Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshakula? Au tushukuru MunguVigezo gani ulivyojiweka .. uolewe/kuoa mtu wa aina gani na kwanini??
Sitokuona BAHILI ila najua tu huna na huna haja ya kujielezaUnataka hela zangu? Sikupi mkuu!
Nikikwambia sina hela utaamini au utaanza kuniona bahili? [emoji38]
Wanwake wengi ndio wanaongoza kwa ubinafsi, hilo liko wazi hata pesa anayoipata kupitq kazi au biashara huqa wanasema kabisa haiusiki kwenye matumizi ya nyumbani .. iwe ni bills au chakula!Hivi kwanini wanaume walio wengi huwa Ni wabinafsi Sana,cjui wameumbikaje Hawa watu.
Mtu anataka mwanamke asietumika wakati yeye hakuna kitu asichokijua kwa mwanamke,amepitia Hadi na wale wanaofanya biashara ya mwili
Hataki mwanamke anaetokea familia masikini wakati yeye mwenyew kwao kunanukia vumbi. Wakati mwingine Ni vizuri kuwa na misismamo chanya katika maisha
Sema kweliTunatofautiana mitazamo katika miasha na hilo ni jmabo la kawaida kabisa.
Upate hiko chakula , ukose Shukuru Mungu.
Hahaha 6was9 kuna point nimeielewa hapo aiceee kwamba kwann anataka kumnyima Uhuru!!Hayo ni maneno ya walevi mwamba! Na
kwanini ufunge pingu za maisha na malaya?
Kwanini unataka kumnyima malaya uhuru wake?
Mara nyingi hutokakana na tabia za waume zaoWanwake wengi ndio wanaongoza kwa ubinafsi, hilo liko wazi hata pesa anayoipata kupitq kazi au biashara huqa wanasema kabisa haiusiki kwenye matumizi ya nyumbani .. iwe ni bills au chakula!
Hizo tabia nyingine ni za kihuni tu na sitarajii kama utakuwa tayari kuolewa/kuoa mtu mwenye tabia hizo za kihuni
Asilimia kubwa wanaume sio wabinafsi mkuu,Mara nyingi hutokakana na tabia za waume zao
Muhimu awe na kifanyio.Ukweli ni kwamba umeset vigezo vyako ni mtu gani wa kuwa nae maishani na si kila mtu anayekujia tu!
Familia maskin zina changamoto kubwa san yan unaweza ukapat vihela kidog wakaona wakushushie matatizo na mizigo yote ya ukoo yan unakuwa huendelei mbele kimaishaYaani ulivyoandika ni kama familia zote za kimaskini zipo hivo... point ni kwamba tuoe mabikra hayo mengine sio ya msingi
AsanteEnjoy maisha, ila acha kubeba mizigo ya familia ya mke wako ... utanishukuru