Uchaguzi 2020 Sifa Bora alizonazo Tundu Lissu zitakazomfanya kuwa Rais wa JMT

Uchaguzi 2020 Sifa Bora alizonazo Tundu Lissu zitakazomfanya kuwa Rais wa JMT

[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
TUNDU LISSU NI MGONJWA WA AKILI,KWELI AWE RAIS WA TANZANIA!?,.HUYU LISSU MBABAISHAJI NA MPIGA POROJO?!, LABDA AWE RAIS WA YANGA AU WA SIMBA,KUWA RAIS WA TANZANIA,NI NDOTO ZA MWENDAWAZIMU,
Mkuu mbona una kommenti huku umepaniki kunywa maji kwanza. Au wewe mshabiki wa yanga nini.
 
Kama wewe ni mfatiliaji wa siasa za Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kuwa kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikosa kiongozi bora wakuongoza watanzania kwa maslahi ya taifa na wala sio vyama na wanaompa vyeo.

Tulipata janga kama taifa baada ya kuongozwa na Mh Rais Magufuli ambaye aliokota urais kama embe chini ya mnazi kwa kupewa na wale wanaoitwa wenye nguvu.

Matokeo yake nchi imekuwa ni vilio vitupu, hali mbaya ya uchumi na uliopo kuwa wa makaratasi tu. Hali mbaya ya amani, upendo kufifia na hofu kutawala nchini.

Sasa kila mtu anahaha namna ya kumwondoa huyu aliyeshika mizizi pasipo kuwa na mvuto kwa watanzania. Mwaka 2015 nchi yetu iliingia katika janga la kiurais kwa kumpata Rais asiyekuwa na uwezo wa kudumisha utawala wa kisheria, kuheshimu katiba na uhuru wa kisisasa, Kiuchumi na kijamii.

Baada ya kilio cha miaka 5 sasa, mwenyezi Mungu anatuletea rais bora kabisa mwenye sifa zifuatazo. Na ana uwezo wa kurejesha matumaini ya watanzania.

Si mwingine ni Tundu Antiphas Mugwai Lissu mbobevu ktk fani ya sheria, mwenye upendo na uzalendo wa kweli ktk nchi yake.

Sifa zifuatazo zitampa Urais TL kwani watanzania wote wanamjua na kumfahamu vizuri asiyekubaliana nazo ana lake binafsi.

1. Ni kiogozi shupavu na jasiri, hili litamwezesha kufabya maamuzi magumu na yenye tija kwa taifa. Wananchi wanaamini hataishia maneno ya majukwani tu bali atatenda kwavitendo na sio maigizo kama ya Rais Mafufuli.

2. Ana uzoefu unaohitajika kuwa Rais. Watanzania wanajua Mh Tundu Lissu ana uzoefu na serikali zote zilizopita kuanzia ya Mwinyi hadi ya Magufuli. Madhaifu ya kiuongozi ni yale yale miaka yote. Na hakuwahi kubadilika ktk misimamo yake ya kusimamia utawala bora, haki na wajibu.

3. Uwezo wa kutuvusha kiuchumi. Mhe Tundu Lissu anafahamika vyema kama mpambanaji wa maslahi kwa wananchi. Anajua vyema changamoto za maisha ya wananchi. Sio kujenga fly over ya mita 500 ubungo na kwenda kuimbia nyimbo tandahimba! INAHUSU!!

4. Yupo tayari kuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania. Kama anavyofahamika vema kwa vyombo vyote vya dola kuwa ni kiongozi shupavu. Asiyeyumbishwa na siasa za chuki, uhasama na kuburuzana. Ni mwanasheria aliyebarikiwa kuitendea haki taaluma yake. Ni mfano bora kwa wote wanaovutiwa kusoma taaluma ya sheria. Hata hivyo ni kiongozi mwema na mwenye ushirikiano, heshima, busara na utulivu wa kiakili kama sifa bora ya kuwa amiri jeshi mkuu.

5 . Ni msema kweli. Hili ni sifa bora kabisa ktk utawala wa dunia ya kwanza zilizoendelea. Hawezi kusema kuwa tatizo halipo kwa kulificha. Mdororo wa uchumi na uhusiano wa kimataifa umekuwa ndio wimbo wake siku zote kiasi mahasimu wake wasiopenda ukweli kumwinda na pengine kutaka kuondosha uhai wake. Lisu ni mpenzi wa Mungu kweli kweli.

Karibu Mh Tundu Lissu wewe ni yule ajaye Unayesubiliwa kwa miaka nenda Rudi.

Naunga mkono hoja.
 
TUNDU LISSU
1. ANA AKILI NYINGI SANA
2. MZALENDO KWA VITENDO
3. MTETEZI WA HAKI ZA BINADAMU
4. MPENDA MAENDELEO
5. MSIMAMIZI HALISI WA RASLIMALI ZA NCHI
6. MTETEZI WA KATIBA NA SHERIA ZA NCHI. ANAPENDA UTAWALA WA SHERIA
7. MPENDA DEMOKRASIA

Hakika nchi inapaswa kujivunia kua na mtu km Tundu Lissu.
Lussu for presidence 2020
 
TUNDU LISSU
1. ANA AKILI NYINGI SANA
2. MZALENDO KWA VITENDO
3. MTETEZI WA HAKI ZA BINADAMU
4. MPENDA MAENDELEO
5. MSIMAMIZI HALISI WA RASLIMALI ZA NCHI
6. MTETEZI WA KATIBA NA SHERIA ZA NCHI. ANAPENDA UTAWALA WA SHERIA
7. MPENDA DEMOKRASIA

Hakika nchi inapaswa kujivunia kua na mtu km Tundu Lissu.
Lussu for presidence 2020
Mkuu umenifurahisha sana kwa jinsi ulivyofanya summary nzuri.

Huyo ndiye Rais tumtakaye
 
Sasa hivi anatumia hela nyingi na kujipendekeza kwa wasanii ili wamuimbe akidhani ndio atakubalika. Anachofanya ni kuwaharibia tuu hao watoto vipaji na nyota zao.
Siasa za kisanii au usanii wa kisiasa haujawahi kumuacha MTU salama. Kumbuka kina Mallow, Msechu nk
Wanatapatapa. 5yrs now wasanii kawaona leo. Ameharibu uchumi wasanii wananjaa sana. Tangu aingie madarakani hakuna msanii amehit hata mmoja. Hakuna tamasha wamefanya kuingiza kipata hata walipojaribu zilidoda, Wakapata hasara. Waliandaa tamasha lingine likazimwa pale Leaders club kwa kiki za Rc Makonda. Wasanii wako hoi choka mbaya. Kwa sasa wanajaribu kutafuta pa kuchomokea kwa aliyewaharibia.
 
Mliutumia vibaya uungwana wa Kikwete, mkamuona dhaifu. JPM kawadhibidi kila kona, mmebaki kutapatapa.
Kwa hii miaka mitano tu, zaidi ya trilioni 2.5 HAZIJULIKANI ZILIPO. Pesa hizo ni zaidi ya pesa zote zilizoibwa kwa awamu zote tangu uhuru, unapata wapi ujasiri wa kutetea na kusifu MHALIFU wa namna hii?

Kichwani zimo kweli ama ndio ukosefu wa ajira unakufanya ujitoe ufahamu tu? Uwe kama zuzu?
 
TUNDU LISSU
1. ANA AKILI NYINGI SANA
Hakika nchi inapaswa kujivunia kua na mtu km Tundu Lissu.
Lussu for presidence 2020
Ugombea uraisi sio shindano la Kutafuta mwenye IQ kubwa!!!!! sio IQ TEST COMPETITION!!!
 
Kama wewe ni mfatiliaji wa siasa za Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kuwa kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikosa kiongozi bora wakuongoza watanzania kwa maslahi ya taifa na wala sio vyama na wanaompa vyeo.

Tulipata janga kama taifa baada ya kuongozwa na Mh Rais Magufuli ambaye aliokota urais kama embe chini ya mnazi kwa kupewa na wale wanaoitwa wenye nguvu.

Matokeo yake nchi imekuwa ni vilio vitupu, hali mbaya ya uchumi na uliopo kuwa wa makaratasi tu. Hali mbaya ya amani, upendo kufifia na hofu kutawala nchini.

Sasa kila mtu anahaha namna ya kumwondoa huyu aliyeshika mizizi pasipo kuwa na mvuto kwa watanzania. Mwaka 2015 nchi yetu iliingia katika janga la kiurais kwa kumpata Rais asiyekuwa na uwezo wa kudumisha utawala wa kisheria, kuheshimu katiba na uhuru wa kisisasa, Kiuchumi na kijamii.

Baada ya kilio cha miaka 5 sasa, mwenyezi Mungu anatuletea rais bora kabisa mwenye sifa zifuatazo. Na ana uwezo wa kurejesha matumaini ya watanzania.

Si mwingine ni Tundu Antiphas Mugwai Lissu mbobevu ktk fani ya sheria, mwenye upendo na uzalendo wa kweli ktk nchi yake.

Sifa zifuatazo zitampa Urais TL kwani watanzania wote wanamjua na kumfahamu vizuri asiyekubaliana nazo ana lake binafsi.

1. Ni kiogozi shupavu na jasiri, hili litamwezesha kufabya maamuzi magumu na yenye tija kwa taifa. Wananchi wanaamini hataishia maneno ya majukwani tu bali atatenda kwavitendo na sio maigizo kama ya Rais Mafufuli.

2. Ana uzoefu unaohitajika kuwa Rais. Watanzania wanajua Mh Tundu Lissu ana uzoefu na serikali zote zilizopita kuanzia ya Mwinyi hadi ya Magufuli. Madhaifu ya kiuongozi ni yale yale miaka yote. Na hakuwahi kubadilika ktk misimamo yake ya kusimamia utawala bora, haki na wajibu.

3. Uwezo wa kutuvusha kiuchumi. Mhe Tundu Lissu anafahamika vyema kama mpambanaji wa maslahi kwa wananchi. Anajua vyema changamoto za maisha ya wananchi. Sio kujenga fly over ya mita 500 ubungo na kwenda kuimbia nyimbo tandahimba! INAHUSU!!

4. Yupo tayari kuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania. Kama anavyofahamika vema kwa vyombo vyote vya dola kuwa ni kiongozi shupavu. Asiyeyumbishwa na siasa za chuki, uhasama na kuburuzana. Ni mwanasheria aliyebarikiwa kuitendea haki taaluma yake. Ni mfano bora kwa wote wanaovutiwa kusoma taaluma ya sheria. Hata hivyo ni kiongozi mwema na mwenye ushirikiano, heshima, busara na utulivu wa kiakili kama sifa bora ya kuwa amiri jeshi mkuu.

5 . Ni msema kweli. Hili ni sifa bora kabisa ktk utawala wa dunia ya kwanza zilizoendelea. Hawezi kusema kuwa tatizo halipo kwa kulificha. Mdororo wa uchumi na uhusiano wa kimataifa umekuwa ndio wimbo wake siku zote kiasi mahasimu wake wasiopenda ukweli kumwinda na pengine kutaka kuondosha uhai wake. Lisu ni mpenzi wa Mungu kweli kweli.

Karibu Mh Tundu Lissu wewe ni yule ajaye Unayesubiliwa kwa miaka nenda Rudi.
Hivi nyinyi akili zenu zinawatosha? Nchi ina Rais bora kabisa kwasasa, nyie mnataka kutuletea wendawazimu.

Kama mnamuona anafaa mbona hamjampa chama chenu kwanza akiongoze tuone. Hii nchi siyo ya majaribio
 
mpaka hii dunia inafika mwisho wake lissu hatawahi kua prezident, ana qualities nyingi za kua president ila timing tu ndo mlikosea, 2015 ndo ulikua mwaka wa kumtumia lissu vizuri, kwa saaahv izi novel unaandika huku forum hazisaidii chochote maaana hata ivo kuna mjadala unaoendelea wa kumuongea magu mda wa ziada mpaka atakapochoka kua raisi, najua mpaka huo mda unafika lissu atakua ashazeeka atakua lowasa wa kipindi icho but ni kiongozi mzuri

kwa nchi za afrika kiongozi anaehitajika ni magufuli, hizi sera sjui ana moyo mzuri hana visasi ndo vinasababisha nchi inalala mtu kama magufuli ni mtu wa kurusha watu mchakamchaka ofwhich is good! its very good to go that extra mile katika maisha but for the time saaahv sidhan kama anaweza kuja kua raisi maaana idadi ya watu wanaomkubali president its just insane
 
TL angeweza kuwa Rais kama angekuwa kwenye chama chenye Siasa za Maendeleo hata yeye anajua anajua kwamba chama chake ni cha kianaharakati. Mwanaharakati huwa hana agenda ya maendeleo yeye huwa ni kukosoa wenzake tu. CDM kinaingia uchaguzi mkuu bila ilani ya uchaguzi hii ni hatari.


TL hata hotuba yake aliiffanya juzi inaonesha jinsi gani ni mwanaharakati -- Hotuba yote ni kumponda JPM wala hana mda na kutafuta namna ya kukidhi haja za WaTZ.

JPM anajua shida za WTZ na ndio maana approval rate yako iko juu sana. Hili Halina mpinzani.

TL aende chama cha ukombozi na sio cha uanaharakati.
 
Hivi nyinyi akili zenu zinawatosha? Nchi ina Rais bora kabisa kwasasa, nyie mnataka kutuletea wendawazimu.

Kama mnamuona anafaa mbona hamjampa chama chenu kwanza akiongoze tuone. Hii nchi siyo ya majaribio
Hayo ni yako. Watanzania wamechoshwa na ulaghai wa ccm. Miaka 50 na zaidi mnapiga porojo tu.
 
TL angeweza kuwa Rais kama angekuwa kwenye chama chenye Siasa za Maendeleo hata yeye anajua anajua kwamba chama chake ni cha kianaharakati. Mwanaharakati huwa hana agenda ya maendeleo yeye huwa ni kukosoa wenzake tu. CDM kinaingia uchaguzi mkuu bila ilani ya uchaguzi hii ni hatari.


TL hata hotuba yake aliiffanya juzi inaonesha jinsi gani ni mwanaharakati -- Hotuba yote ni kumponda JPM wala hana mda na kutafuta namna ya kukidhi haja za WaTZ.

JPM anajua shida za WTZ na ndio maana approval rate yako iko juu sana. Hili Halina mpinzani.

TL aende chama cha ukombozi na sio cha uanaharakati.
TL anakuja. Kujua moto wake utaona ty jinsi vikosi vyote vya dola vitaelekeza nguvu dhidi yake. Hapo ndipo utajua TL ni nani. TL anamkosoa JPm kwani ndani ya chama hicho nani anamthubutu?? Nyote mmekuwa mabubu hata akiwanyea vichwani mtapiga mapambio tu
 
mpaka hii dunia inafika mwisho wake lissu hatawahi kua prezident, ana qualities nyingi za kua president ila timing tu ndo mlikosea, 2015 ndo ulikua mwaka wa kumtumia lissu vizuri, kwa saaahv izi novel unaandika huku forum hazisaidii chochote maaana hata ivo kuna mjadala unaoendelea wa kumuongea magu mda wa ziada mpaka atakapochoka kua raisi, najua mpaka huo mda unafika lissu atakua ashazeeka atakua lowasa wa kipindi icho but ni kiongozi mzuri

kwa nchi za afrika kiongozi anaehitajika ni magufuli, hizi sera sjui ana moyo mzuri hana visasi ndo vinasababisha nchi inalala mtu kama magufuli ni mtu wa kurusha watu mchakamchaka ofwhich is good! its very good to go that extra mile katika maisha but for the time saaahv sidhan kama anaweza kuja kua raisi maaana idadi ya watu wanaomkubali president its just insane
Magu ukiachana na vigelegele vya madc na waNec ambao nao wanalinda matumbo yao amechokwa chakali. Uliona mikutano yake juzi Morogoro Kilombero ulilivyododa ungedhani ni mkutano wa diwani kumbe ni wa Rais. To make things better alitembea na baraza zima la mawaziri but things did not change. Ktk kujaribu kuleta mvuto kwa wananchi akajikuta anataka kumtumbua DED mbele ya wananchi akidhani anavuta attention yao. Alisikika akilaum eti mbona mkutano ule hakuna wanaume?? Na kwa nini hawamsililiz wanajichekea tu vichekesho?? Hali ikifika pale kama Rais inabidi ujitafakari.

Ya Jafo Juzi arusha umeyasikia??😁😁
 
Kwa hii miaka mitano tu, zaidi ya trilioni 2.5 HAZIJULIKANI ZILIPO. Pesa hizo ni zaidi ya pesa zote zilizoibwa kwa awamu zote tangu uhuru, unapata wapi ujasiri wa kutetea na kusifu MHALIFU wa namna hii?

Kichwani zimo kweli ama ndio ukosefu wa ajira unakufanya ujitoe ufahamu tu? Uwe kama zuzu?
They are professional thieves. They rob every thing. They even rob from the blind.

2020 ndio mwisho wa majizi , mazalendo fake.
 
Back
Top Bottom