watoto wa MO au Bakhresa wanajuta kuzaliwa kwenye familia zao 🤔

Sidhani kama watoto wa MO au Bakhresa wanajuta kuzaliwa kwenye familia zao 🤔

Ndio maana nasema humu kwenye mitandao ukiona Mtu ana matusi sanaa ujue anaishi maisha ya kipweke na hayupo happy na maisha yake,
Watu wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kutukana watu, kudhalilisha watu wakiamini watapunguza machungu wanayopitia kumbe ndio kwanza wanaongeza, guilty + Karma.....

Kwanini nimeanza na hayo, umekua ukinitukana sana kwenye kila comment na alhamdulillah sijawahi kukujibu sababu nilijua fika unapitia kipindi kigumu kwa hiyo unatafuta mtu wa kummwagia nyongo, mara ya mwisho ulipigwa ban kwa matusi uliyonimwagia ulivyorudi ukabadili id name....

Nikushauri tu ndugu yangu, humu kwenye mitandao ukiitumia vizuri utapata connection, utapata marafiki, utapata ndugu, haijalishi unapitia magumu kiasi gani, jaribu kua humble na ukiona kuna fursa fulani mfate mtu muulize kiungwana kwa kua file lako litasoma vizuri unajikuta unapata connection na mambo yanafunguka....

Kama unahisi unatatizo lolote la kisaikolojia, tafadhali wasiliana na mimi, naweza kukusaidia.

Hahah dah! Kumbe ndio hivyo.

humu mitandaoni utakuta mtu anakushambulia hadi unabaki unashangaa vipi?

Kumbe tatizo ni psychology
 
Hahah dah! Kumbe ndio hivyo.

humu mitandaoni utakuta mtu anakushambulia hadi unabaki unashangaa vipi?

Kumbe tatizo ni psychology
Acha tu best,
Mtu anaweza kukukalia kooni hadi mwenyewe ukahisi labda kuna kitu uliwahi mtendea kwenye past life, kumbe hata hamjuani.
 
kumbe upo chuo basi ndo maana hata ukafikiria kufungua thread hii.

Usipende kutaman vitu vya wenzako sababu hio ni dhambi.

Hv ushajiuliza kama duniani kila mtu angekua hao ulowataja tungeishije?

Inabidi uanze dozi ya meditation upate enlightenment juu ya maisha yako ni nn na kutambua purpose yako, ukifanya hvyo hutokaa unasononeka kwa mambo madogo kama haya.
Kuteseka sio sifa...hakuna ugongwa mbaya kama UMASIKINI
 
Wadau za saizi nipo hapa bed nimejilaza na shida zangu tu

Nikafikiri 97% ya shida zangu ninazopitia ni kwasababu sijatokea kwenye familia tajiri bali yenye hela

Nikawaza hivi wakina MO au Bakhresa watoto wao wanajisikiaje kuwa na wazazi kama hao [emoji848] maana chapaaa money [emoji383][emoji857][emoji385][emoji389][emoji386][emoji387][emoji386][emoji389][emoji385] inasoma vyedi

1.) Ma rolls royce, bentley, g wagon yamepakiamo kwenye parking wengine hata baiskeli hatuna [emoji22][emoji29]

2.) Kila siku watu wanaingiza billion 3.5 kama faida daaaah [emoji22] wengine budget ni 3500 daily [emoji29]

3.) Watoto wanaenda shuleni na ma V8 wengine tunategemea daladala [emoji29]

4.) Watoto Wanaenda pizza hut na kfc kama wanavyoenda chooni wengine tunakula kwa mama ntilie vyakula vya 1500 na bado vinatutoa jasho [emoji22][emoji29]

5.) Watoto wanasoma shule zenye gharama ya millioni 91 kwa mwaka wengine tunasoma za 500k tena kwa mbinde [emoji29][emoji22]

6.) Watoto wanakataa scholarship na kazi mambele zenye mshiko wanarudi kuendeleza biashara za familia wengine tunasoma tunafaulu lakini hatujui kesho yetu tunasukumana [emoji29][emoji22]

7.) Watoto wanadate na wanawake wa hadhi za juuu na kuhonga million 50 nikitu cha kawaida sana wengine mademu zetu ni chaputa au tubahatishe wengine wakitukubali (wake za watu) [emoji4]

8.) Watoto wamezaliwa kwenye utajiri sisi wengine tumezaliwa kwenye hela tu maana hata 50 ni hela [emoji29][emoji22]

Itoshe tu kusema moyo unavuja damu kwa maisha haya niliyozaliwa nayo sina chakufanya maana siwezi kurudi nyuma ya muda lakini naapa wanangu hawatapitia huu ukurumbembe ninaopitia

Haiwezekani kwenye ukooo wote hamna tajiri hata 1 hii ni aibu ni aibu kuliko neno lenyewe aibu

Nisipopata utajiri ni bora nizikwe na shahawa zangu tu kuliko kutungisha mimba na mwanangu aishimo kwenye hili dimbwi la umasikini

Najua kuna watu mtakuja kunibeza hapa na kunisema ooh rizika na ulichonacho weeee weeee weeee weee nyamaza kabisa

wivu wa maendeleo ni muhimu sana

Hapa chini ni baadhi ya picha kuwasilisha uzi.

View attachment 2571499View attachment 2571500
Mtoa mada una mawazo kama yangu. Sioni maana ya kuzaa na watoto waje kuishi maisha ya kubahatisha kama yangu.

Niliwahi kuwapa watu huu msimamo wangu wakanipinga sana na kunihoji, je, mzazi wangu angekua na mawazo kama yangu mm ningezaliwa? Nilikua mpole sana
 
Mtoa mada una mawazo kama yangu. Sioni maana ya kuzaa na watoto waje kuishi maisha ya kubahatisha kama yangu.

Niliwahi kuwapa watu huu msimamo wangu wakanipinga sana na kunihoji, je, mzazi wangu angekua na mawazo kama yangu mm ningezaliwa? Nilikua mpole sana
Acha tu mi najuta kwakweli mkuu najuta sana siku niliyozaliwa mkuuu acha kabisa hamna kitu kinauma kama watoto wenzako wana maisha mazuri na uhakika wa kutoboa mi nipo nipo tu hapa 😭😭😭😭😭 najuta sana hii kitu
 
Acha tu mi najuta kwakweli mkuu najuta sana siku niliyozaliwa mkuuu acha kabisa hamna kitu kinauma kama watoto wenzako wana maisha mazuri na uhakika wa kutoboa mi nipo nipo tu hapa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] najuta sana hii kitu
Usijute mkuu. Umaskini tumezaliwa nao, pambana
 
Ndio maana nasema humu kwenye mitandao ukiona Mtu ana matusi sanaa ujue anaishi maisha ya kipweke na hayupo happy na maisha yake,
Watu wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kutukana watu, kudhalilisha watu wakiamini watapunguza machungu wanayopitia kumbe ndio kwanza wanaongeza, guilty + Karma.....

Kwanini nimeanza na hayo, umekua ukinitukana sana kwenye kila comment na alhamdulillah sijawahi kukujibu sababu nilijua fika unapitia kipindi kigumu kwa hiyo unatafuta mtu wa kummwagia nyongo, mara ya mwisho ulipigwa ban kwa matusi uliyonimwagia ulivyorudi ukabadili id name....

Nikushauri tu ndugu yangu, humu kwenye mitandao ukiitumia vizuri utapata connection, utapata marafiki, utapata ndugu, haijalishi unapitia magumu kiasi gani, jaribu kua humble na ukiona kuna fursa fulani mfate mtu muulize kiungwana kwa kua file lako litasoma vizuri unajikuta unapata connection na mambo yanafunguka....

Kama unahisi unatatizo lolote la kisaikolojia, tafadhali wasiliana na mimi, naweza kukusaidia.
Daaaah 😁😁😁😁😁😅😅😅
 
Back
Top Bottom