Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Nakukemea! Acha upotoshaji. Hakuna maandiko yasemayo Yesu alikuwa MASIKINI, wala aliishi kimasikini. Msipotoshe vijana!.Yesu kwanini aliishi kimaskini na sio kitajiri
Ushajiuliza hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakukemea! Acha upotoshaji. Hakuna maandiko yasemayo Yesu alikuwa MASIKINI, wala aliishi kimasikini. Msipotoshe vijana!.Yesu kwanini aliishi kimaskini na sio kitajiri
Ushajiuliza hili?
Uhuru upi mzeeHizi familia hazina uhuru ni privacy 95%
Usiseme hivyo mwanangu! Unataka kuniliza sasa.Bro uhuru wa nn we kama mtu ana uhakika wa kulambishwa asali mkuuu privacy its not an issue
Watoto wana njia nyingi za kutoboa maisha sisi wengine ni kituko tu hatujui hata kesho yetu ipoje tunasoma na kufaulu koneksheni hamna bora hata babaangu angetumia kondom tu ningeshatupwa huko kwenye dustbin
Daah acha tu aseee umasikni ni mbaya sana [emoji29]
Akitaka tunasema asipotaka tunasemaMzee mwenzangu kwa umri wote wako huo hujajua tu kusoma kwa ufahamu na kufuata maelekezo? Amekuambia hataki kusikia hayo maneno ya 'majaliwa tu ni mapenzi ya Mungu'
Maisha hayajawahi kuwa rahisi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Kuna wakati tunapata nafuu tunajisahau tu.Nimeshuhudia kenya wakiandama sababu ya ugumu wa maisha sasaivi ndo ninaelewa sasa hiyo spirit lazima mtu uwe nayo aseee daaaah 😓😓😓😓
Ata matajiri wa kubwa wana changamoto ambazo hela haziwezi tatua. Muacheni Mungu aitwe MunguKuna kaukweli ndani yake kdg 🤔🍯
Steve Jobs, founder of Apple alisema at his expensive death bed, pesa zake zilishindwa kumuondolea maumivu, achilia mbali kifo kilichokua dhahiri na shahiri.Hii level natamani sana niifikie aseee
Kuwa na shida ambayo hela haitatui ili nimjue Mungu vixuri 😁😁😁
Duuh ni kweli mkuuu lkn kuna matajiri wana kula bata aseeee we acha tu 😔😔Steve Jobs, founder of Apple alisema at his expensive death bed, pesa zake zilishindwa kumuondolea maumivu, achilia mbali kifo kilichokua dhahiri na shahiri.
Tumuombe Mungu afya njema na hekima.Duuh ni kweli mkuuu lkn kuna matajiri wana kula bata aseeee we acha tu 😔😔
Anyway na mimi muda wangu utafika acha nipambane na masomo tu 😁😁😁
A foolish Man Always complains that his pocket has holes, But a wise man use the hole in his pocket to scratch his private part.
Well said 💯💯💯Well said kabisa...kwenye swala la kuwa na mtoto halafu anpitie hustle kama zako ulizopitia hicho kitu sitokuja kufanya...ni bora nisiwe tu na hao watoto...nitakuwa ni failure kabisa...
Mimi sitaki kuwa tajiri, ila nataka nifikie kiwango ambacho chochote ninacho kitaka nakipata kwa wakati.