Uchaguzi 2020 Sifa Bora alizonazo Tundu Lissu zitakazomfanya kuwa Rais wa JMT

Uchaguzi 2020 Sifa Bora alizonazo Tundu Lissu zitakazomfanya kuwa Rais wa JMT

Kama wewe ni mfatiliaji wa siasa za Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kuwa kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikosa kiongozi bora wakuongoza watanzania kwa maslahi ya taifa na wala sio vyama na wanaompa vyeo.

Tulipata janga kama taifa baada ya kuongozwa na Mh Rais Magufuli ambaye aliokota urais kama embe chini ya mnazi kwa kupewa na wale wanaoitwa wenye nguvu.

Matokeo yake nchi imekuwa ni vilio vitupu, hali mbaya ya uchumi na uliopo kuwa wa makaratasi tu. Hali mbaya ya amani, upendo kufifia na hofu kutawala nchini.

Sasa kila mtu anahaha namna ya kumwondoa huyu aliyeshika mizizi pasipo kuwa na mvuto kwa watanzania. Mwaka 2015 nchi yetu iliingia katika janga la kiurais kwa kumpata Rais asiyekuwa na uwezo wa kudumisha utawala wa kisheria, kuheshimu katiba na uhuru wa kisisasa, Kiuchumi na kijamii.

Baada ya kilio cha miaka 5 sasa, mwenyezi Mungu anatuletea rais bora kabisa mwenye sifa zifuatazo. Na ana uwezo wa kurejesha matumaini ya watanzania.

Si mwingine ni Tundu Antiphas Mugwai Lissu mbobevu ktk fani ya sheria, mwenye upendo na uzalendo wa kweli ktk nchi yake.

Sifa zifuatazo zitampa Urais TL kwani watanzania wote wanamjua na kumfahamu vizuri asiyekubaliana nazo ana lake binafsi.

1. Ni kiogozi shupavu na jasiri, hili litamwezesha kufabya maamuzi magumu na yenye tija kwa taifa. Wananchi wanaamini hataishia maneno ya majukwani tu bali atatenda kwavitendo na sio maigizo kama ya Rais Mafufuli.

2. Ana uzoefu unaohitajika kuwa Rais. Watanzania wanajua Mh Tundu Lissu ana uzoefu na serikali zote zilizopita kuanzia ya Mwinyi hadi ya Magufuli. Madhaifu ya kiuongozi ni yale yale miaka yote. Na hakuwahi kubadilika ktk misimamo yake ya kusimamia utawala bora, haki na wajibu.

3. Uwezo wa kutuvusha kiuchumi. Mhe Tundu Lissu anafahamika vyema kama mpambanaji wa maslahi kwa wananchi. Anajua vyema changamoto za maisha ya wananchi. Sio kujenga fly over ya mita 500 ubungo na kwenda kuimbia nyimbo tandahimba! INAHUSU!!

4. Yupo tayari kuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania. Kama anavyofahamika vema kwa vyombo vyote vya dola kuwa ni kiongozi shupavu. Asiyeyumbishwa na siasa za chuki, uhasama na kuburuzana. Ni mwanasheria aliyebarikiwa kuitendea haki taaluma yake. Ni mfano bora kwa wote wanaovutiwa kusoma taaluma ya sheria. Hata hivyo ni kiongozi mwema na mwenye ushirikiano, heshima, busara na utulivu wa kiakili kama sifa bora ya kuwa amiri jeshi mkuu.

5 . Ni msema kweli. Hili ni sifa bora kabisa ktk utawala wa dunia ya kwanza zilizoendelea. Hawezi kusema kuwa tatizo halipo kwa kulificha. Mdororo wa uchumi na uhusiano wa kimataifa umekuwa ndio wimbo wake siku zote kiasi mahasimu wake wasiopenda ukweli kumwinda na pengine kutaka kuondosha uhai wake. Lisu ni mpenzi wa Mungu kweli kweli.

Karibu Mh Tundu Lissu wewe ni yule ajaye Unayesubiliwa kwa miaka nenda Rudi.
Ni kweli mkuu ukienda Nyamongo Mara utakuta maskini wazee wakikesha kumuombea arudi. sababu aliwapa huduma ya kisheria bure hadi wakafanikiwa azma yao. Magufuli akitaka heshima yake ipande apambane na huyu amshinde kihalali. Atachuma sifa za ajabu. Akianzisha zengwe lolote atanuka nyumbani na ugenini.
 
Magu ukiachana na vigelegele vya madc na waNec ambao nao wanalinda matumbo yao amechokwa chakali. Uliona mikutano yake juzi Morogoro Kilombero ulilivyododa ungedhani ni mkutano wa diwani kumbe ni wa Rais. To make things better alitembea na baraza zima la mawaziri but things did not change. Ktk kujaribu kuleta mvuto kwa wananchi akajikuta anataka kumtumbua DED mbele ya wananchi akidhani anavuta attention yao. Alisikika akilaum eti mbona mkutano ule hakuna wanaume?? Na kwa nini hawamsililiz wanajichekea tu vichekesho?? Hali ikifika pale kama Rais inabidi ujitafakari.

Ya Jafo Juzi arusha umeyasikia??😁😁

haina haja ya watu kujitokeza kila mda maaana jamaa anakubalika nje na ndan ya nchi!! kiukwel tumechoshwa na upinzani uchwara kila mara kuchukua watu wa ccm badala ya kuchukua watu wao wenyewe, sitaki kuweka picha za upande wa pili maana ni aibu ila mwenye macho apa anaona
1594649261991.png
 
Kama wewe ni mfatiliaji wa siasa za Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kuwa kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikosa kiongozi bora wakuongoza watanzania kwa maslahi ya taifa na wala sio vyama na wanaompa vyeo.

Tulipata janga kama taifa baada ya kuongozwa na Mh Rais Magufuli ambaye aliokota urais kama embe chini ya mnazi kwa kupewa na wale wanaoitwa wenye nguvu.

Matokeo yake nchi imekuwa ni vilio vitupu, hali mbaya ya uchumi na uliopo kuwa wa makaratasi tu. Hali mbaya ya amani, upendo kufifia na hofu kutawala nchini.

Sasa kila mtu anahaha namna ya kumwondoa huyu aliyeshika mizizi pasipo kuwa na mvuto kwa watanzania. Mwaka 2015 nchi yetu iliingia katika janga la kiurais kwa kumpata Rais asiyekuwa na uwezo wa kudumisha utawala wa kisheria, kuheshimu katiba na uhuru wa kisisasa, Kiuchumi na kijamii.

Baada ya kilio cha miaka 5 sasa, mwenyezi Mungu anatuletea rais bora kabisa mwenye sifa zifuatazo. Na ana uwezo wa kurejesha matumaini ya watanzania.

Si mwingine ni Tundu Antiphas Mugwai Lissu mbobevu ktk fani ya sheria, mwenye upendo na uzalendo wa kweli ktk nchi yake.

Sifa zifuatazo zitampa Urais TL kwani watanzania wote wanamjua na kumfahamu vizuri asiyekubaliana nazo ana lake binafsi.

1. Ni kiogozi shupavu na jasiri, hili litamwezesha kufabya maamuzi magumu na yenye tija kwa taifa. Wananchi wanaamini hataishia maneno ya majukwani tu bali atatenda kwavitendo na sio maigizo kama ya Rais Mafufuli.

2. Ana uzoefu unaohitajika kuwa Rais. Watanzania wanajua Mh Tundu Lissu ana uzoefu na serikali zote zilizopita kuanzia ya Mwinyi hadi ya Magufuli. Madhaifu ya kiuongozi ni yale yale miaka yote. Na hakuwahi kubadilika ktk misimamo yake ya kusimamia utawala bora, haki na wajibu.

3. Uwezo wa kutuvusha kiuchumi. Mhe Tundu Lissu anafahamika vyema kama mpambanaji wa maslahi kwa wananchi. Anajua vyema changamoto za maisha ya wananchi. Sio kujenga fly over ya mita 500 ubungo na kwenda kuimbia nyimbo tandahimba! INAHUSU!!

4. Yupo tayari kuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania. Kama anavyofahamika vema kwa vyombo vyote vya dola kuwa ni kiongozi shupavu. Asiyeyumbishwa na siasa za chuki, uhasama na kuburuzana. Ni mwanasheria aliyebarikiwa kuitendea haki taaluma yake. Ni mfano bora kwa wote wanaovutiwa kusoma taaluma ya sheria. Hata hivyo ni kiongozi mwema na mwenye ushirikiano, heshima, busara na utulivu wa kiakili kama sifa bora ya kuwa amiri jeshi mkuu.

5 . Ni msema kweli. Hili ni sifa bora kabisa ktk utawala wa dunia ya kwanza zilizoendelea. Hawezi kusema kuwa tatizo halipo kwa kulificha. Mdororo wa uchumi na uhusiano wa kimataifa umekuwa ndio wimbo wake siku zote kiasi mahasimu wake wasiopenda ukweli kumwinda na pengine kutaka kuondosha uhai wake. Lisu ni mpenzi wa Mungu kweli kweli.

Karibu Mh Tundu Lissu wewe ni yule ajaye Unayesubiliwa kwa miaka nenda Rudi.
Lissu anaweza kuliko JPM kwa kiasi kikubwa kabisa. Lissu ni msomi aliyesomeka tofauti ya JPM ambaye usomi wake ni ule wa kuficha takwimu kama vile takwimu za corona. Ana mambo ya kienyeji sana kweli Tz tunaaibika sana kwa mtu huyu kuwa kiongozi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Magu ukiachana na vigelegele vya madc na waNec ambao nao wanalinda matumbo yao amechokwa chakali. Uliona mikutano yake juzi Morogoro Kilombero ulilivyododa ungedhani ni mkutano wa diwani kumbe ni wa Rais. To make things better alitembea na baraza zima la mawaziri but things did not change. Ktk kujaribu kuleta mvuto kwa wananchi akajikuta anataka kumtumbua DED mbele ya wananchi akidhani anavuta attention yao. Alisikika akilaum eti mbona mkutano ule hakuna wanaume?? Na kwa nini hawamsililiz wanajichekea tu vichekesho?? Hali ikifika pale kama Rais inabidi ujitafakari.

Ya Jafo Juzi arusha umeyasikia??😁😁

prove ya kwamba wananchi wamewachoka hii apa
 
Lissu anaweza kuliko JPM kwa kiasi kikubwa kabisa. Lissu ni msomi aliyesomeka tofauti ya JPM ambaye usomi wake ni ule wa kuficha takwimu kama vile takwimu za corona. Ana mambo ya kienyeji sana kweli Tz tunaaibika sana kwa mtu huyu kuwa kiongozi.

lissu lingemkuta janga la corona angekua hajui la kufanya maaana hajui na hawezi ata chemia, yaani na agenda yenu ya corona bado mmeaibika sana na cha ajab mnafuata yale yale ya jpm., kama ulikua na mapenzi na nia ya upinzani ungekua lockdown saaahv ila kwa kua unamkubali mwamba uko mtaani saahv kama kawa na barakoa hujavaa, huu unaitwa unafki wa sifa
 
Hivi nyinyi akili zenu zinawatosha? Nchi ina Rais bora kabisa kwasasa, nyie mnataka kutuletea wendawazimu.

Kama mnamuona anafaa mbona hamjampa chama chenu kwanza akiongoze tuone. Hii nchi siyo ya majaribio
apo sasa
 
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👊🏽👊🏽👊🏽Lissu for President.

Kama wewe ni mfatiliaji wa siasa za Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kuwa kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikosa kiongozi bora wakuongoza watanzania kwa maslahi ya taifa na wala sio vyama na wanaompa vyeo.

Tulipata janga kama taifa baada ya kuongozwa na Mh Rais Magufuli ambaye aliokota urais kama embe chini ya mnazi kwa kupewa na wale wanaoitwa wenye nguvu.

Matokeo yake nchi imekuwa ni vilio vitupu, hali mbaya ya uchumi na uliopo kuwa wa makaratasi tu. Hali mbaya ya amani, upendo kufifia na hofu kutawala nchini.

Sasa kila mtu anahaha namna ya kumwondoa huyu aliyeshika mizizi pasipo kuwa na mvuto kwa watanzania. Mwaka 2015 nchi yetu iliingia katika janga la kiurais kwa kumpata Rais asiyekuwa na uwezo wa kudumisha utawala wa kisheria, kuheshimu katiba na uhuru wa kisisasa, Kiuchumi na kijamii.

Baada ya kilio cha miaka 5 sasa, mwenyezi Mungu anatuletea rais bora kabisa mwenye sifa zifuatazo. Na ana uwezo wa kurejesha matumaini ya watanzania.

Si mwingine ni Tundu Antiphas Mugwai Lissu mbobevu ktk fani ya sheria, mwenye upendo na uzalendo wa kweli ktk nchi yake.

Sifa zifuatazo zitampa Urais TL kwani watanzania wote wanamjua na kumfahamu vizuri asiyekubaliana nazo ana lake binafsi.

1. Ni kiogozi shupavu na jasiri, hili litamwezesha kufabya maamuzi magumu na yenye tija kwa taifa. Wananchi wanaamini hataishia maneno ya majukwani tu bali atatenda kwavitendo na sio maigizo kama ya Rais Mafufuli.

2. Ana uzoefu unaohitajika kuwa Rais. Watanzania wanajua Mh Tundu Lissu ana uzoefu na serikali zote zilizopita kuanzia ya Mwinyi hadi ya Magufuli. Madhaifu ya kiuongozi ni yale yale miaka yote. Na hakuwahi kubadilika ktk misimamo yake ya kusimamia utawala bora, haki na wajibu.

3. Uwezo wa kutuvusha kiuchumi. Mhe Tundu Lissu anafahamika vyema kama mpambanaji wa maslahi kwa wananchi. Anajua vyema changamoto za maisha ya wananchi. Sio kujenga fly over ya mita 500 ubungo na kwenda kuimbia nyimbo tandahimba! INAHUSU!!

4. Yupo tayari kuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania. Kama anavyofahamika vema kwa vyombo vyote vya dola kuwa ni kiongozi shupavu. Asiyeyumbishwa na siasa za chuki, uhasama na kuburuzana. Ni mwanasheria aliyebarikiwa kuitendea haki taaluma yake. Ni mfano bora kwa wote wanaovutiwa kusoma taaluma ya sheria. Hata hivyo ni kiongozi mwema na mwenye ushirikiano, heshima, busara na utulivu wa kiakili kama sifa bora ya kuwa amiri jeshi mkuu.

5 . Ni msema kweli. Hili ni sifa bora kabisa ktk utawala wa dunia ya kwanza zilizoendelea. Hawezi kusema kuwa tatizo halipo kwa kulificha. Mdororo wa uchumi na uhusiano wa kimataifa umekuwa ndio wimbo wake siku zote kiasi mahasimu wake wasiopenda ukweli kumwinda na pengine kutaka kuondosha uhai wake. Lisu ni mpenzi wa Mungu kweli kweli.

Karibu Mh Tundu Lissu wewe ni yule ajaye Unayesubiliwa kwa miaka nenda Rudi.
 
Ugombea uraisi sio shindano la Kutafuta mwenye IQ kubwa!!!!! sio IQ TEST COMPETITION!!!
Hakuna aliyesema hivo mkuu lkn inatakiwa awe mwenye akili timamu sio tutegemee aendeshe nchi kutokana na atakavyoamka hata Baba wa Taifa Mwl Nyerere alikataza japo ccm huwa hamutaki kumsikia Mwal
 
Kama wewe ni mfatiliaji wa siasa za Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kuwa kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikosa kiongozi bora wakuongoza watanzania kwa maslahi ya taifa na wala sio vyama na wanaompa vyeo.

Tulipata janga kama taifa baada ya kuongozwa na Mh Rais Magufuli ambaye aliokota urais kama embe chini ya mnazi kwa kupewa na wale wanaoitwa wenye nguvu.

Matokeo yake nchi imekuwa ni vilio vitupu, hali mbaya ya uchumi na uliopo kuwa wa makaratasi tu. Hali mbaya ya amani, upendo kufifia na hofu kutawala nchini.

Sasa kila mtu anahaha namna ya kumwondoa huyu aliyeshika mizizi pasipo kuwa na mvuto kwa watanzania. Mwaka 2015 nchi yetu iliingia katika janga la kiurais kwa kumpata Rais asiyekuwa na uwezo wa kudumisha utawala wa kisheria, kuheshimu katiba na uhuru wa kisisasa, Kiuchumi na kijamii.

Baada ya kilio cha miaka 5 sasa, mwenyezi Mungu anatuletea rais bora kabisa mwenye sifa zifuatazo. Na ana uwezo wa kurejesha matumaini ya watanzania.

Si mwingine ni Tundu Antiphas Mugwai Lissu mbobevu ktk fani ya sheria, mwenye upendo na uzalendo wa kweli ktk nchi yake.

Sifa zifuatazo zitampa Urais TL kwani watanzania wote wanamjua na kumfahamu vizuri asiyekubaliana nazo ana lake binafsi.

1. Ni kiogozi shupavu na jasiri, hili litamwezesha kufabya maamuzi magumu na yenye tija kwa taifa. Wananchi wanaamini hataishia maneno ya majukwani tu bali atatenda kwavitendo na sio maigizo kama ya Rais Mafufuli.

2. Ana uzoefu unaohitajika kuwa Rais. Watanzania wanajua Mh Tundu Lissu ana uzoefu na serikali zote zilizopita kuanzia ya Mwinyi hadi ya Magufuli. Madhaifu ya kiuongozi ni yale yale miaka yote. Na hakuwahi kubadilika ktk misimamo yake ya kusimamia utawala bora, haki na wajibu.

3. Uwezo wa kutuvusha kiuchumi. Mhe Tundu Lissu anafahamika vyema kama mpambanaji wa maslahi kwa wananchi. Anajua vyema changamoto za maisha ya wananchi. Sio kujenga fly over ya mita 500 ubungo na kwenda kuimbia nyimbo tandahimba! INAHUSU!!

4. Yupo tayari kuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania. Kama anavyofahamika vema kwa vyombo vyote vya dola kuwa ni kiongozi shupavu. Asiyeyumbishwa na siasa za chuki, uhasama na kuburuzana. Ni mwanasheria aliyebarikiwa kuitendea haki taaluma yake. Ni mfano bora kwa wote wanaovutiwa kusoma taaluma ya sheria. Hata hivyo ni kiongozi mwema na mwenye ushirikiano, heshima, busara na utulivu wa kiakili kama sifa bora ya kuwa amiri jeshi mkuu.

5 . Ni msema kweli. Hili ni sifa bora kabisa ktk utawala wa dunia ya kwanza zilizoendelea. Hawezi kusema kuwa tatizo halipo kwa kulificha. Mdororo wa uchumi na uhusiano wa kimataifa umekuwa ndio wimbo wake siku zote kiasi mahasimu wake wasiopenda ukweli kumwinda na pengine kutaka kuondosha uhai wake. Lisu ni mpenzi wa Mungu kweli kweli.

Karibu Mh Tundu Lissu wewe ni yule ajaye Unayesubiliwa kwa miaka nenda Rudi.
Wewe Tundu Lissu acha kujisifia ujinga. Wewe hufai hata kuongaza familia yako. Kwanza ni mnafiki pili huna upendo wa dhati na nchi yako.

Umediliki hata kula njama nchi yako ikose misaada. Huku ukijua wazi ya kuwa nchi ikikosa misaada haumii Magufuli bali wananchi tena wanyonge.

Umekuwa ukipinga wazi juhudi za Rais za kurekebisha mikataba ya madini ukidai nchi itafilisiwa.
 
Lissu is our saviour , I hope that after archived to rule this country, First we suppose to arrest Juma maharage and his family , and to keep them in jail without bail
No,don't procecute them,let's make them regret and have National Reconcilliations.Some of them it's because of Brain Hunger.
 
Kama wewe ni mfatiliaji wa siasa za Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kuwa kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikosa kiongozi bora wakuongoza watanzania kwa maslahi ya taifa na wala sio vyama na wanaompa vyeo.

Tulipata janga kama taifa baada ya kuongozwa na Mh Rais Magufuli ambaye aliokota urais kama embe chini ya mnazi kwa kupewa na wale wanaoitwa wenye nguvu.

Matokeo yake nchi imekuwa ni vilio vitupu, hali mbaya ya uchumi na uliopo kuwa wa makaratasi tu. Hali mbaya ya amani, upendo kufifia na hofu kutawala nchini.

Sasa kila mtu anahaha namna ya kumwondoa huyu aliyeshika mizizi pasipo kuwa na mvuto kwa watanzania. Mwaka 2015 nchi yetu iliingia katika janga la kiurais kwa kumpata Rais asiyekuwa na uwezo wa kudumisha utawala wa kisheria, kuheshimu katiba na uhuru wa kisisasa, Kiuchumi na kijamii.

Baada ya kilio cha miaka 5 sasa, mwenyezi Mungu anatuletea rais bora kabisa mwenye sifa zifuatazo. Na ana uwezo wa kurejesha matumaini ya watanzania.

Si mwingine ni Tundu Antiphas Mugwai Lissu mbobevu ktk fani ya sheria, mwenye upendo na uzalendo wa kweli ktk nchi yake.

Sifa zifuatazo zitampa Urais TL kwani watanzania wote wanamjua na kumfahamu vizuri asiyekubaliana nazo ana lake binafsi.

1. Ni kiogozi shupavu na jasiri, hili litamwezesha kufabya maamuzi magumu na yenye tija kwa taifa. Wananchi wanaamini hataishia maneno ya majukwani tu bali atatenda kwavitendo na sio maigizo kama ya Rais Mafufuli.

2. Ana uzoefu unaohitajika kuwa Rais. Watanzania wanajua Mh Tundu Lissu ana uzoefu na serikali zote zilizopita kuanzia ya Mwinyi hadi ya Magufuli. Madhaifu ya kiuongozi ni yale yale miaka yote. Na hakuwahi kubadilika ktk misimamo yake ya kusimamia utawala bora, haki na wajibu.

3. Uwezo wa kutuvusha kiuchumi. Mhe Tundu Lissu anafahamika vyema kama mpambanaji wa maslahi kwa wananchi. Anajua vyema changamoto za maisha ya wananchi. Sio kujenga fly over ya mita 500 ubungo na kwenda kuimbia nyimbo tandahimba! INAHUSU!!

4. Yupo tayari kuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania. Kama anavyofahamika vema kwa vyombo vyote vya dola kuwa ni kiongozi shupavu. Asiyeyumbishwa na siasa za chuki, uhasama na kuburuzana. Ni mwanasheria aliyebarikiwa kuitendea haki taaluma yake. Ni mfano bora kwa wote wanaovutiwa kusoma taaluma ya sheria. Hata hivyo ni kiongozi mwema na mwenye ushirikiano, heshima, busara na utulivu wa kiakili kama sifa bora ya kuwa amiri jeshi mkuu.

5 . Ni msema kweli. Hili ni sifa bora kabisa ktk utawala wa dunia ya kwanza zilizoendelea. Hawezi kusema kuwa tatizo halipo kwa kulificha. Mdororo wa uchumi na uhusiano wa kimataifa umekuwa ndio wimbo wake siku zote kiasi mahasimu wake wasiopenda ukweli kumwinda na pengine kutaka kuondosha uhai wake. Lisu ni mpenzi wa Mungu kweli kweli.

Karibu Mh Tundu Lissu wewe ni yule ajaye Unayesubiliwa kwa miaka nenda Rudi.
Ama kweli MTU akinywa uji huropoka tu umesahau singida mashariki hawakuwa na maji sembuse akipewa nchi alipinga ujenzi was Barbara akisema kilimo kwanza utatembea juu ya maindi?? Ety bwawa la umeme Galina faida anadhani watanzania wanatumia umeme was mavi??? Ukiwa huna cha kuongea fyata mdomo wako tuna hasira na Hutu mpuuuzi
 
Lissu anaweza kuliko JPM kwa kiasi kikubwa kabisa. Lissu ni msomi aliyesomeka tofauti ya JPM ambaye usomi wake ni ule wa kuficha takwimu kama vile takwimu za corona. Ana mambo ya kienyeji sana kweli Tz tunaaibika sana kwa mtu huyu kuwa kiongozi.

Unaaibika wapi. Sasa Niko hapa Ujerumani Napata [emoji481] Bier. Sina wasi na ndugu zangu wa TZ. JPM anatosha. Nyie wapenda taarabu nendeni mkajipange mstari. Ila JPM machine. yani mtu anapata muda wa kucheza na kuimba taarabu hapa no lock down na bado anaropoka.

Turudi kwenye uhalisia, Hivi Lissu aliyekanwa na wadhamini Wake anawezaje hata kuwaza kugombea ukatibu Kata. Mnajifanya mmesahau kesi ya wazi kabisa 2017. tafadhari. Msipende kushiba mtandaoni rudini kwenye ground. Ukweli muhimu hata kama unauma.
 
Ama kweli MTU akinywa uji huropoka tu umesahau singida mashariki hawakuwa na maji sembuse akipewa nchi alipinga ujenzi was Barbara akisema kilimo kwanza utatembea juu ya maindi?? Ety bwawa la umeme Galina faida anadhani watanzania wanatumia umeme was mavi??? Ukiwa huna cha kuongea fyata mdomo wako tuna hasira na Hutu mpuuuzi
Singida hawakuwa na maji. Cabinet ya JPM ilijiapiza kupeleka miradi ya maendeleo ktk majimbo ya wapinzani. Na hili ndilo linamwondolea sifa ya kuwa Rais JPM ni mbaguzi hafai kuvumiliwa kwa namna yoyote
 
Unaaibika wapi. Sasa Niko hapa Ujerumani Napata [emoji481] Bier. Sina wasi na ndugu zangu wa TZ. JPM anatosha. Nyie wapenda taarabu nendeni mkajipange mstari. Ila JPM machine. yani mtu anapata muda wa kucheza na kuimba taarabu hapa no lock down na bado anaropoka.

Turudi kwenye uhalisia, Hivi Lissu aliyekanwa na wadhamini Wake anawezaje hata kuwaza kugombea ukatibu Kata. Mnajifanya mmesahau kesi ya wazi kabisa 2017. tafadhari. Msipende kushiba mtandaoni rudini kwenye ground. Ukweli muhimu hata kama unauma.
Eti ujerumani. Yaani unaona kuwa ujerumani ni dili?? 😄😄
 
Back
Top Bottom