- Thread starter
- #161
Mungu ni Mwema siku zoteKuna kitu Mungu anataka kukidhihirisha kwa hawa mashetani ccm kupitia kwa Tundu Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni Mwema siku zoteKuna kitu Mungu anataka kukidhihirisha kwa hawa mashetani ccm kupitia kwa Tundu Lissu
Na Mungu hadhihakiwiMungu ni Mwema siku zote
Pambana!Yaani we ndo mshamba wa chattle kama siyo burigi kama LISSU ana mihemuko huyo unaemsifia mbona alitumia bunduki utafikiri tupo WWII?
kumbe unalijua hilo kwanini ujidanganye?Wewe unaichukua kupitia Wasimamizi uliowaweka siyo??
Faida za Tundu Lissu Kuwa Rais ni nyingi sana.Lissu ataenda kuifumua katiba Wanzanzibar mkombozi wenu anakuja shangilieni
Sifa na Ubora wa Mh.Lissu kama Presidential Candidate ndio ulio/unaomfanya awe target (Shabaha) ya wale wote wanaozifahamu.Faida za Tundu Lissu Kuwa Rais ni nyingi sana.
Exactly, Lissu is the only and best choice for now. Every one knows this truthSifa na Ubora wa Mh.Lissu kama Presidential Candidate ndio ulio/unaomfanya awe target (Shabaha) ya wale wote wanaozifahamu.
Hasa CCM Mpya,ukitaka kuzifahamu hizo sifa anzisha Uzi kumhusu Lissu hapa jamvini uone na kinyume chake ndiyo ukweli.Cococahanel,USSR,Kioara Kipya etc.Watakachonena kumhusu Rais wa Watanzania Bara&Visiwani Mh.T.L..
huna akili ?Sina haja ya kusoma thread yako. Ila kama kweli unadhani Tundu Lissu anaweza kuwa Rais wa Nchi hii especially 2020 basi inatakiwa tukukute Mirembe
kunyweni maji mengi mkuu ,alafu someni matendo ya mitumeHata kama una mapenzi mengi na Tundu Lissu huwezi kuwaza kwamba anaweza akaja hapa mwisho wa mwezi then october akawa Rais wa Tanzania!!!! Are you serious???
Machozi, damu na jasho...kafara linaloishi ndani ya roho haiNina uhuru wa kuota ndoto! Ninatabiri kwamba kila risasi iliyo penya kwenye mwili wa Lisu ni watu milioni 1! Kama nusu ya hao watu wakipiga kura, anaingia ikulu!
Ni watu wachache sana, ambao wapo tayari kuusimamia ukweli wanao uamini hata kama itagharimu maisha yao! Juzi tu hapa tumeona watu wameogopa kukosa posho ya wiki 2 mpaka wakadiriki kulia machozi wakisaliti misimamo yao. Wengi wamenunuliwa, hata waliotukana walionunuliwa (Julius Kalanga) nao wakanunuliwa badaye!
Lisu ana risasi mwilini na majeraha ya risasi na visu vya madaktari! Amehatarisha maisha yake kwa ajili ya nchi yake, huu ni uzalendo uliotukuka! Hakuna Mtanzania anastahili kuongoza nchi hii, kwa sasa, kama Lisu, labda ajitokeze atakaye pigwa risasi 17 akitutetea, ampiku Lisu! Ni Yeye!