Uchaguzi 2020 Sifa Bora alizonazo Tundu Lissu zitakazomfanya kuwa Rais wa JMT

Uchaguzi 2020 Sifa Bora alizonazo Tundu Lissu zitakazomfanya kuwa Rais wa JMT

Adui namba moja wa Lisu ni Mlevi mmoja anayeitwa Mbowe.
Amini usiamini Mbowe atakapobaini kuwa Lisu anakubalika na kuwa kuna uwezekano wa kupata kura nyingi za kumpa ushindi na watanzania wanamkubali ,Mbowe kama wafanyabiashara wengine wengi walivyo na roho za kuvutia kila mteja kwao na kufanya hata hujuma kwa mshindani wake , atatumia kila hila kumfanyia hujuma Mbaya kabisa Lisu.
Mfanyabiashara kuongoza Chama ni jambo la ajabu sana. Nawajua sana wafanyabiashara na roho walizonazo wanapoona maslahi yao yanataka kupotea au kupungua kutokana ushindani. Hawajawahi kuwa na huruma hasa wale wanaotekea nyumbani kwa Lema Mbunge wa Arusha. Ndio maana kabla ya Mtetezi wa Wanyonge Mh. Rais Magufuli kuingia madarakani Arusha iligeuka kuwa Pango la wafanyabiashara Wanyanganyi na nguzo kubwa ya Chadema.

Tujikumbushe kidogo :-
Lowasa inasadikiwa na kuna tetesi kuwa alipata kura zaidi ya mil.10 kwa maana kuwa alishinda kura za urais. Sasa tunajiuliza ilikuaje mtu aliyeshinda Chini ya Uenyekiti wa kiumbe Mlaghai ,mbinafsi na mwenye hila karibia na kiumbe Lusifer yaani Mbowe anatelekezwa na kufanyiwa hila mpaka akaamua kuondoka kwenye chama na kuamua kuokoka na kurudi alikotoka kama maana mpotevu. Kwa nini Mbowe yeye anakaa Madaraka ya uenyekiti bila kikomo huku akibadili wagombea wa Urais kila baada ya Miaka mitano.
Kama kweli Lowasa alivuta watu mil. 10 kuipigia chadema kura kwa nini asingeachwa mwaka huu akajaribu tena na sio kuambiwa Live kuwa hatapitishwa kugombea jambo lililomfanya aondoke mana alikuja Chadema kugombea Urais kwa urahisi.
 
Adui namba moja wa Lisu ni Mlevi mmoja anayeitwa Mbowe.
Amini usiamini Mbowe atakapobaini kuwa Lisu anakubalika na kuwa kuna uwezekano wa kupata kura nyingi za kumpa ushindi na watanzania wanamkubali ,Mbowe kama wafanyabiashara wengine wengi walivyo na roho za kuvutia kila mteja kwao na kufanya hata hujuma kwa mshindani wake , atatumia kila hila kumfanyia hujuma Mbaya kabisa Lisu.
Mfanyabiashara kuongoza Chama ni jambo la ajabu sana. Nawajua sana wafanyabiashara na roho walizonazo wanapoona maslahi yao yanataka kupotea au kupungua kutokana ushindani. Hawajawahi kuwa na huruma hasa wale wanaotekea nyumbani kwa Lema Mbunge wa Arusha. Ndio maana kabla ya Mtetezi wa Wanyonge Mh. Rais Magufuli kuingia madarakani Arusha iligeuka kuwa Pango la wafanyabiashara Wanyanganyi na nguzo kubwa ya Chadema.

Tujikumbushe kidogo :-
Lowasa inasadikiwa na kuna tetesi kuwa alipata kura zaidi ya mil.10 kwa maana kuwa alishinda kura za urais. Sasa tunajiuliza ilikuaje mtu aliyeshinda Chini ya Uenyekiti wa kiumbe Mlaghai ,mbinafsi na mwenye hila karibia na kiumbe Lusifer yaani Mbowe anatelekezwa na kufanyiwa hila mpaka akaamua kuondoka kwenye chama na kuamua kuokoka na kurudi alikotoka kama maana mpotevu. Kwa nini Mbowe yeye anakaa Madaraka ya uenyekiti bila kikomo huku akibadili wagombea wa Urais kila baada ya Miaka mitano.
Kama kweli Lowasa alivuta watu mil. 10 kuipigia chadema kura kwa nini asingeachwa mwaka huu akajaribu tena na sio kuambiwa Live kuwa hatapitishwa kugombea jambo lililomfanya aondoke mana alikuja Chadema kugombea Urais kwa urahisi.
Mkuu unakubali kufata propaganda za maccm?? Mbowe nsiye kiongozi bora wa upinzani hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla. He has managed to nurturing very well young leaders. As one of his young generation i proudly intend to congraturate him. Ndio maana maccm yamemshambulia kwa hira sana yakidhani yatamvunja moyo. Whatever the urgly acts upon him he stood firm and strong enough.
 
Tatizo la upinzani ni kuishi kwenye la-la land atasijui political strategist zao na akina nani.

Mpaka sasa hakuna wakumsumbua Magufuli kwenye uchaguzi, hao polisi wanaangaika bure na hao watu wa upinzani labda kama ni kwenye ubunge na udiwani; lakini uraisi hiyo nafasi imeshajazwa uchaguzi ni mchakato tu wa kikatiba.

Ni kweli asilimia kubwa ya watanzania wanahuruma na mkasa uliompata Lissu lakini iyo sio sababu ya kumpa kura kwenye uchaguzi akisimama na Magu.

Kazi aliyoifanya Magu katika miaka mitano ina psychological impact kwa wapiga kura in terms touching their ‘safety needs’ (in Maslow psychology) na ni factor muhimu kwenye kuamua, people like guarantee and predictability in life.

Lissu na Membe ni watu ambao wanasumbuliwa na narcissism kudhani wana umuhimu kushinda uhalisia wenyewe kwa sababu ya upepo wanaojazwa na watu wachache ambao wanatabia ya kukuza mambo.

Pamoja na mapungufu yake machache hakuna mtu wa kumshinda Magufuli uchaguzi huu ata Nyerere angefufuka na kusimama nae, alichokifanya kikubwa kuwashika watanzania wengi psychologically na ilo ni muhimu kwa wapiga kura.

Ni kupoteza muda kuangaikia nafasi ya uraisi.
 
Tatizo la upinzani ni kuishi kwenye la-la land atasijui political strategist zao na akina nani.

Mpaka sasa hakuna wakumsumbua Magufuli kwenye uchaguzi, hao polisi wanaangaika bure na hao watu wa upinzani labda kama ni kwenye ubunge na udiwani; lakini uraisi hiyo nafasi imeshajazwa uchaguzi ni mchakato tu wa kikatiba.

Ni kweli asilimia kubwa ya watanzania wanahuruma na mkasa uliompata Lissu lakini iyo sio sababu ya kumpa kura kwenye uchaguzi akisimama na Magu.

Kazi aliyoifanya Magu katika miaka mitano ina psychological impact kwa wapiga kura in terms touching their ‘safety needs’ (in Maslow psychology) na ni factor muhimu kwenye kuamua, people like guarantee and predictability in life.

Lissu na Membe ni watu ambao wanasumbuliwa na narcissism kudhani wana umuhimu kushinda uhalisia wenyewe kwa sababu ya upepo wanaojazwa na watu wachache ambao wanatabia ya kukuza mambo.

Pamoja na mapungufu yake machache hakuna mtu wa kumshinda Magufuli uchaguzi huu ata Nyerere angefufuka na kusimama nae, alichokifanya kikubwa kuwashika watanzania wengi psychologically na ilo ni muhimu kwa wapiga kura.

Ni kupoteza muda kuangaikia nafasi ya uraisi.
Usikimbilie huruma ya watanzania kwa Lissu kwa sababu ya majeraha aliyopata. LISSU anakubalila kabla, wakati na baafa ya kushambuliwa na Wasiojulikana. Alishambuliwa ili tu asiwe mwiba kwa serikali ya kidhalimu.

So, no connection ya sifa za Lissu kuwa Rais bora na huruma.
 
Usikimbilie huruma ya watanzania kwa Lissu kwa sababu ya majeraha aliyopata. LISSU anakubalila kabla, wakati na baafa ya kushambuliwa na Wasiojulikana. Alishambuliwa ili tu asiwe mwiba kwa serikali ya kidhalimu.

So, no connection ya sifa za Lissu kuwa Rais bora na huruma.
Ndio maana watu wanasema akili zenu zina watosha wenyewe.

Ni kitu gani Lissu alichofanya kikawa na impact ya mtu yeyote katika heirachy of needs ya mtanzania yeyote.

Nitajie jambo moja tu ata uko Singida alikokuwa Mmbunge.

Tatizo la Magufuli washauri wa ovyo na kujihami lakini uhalisia uongozi wake una metric results unazoweza linganisha na awamu zilizopita zikimgusa kila mtu kwa namna moja au nyingine.

Lissu kafanya nini kilichokugusa wewe directly?

Ni kujifurahisha tu hakuna wa kumshinda Magufuli wanaopiga kelele ni watu wachache wenye ajira, nchi zima awazidi 15 million na asilimia ya hao watampigia kura huyo huyo Magu. Na aliyowafanyia wakulima na huduma alizozifikisha kijijini huko ana mpinzani.

Kwanini tuandikie mate wakati wino upo Lissu aje muone au Membe mpeni hiyo nafasi muone.

Magufuli keshadhinda vita ya psychology kuelekea uchaguzi ujao kuna mambo mengi kafanya watu awajai shuhudia toka nchi ipate uhuru trust me they won’t gamble na mtu mwingine watanzania wana imani na Magufuli.

Trust is a big influence in voters decision.
 
Ndio maana watu wanasema akili zenu zina watosha wenyewe.

Ni kitu gani Lissu alichofanya kikawa na impact ya mtu yeyote katika heirachy of needs ya mtanzania yeyote.

Nitajie jambo moja tu ata uko Singida alikokuwa Mmbunge.

Tatizo la Magufuli washauri wa ovyo na kujihami lakini uhalisia uongozi wake una metric results unazoweza linganisha na awamu zilizopita zikimgusa kila mtu kwa namna moja au nyingine.

Lissu kafanya nini kilichokugusa wewe directly?

Ni kujifurahisha tu hakuna wa kumshinda Magufuli wanaopiga kelele ni watu wachache wenye ajira, nchi zima awazidi 15 million na asilimia ya hao watampigia kura huyo huyo Magu. Na aliyowafanyia wakulima na huduma alizozifikisha kijijini huko ana mpinzani.

Kwanini tuandikie mate wakati wino upo Lissu aje muone au Membe mpeni hiyo nafasi muone.

Magufuli keshadhinda vita ya psychology kuelekea uchaguzi ujao kuna mambo mengi kafanya watu awajai shuhudia toka nchi ipate uhuru trust me they won’t gamble na mtu mwingine watanzania wana imani na Magufuli.

Trust is a big influence in voters decision.
Lissu amewezesha kuelimisha na kutupa ari ya kutambua haki zetu vijana takribani milioni 20+, ametufundisha ujasiri, umuhimu wa kujitafutia maarifa na elimu. Ulitaka atujengee barabara kwani kodi za nchi anakusanya yeye?
 
Mwaka jana tumekimbia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sababu ya kutokuwepo na usawa kwenye tume husika.

Mwaka huu tunatia timu huku mambo kule yakiwa yale yale.
 
Lissu amewezesha kuelikisha na kutupa ari ya kutambua haki zetu vijana takribani milioni 20+, ametufundisha ujasiri, umuhimu wa kujitafutia maarifa na elimu. Ulitaka atujengee barabara kwani kodi za nchi anakusanya yeye?
Ndio maana nakwambia mnaishi la-la land hivi unaelewa how important it is to touch ‘heirachy of needs’ and ‘trust building’ to human beings in their decision making and committing to something; kamuulize mtu aliesomea HR anaefahamu maswala ya motivation at work.

Politics is science mate, aminia hakuna wa kumshinda Magu, ata ungemleta Nyerere. With the right strategist hakuna wa kumshinda Magufuli Tanzania ata watu wafanye matambiko.

Hizi ndio sababu kama unajua siasa unaona kwenye liberal democracy inapofika uchaguzi viongozi wanatumia nguvu nyingi sana kwa wapiga kura kuwapa imani wao ni watu sahihi when it comes to solving their problems na Magufuli ameshajijengea hiyo imani kwa matendo na kusimamia kauli zake.

Sasa mtu kama Lissu analia tu hana cha ziada anachoongea kinachoweza muaminisha mtu huyu bwana shida zangu anazielewa na nina imani anaweza zitatua anaonekana ana nia na mbinu. Unadhani kulialia tu nimepigwa it’s enough to win votes, watu wanaweza kukuonea huruma kwa hilo but not enough to give you their votes.

Ndugu politics is a proffesion tofauti mnavyodhani kila mtu anaweza dandia tu a lot needs to be done strategically behind the scenes to win the psychological battle when it comes to winning elections na Magufuli is miles ahead in that battle.
 
Kama wewe ni mfatiliaji wa siasa za Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kuwa kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikosa kiongozi bora wakuongoza watanzania kwa maslahi ya taifa na wala sio vyama na wanaompa vyeo.

Tulipata janga kama taifa baada ya kuongozwa na Mh Rais Magufuli ambaye aliokota urais kama embe chini ya mnazi kwa kupewa na wale wanaoitwa wenye nguvu.

Matokeo yake nchi imekuwa ni vilio vitupu, hali mbaya ya uchumi na uliopo kuwa wa makaratasi tu. Hali mbaya ya amani, upendo kufifia na hofu kutawala nchini.

Sasa kila mtu anahaha namna ya kumwondoa huyu aliyeshika mizizi pasipo kuwa na mvuto kwa watanzania. Mwaka 2015 nchi yetu iliingia katika janga la kiurais kwa kumpata Rais asiyekuwa na uwezo wa kudumisha utawala wa kisheria, kuheshimu katiba na uhuru wa kisisasa, Kiuchumi na kijamii.

Baada ya kilio cha miaka 5 sasa, mwenyezi Mungu anatuletea rais bora kabisa mwenye sifa zifuatazo. Na ana uwezo wa kurejesha matumaini ya watanzania.

Si mwingine ni Tundu Antiphas Mugwai Lissu mbobevu ktk fani ya sheria, mwenye upendo na uzalendo wa kweli ktk nchi yake.

Sifa zifuatazo zitampa Urais TL kwani watanzania wote wanamjua na kumfahamu vizuri asiyekubaliana nazo ana lake binafsi.

1. Ni kiogozi shupavu na jasiri, hili litamwezesha kufabya maamuzi magumu na yenye tija kwa taifa. Wananchi wanaamini hataishia maneno ya majukwani tu bali atatenda kwavitendo na sio maigizo kama ya Rais Mafufuli.

2. Ana uzoefu unaohitajika kuwa Rais. Watanzania wanajua Mh Tundu Lissu ana uzoefu na serikali zote zilizopita kuanzia ya Mwinyi hadi ya Magufuli. Madhaifu ya kiuongozi ni yale yale miaka yote. Na hakuwahi kubadilika ktk misimamo yake ya kusimamia utawala bora, haki na wajibu.

3. Uwezo wa kutuvusha kiuchumi. Mhe Tundu Lissu anafahamika vyema kama mpambanaji wa maslahi kwa wananchi. Anajua vyema changamoto za maisha ya wananchi. Sio kujenga fly over ya mita 500 ubungo na kwenda kuimbia nyimbo tandahimba! INAHUSU!!

4. Yupo tayari kuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania. Kama anavyofahamika vema kwa vyombo vyote vya dola kuwa ni kiongozi shupavu. Asiyeyumbishwa na siasa za chuki, uhasama na kuburuzana. Ni mwanasheria aliyebarikiwa kuitendea haki taaluma yake. Ni mfano bora kwa wote wanaovutiwa kusoma taaluma ya sheria. Hata hivyo ni kiongozi mwema na mwenye ushirikiano, heshima, busara na utulivu wa kiakili kama sifa bora ya kuwa amiri jeshi mkuu.

5 . Ni msema kweli. Hili ni sifa bora kabisa ktk utawala wa dunia ya kwanza zilizoendelea. Hawezi kusema kuwa tatizo halipo kwa kulificha. Mdororo wa uchumi na uhusiano wa kimataifa umekuwa ndio wimbo wake siku zote kiasi mahasimu wake wasiopenda ukweli kumwinda na pengine kutaka kuondosha uhai wake. Lisu ni mpenzi wa Mungu kweli kweli.

Karibu Mh Tundu Lissu wewe ni yule ajaye Unayesubiliwa kwa miaka nenda Rudi.
. Ataongoza wakati wake ukifika ila c zama hizi za magufuli 🚶🚶🚶
 
Ndio maana nakwambia mnaishi la-la land hivi unaelewa how important it is to touch ‘heirachy of needs’ and ‘trust building’ to human beings in their decision making and committing to something; kamuulize mtu aliesomea HR anaefahamu maswala ya motivation at work.

Politics is science mate, aminia hakuna wa kumshinda Magu, ata ungemleta Nyerere. With the right strategist hakuna wa kumshinda Magufuli Tanzania ata watu wafanye matambiko.

Hizi ndio sababu kama unajua siasa unaona kwenye liberal democracy inapofika uchaguzi viongozi wanatumia nguvu nyingi sana kwa wapiga kura kuwapa imani wao ni watu sahihi when it comes to solving their problems na Magufuli ameshajijengea hiyo imani kwa matendo na kusimamia kauli zake.

Sasa mtu kama Lissu analia tu hana cha ziada anachoongea kinachoweza muaminisha mtu huyu bwana shida zangu anazielewa na nina imani anaweza zitatua anaonekana ana nia na mbinu. Unadhani kulialia tu nimepigwa it’s enough to win votes, watu wanaweza kukuonea huruma kwa hilo but not enough to give you their votes.

Ndugu politics is a proffesion tofauti mnavyodhani kila mtu anaweza dandia tu a lot needs to be done strategically behind the scenes to win the psychological battle when it comes to winning elections na Magufuli is miles ahead in that battle.
Under free and fair election. Hata kura ya mke wake hawezi kupata. Hana ushawishi huo. Pamoja na kufanya siasa miaka mitano exclusively ccm bado hawajiamini.

Tukutane october 2020.
 
Mwaka jana tumekimbia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sababu ya kutokuwepo na usawa kwenye tume husika.

Mwaka huu tunatia timu huku mambo kule yakiwa yale yale.
Tuliiambia Dunia kuwa tuna tuna utawala usiozingatia sheria na katiba ya nchi. Dunia ilituelewa. Sasa twende kazi.
 
Under free and fair election. Hata kura ya mke wake hawezi kupata. Hana ushawishi huo. Pamoja na kufanya siasa miaka mitano exclusively ccm bado hawajiamini.

Tukutane october 2020.
Hakuna mwenye uwezo wa kukuzuia kuota kiongozi. Hila ukiamka mimi na wewe sote tunajua hakuna wa kumshinda Magufuli kutokana na kazi aliyowafanyia watanzania. Tena hapo ao vilaza awamsaidii kuongelea shughuli yote iliyofanyika nchi nzima katika miaka 5 ni maajabu kwetu sisi sote mimi na wewe (ukweli huo unaujua moyoni nje ya ushambenga wa siasa) aijawahi tokea sio Tanzania bali Africa kiongozi kufanya maajabu aliyofanya katika awamu moja ni kwamba hakuna mfano huo.

Acheni kumjaza upepo huyo Lissu wenu hana uo mvuto kwenye siasa za Tanzania kama mnavyotaka kumuaminisha na yeye anavyojiongopea.

Good Morning
 
Kwa hiyo unadhani kuwepo kwake ughaibuni ndio sababu ya kutokuwa Rais?

Mkuu unamjua Felix Tshisekedi wa DRC, Nelsom mandela alikaa gerezani miaka mingapi kabala ya kuwa rais sembuse lisi yuko kwenye matibabu ya miaka mitatu tu??

Una habari kuwa Rais Robert Mugabe alifungwa jela kabla ya kuwa Rais?? Unajua kuwa Maj. Gen Yoweri Mseven alikuwa mkimbizi aliyejificha ukimbizini Tanzania wakati wa Miltoni Obete na badae Iddi amin Dada??

Unafahamu kuwa Rais Paul Kagame alikuwa mkimbizi nchini Uganda na Badae kusomea Director of military intelligence aliporudi mwaka 1994 mwaka huo huo akachukua nchi kwa mapamnano aliyoacha Maj Gen Rwigyema hapo kabla.

Nini kinakufanya uone ajabu kwa Tundu Lissu kuwa rais eti kwa sababu hayupo nchini miaka 3.

Hao uliowataja wote walikuwa wanaharakati wa ukombozi kama Nyerere, sasa Tundu Lisu anataka kumkomboa nani sisi tulishakombolewa tangu mwaka 1961 hivyo acha kabisa kumfananisha Tundu Lissu na kina Mugabe, Museveni, Kagame,, Mandela, Museveni and the like!! Yeye yuko Brussels kwa matibabu na si kwamba yuko kwenye political asylum aki strategize ukombozi wa TZ
 
Huu ndo uandishi gani wewe? Hii ni dalili upo ktk foleni ya kupata msaada wa tohara under US aid ukiwa huko Ikungulyabashashi kwa joka la makengeza halafu unasifia uchumi wa kati na akati bila USAID ungekufa na mkono wa sweta nyambafu.
Hongera wewe mwandishi mzuri.
 
Back
Top Bottom