Uchaguzi 2020 Sifa Bora alizonazo Tundu Lissu zitakazomfanya kuwa Rais wa JMT

Uchaguzi 2020 Sifa Bora alizonazo Tundu Lissu zitakazomfanya kuwa Rais wa JMT

Sina haja ya kusoma thread yako. Ila kama kweli unadhani Tundu Lissu anaweza kuwa Rais wa Nchi hii especially 2020 basi inatakiwa tukukute Mirembe
Nikukute milembe ulikotangulia?? Vipi dose yako umemaliza? Sio kila kitu lazima ukomenti mkuu vingine upite tu wenye akili watasoma vizuri.
 
Tulipata janga kama taifa baada ya kuongozwa na Mh Rais Magufuli ambaye aliokota urais kama embe chini ya mnazi kwa kupewa na wale wanaoitwa wenye nguvu. Matokeo yake nchi imekuwa ni vilio vitupu, hali mbaya ya uchumi na uliopo kuwa wa makaratasi tu. Hali mbaya ya amani, upendo kufifia na hofu kutawala nchini. Sasa kila mtu anahaha namna ya kumwondoa huyu aliyeshika mizizi pasipo kuwa na mvuto kwa watanzania. Mwaka 2015 nchi yetu iliingia katika janga la kiurais kwa kumpata Rais asiyekuwa na uwezo wa kudumisha utawala wa kisheria, kuheshimu katiba na uhuru wa kisisasa, Kiuchumi na kijamii.
Aya inayojitosheleza ni hii hapa mkuu 'Pythagoras'.

Tundu Lissu, hata asipokuwa na uwezo wa kujua uchumi (Magufuli anajua nini kuhusu uchumi)..., lakini akawa ni kiongozi anayeheshimu haki za raia wake, utawala wa sheria, akafuata maelekezo ya Katiba, mambo yote ambayo Lissu tayari anayo; haya yanampa sifa kubwa ya kuwa kiongozi wa nchi hii.

Ukitaka kujua ubovu wa uongozi wa Magufuli, tazama teuzi zake na kasi ya utumbuaji. Hii ni ishara kamili kwamba sio kiongozi mzuri. Ina maana watu anaowateua, halafu mara moja akawaona wabovu, hiyo ni alama ya ubovu wa uongozi wake.

Kiongozi mzuri huchambua sifa anazozitaka kwa wateule anaowaweka, hawezi kuwa anabahatisha kila mara kama anavyofanya Magufuli katika ngwe yake hii ya miaka mitano.

Sifa mbaya kabisa itakayokuja kumdidimiza kabisa Magufuli hata asitambulike kuwa kiongozi wa nchi, ni huku kung'ang'ania atakakotaka kukufanya ili abaki madarakani licha ya wapiga kura kumkataa.

Hili litakuja kumwondolea sifa zote, hata katika mambo mazuri aliyojaribu kuyafanya ndani ya miaka mitano hii.
 
Aya inayojitosheleza ni hii hapa mkuu 'Pythagoras'.

Tundu Lissu, hata asipokuwa na uwezo wa kujua uchumi (Magufuli anajua nini kuhusu uchumi)..., lakini akawa ni kiongozi anayeheshimu haki za raia wake, utawala wa sheria, akafuata maelekezo ya Katiba, mambo yote ambayo Lissu tayari anayo; haya yanampa sifa kubwa ya kuwa kiongozi wa nchi hii.

Ukitaka kujua ubovu wa uongozi wa Magufuli, tazama teuzi zake na kasi ya utumbuaji. Hii ni ishara kamili kwamba sio kiongozi mzuri. Ina maana watu anaowateua, halafu mara moja akawaona wabovu, hiyo ni alama ya ubovu wa uongozi wake.

Kiongozi mzuri huchambua sifa anazozitaka kwa wateule anaowaweka, hawezi kuwa anabahatisha kila mara kama anavyofanya Magufuli katika ngwe yake hii ya miaka mitano.

Sifa mbaya kabisa itakayokuja kumdidimiza kabisa Magufuli hata asitambulike kuwa kiongozi wa nchi, ni huku kung'ang'ania atakakotaka kukufanya ili abaki madarakani licha ya wapiga kura kumkataa.

Hili litakuja kumwondolea sifa zote, hata katika mambo mazuri aliyojaribu kuyafanya ndani ya miaka mitano hii.
Yor are right. He is not settled. Maamuzi yake Jpm ni ya kukurupuka ndio maana leo teua kesho tumbua. Hajui anachotaka.

Lissu ndio pekee mgombea bora mwaka 2020.
 
Nikukute milembe ulikotangulia?? Vipi dose yako umemaliza? Sio kila kitu lazima ukomenti mkuu vingine upite tu wenye akili watasoma vizuri.

Hata kama una mapenzi mengi na Tundu Lissu huwezi kuwaza kwamba anaweza akaja hapa mwisho wa mwezi then october akawa Rais wa Tanzania!!!! Are you serious???
 
Hata kama una mapenzi mengi na Tundu Lissu huwezi kuwaza kwamba anaweza akaja hapa mwisho wa mwezi then october akawa Rais wa Tanzania!!!! Are you serious???

Kwa hiyo unadhani kuwepo kwake ughaibuni ndio sababu ya kutokuwa Rais?

Mkuu unamjua Felix Tshisekedi wa DRC, Nelsom mandela alikaa gerezani miaka mingapi kabala ya kuwa rais sembuse lisi yuko kwenye matibabu ya miaka mitatu tu??

Una habari kuwa Rais Robert Mugabe alifungwa jela kabla ya kuwa Rais?? Unajua kuwa Maj. Gen Yoweri Mseven alikuwa mkimbizi aliyejificha ukimbizini Tanzania wakati wa Miltoni Obete na badae Iddi amin Dada??

Unafahamu kuwa Rais Paul Kagame alikuwa mkimbizi nchini Uganda na Badae kusomea Director of military intelligence aliporudi mwaka 1994 mwaka huo huo akachukua nchi kwa mapamnano aliyoacha Maj Gen Rwigyema hapo kabla.

Nini kinakufanya uone ajabu kwa Tundu Lissu kuwa rais eti kwa sababu hayupo nchini miaka 3.
 
Kwa hiyo unadhani kuwepo kwake ughaibuni ndio sababu ya kutokuwa Rais??
Mkuu unamjua Felix Tshisekedi wa DRC, Nelsom mandela alikaa gerezani miaka mingapi kabala ya kuwa rais sembuse lisi yuko kwenye matibabu ya miaka mitatu tu?? Una habari kuwa Rais Robert Mugabe alifungwa jela kabla ya kuwa Rais?? Unajua kuwa Maj. Gen Yoweri Mseven alikuwa mkimbizi aliyejificha ukimbizini Tanzania wakati wa Miltoni Obete na badae Iddi amin Dada?? Unafahamu kuwa Rais Paul Kagame alikuwa mkimbizi nchini Uganda na Badae kusomea Director of military intelligence aliporudi mwaka 1994 mwaka huo huo akachukua nchi kwa mapamnano aliyoacha Maj Gen Rwigyema hapo kabla.

Nini kinakufanya uone ajabu kwa Tundu Lissu kuwa rais eti kwa sababu hayupo nchini miaka 3.
Kama hatakuelewa hapa basi kichwa chake ni kigumu kama cha huyo mteuzi wao.
Cha kufurahisha ni kuwa Magu Jana kafanya tafrija kubwa sana kwa wanaccm wenzake pale Ikulu Chamwino ya kuiaga Ikulu yeye na chama chake.
 
Kama hatakuelewa hapa basi kichwa chake ni kigumu kama cha huyo mteuzi wao.
Cha kufurahisha ni kuwa Magu Jana kafanya tafrija kubwa sana kwa wanaccm wenzake pale Ikulu Chamwino ya kuiaga Ikulu yeye na chama chake.
Anajichuria kifo😆😆
 
Sifa za Lissu zinaboreshwa zaidi na itikadi ya Chadema ambayo ni Ubepari. Sera ya ujamaa ndo kitu ambacho kimewafanya watanzania wengi waendelee kuwa na elimu duni, maisha duni na umasikini wa kutupwa huku Wakminywa kufikiri na kukua kiuchumi kwa kadri Mungu alivyowabariki.

Hili limepelekea viongozi na vibaraka wao tu kuneemeka na keki ya taifa huku wao na watoto wao wakiangamia.

Ni wakati wa sera mbadala kuongoza Tanzania, ni wakati wa Chadema kuongoza Tanzania, ni wakati wa TUNDU ANTIPAS LISSU kuongoza Tanzania
 
Tuanzie Singinda ambako alikuwa mbunge ,wabunge wenzie akina Mbowe na Msigwa na Nyalandu vitu wanavyoweza onyesha waziwazi walivyovifanya kwenye majimbo yao wakiwa wabunge vya maendeleo .Tundu Lisi hana cha kuonyesha cha maendeleo alichofanya jimboni kwake zaidi ya kupiga miyowe ya mambo ambayo hayahusiani na jimbo lake

Hana la maana alilofanya jimboni kwake zaidi ya kupendeza na kumpigania na kumuwezesha dada yake tumbo moja awe mbunge viti maalumu Chadema.Hilo ndio Jambo kubwa alilofanya jimboni kwake
 
Cheyo, kwa herufi kubwa, aeleza sifa mbaya aliyonayo T.A.L.
 
Heheee si mlisema mpaka 2020 chadema itakufa?? Mbona tupo? Tena tuna furaha tele. Mkanywe sumu sasa.
Aangalia tu idadi ya comments na views za mada zinazuhusu Lisu utagundua kuwa chadema iko Death bed.Angalia hata hii tu
 
Back
Top Bottom