Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoNYANI[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]sifa yenu ni kupeana majina ya wanyama
ana kinemb**??Kwanini mkurya ,mbona wakurya wako poa tu....nna demu wangu wa kikurya mbona yuko vizuri idara zote....
nakuja pm unikarim "kikubwa"Kwakweli ukarimu tumejaaliwa
hata usiposema tushajua. ila pole ndo ivo mkuu[emoji2] [emoji2]Siri yangu....sitakiwi ku-expose nyeti za mwandani wangu....................
Wapare mko wapi mjibu hizi tuhuma inaelekea mmefanya kitu mbaya sana huyu ndugu. Sharti mchinjie kondoo la sivyo cha moto mtakipata. HahahhahahWapare ni wabahili pia wana roho mbaya, kuna siku nlikutana na mdada kwenye bus, akawa ananipa story ya shoga ake anamfanyia visa, anafanya mambo kwa binafsi n.k n.k nikamuuliza rafiki ako ni mpare? Akajibu ndio... Nilicheka, Wapare wana roho mbaya
OyeeeeeeeeeeeWanyakyusa oyeeee [emoji4][emoji4][emoji4]
Mdigo ni mzigo mkuu uliza uambiwe hao ndio walioleta falsafa ya figa moja halieleki chungu lazma yawe matatu... Na ule wa dumu halitoshi ukienda kisiman shart ubebe na kidumu cha wakat wa emergency...Wadigo,na wataturu ni jasiri na hawapendi shali lkn ukuwa chokozaa...ni hatri
Na mim nifanyeje ili unifate PM? Mana ni zaid ya mwaka sasa nakumezea mate na sijui hata nakuanzajeNaja pm kwa mifano hai
Mbona kuhusu ndumba hujasema au umesahau kigoma ndio mwisho wa reli chuo kikuu cha ushirikina sub saharan africaNitaendelea kuoa uwanawake Wa kiha tu, they are hard wttorker, life focused, ethical, tolerant, obedient, religious na zaidi ya yote wanaogopa kuachika hivyo unaweza kwenda kusoma bachelor mpaka PhD nje ya nchi na utamkuta anakusubiri
Wengne wana conflict of interest huenda amelemaa akachkuliwa mume na mpare anakuja kutoa povu lake hapaWapare mko wapi mjibu hizi tuhuma inaelekea mmefanya kitu mbaya sana huyu ndugu. Sharti mchinjie kondoo la sivyo cha moto mtakipata. Hahahhahah
NILITAKA KUSHAWISHIKA KUWA UNAJUA SIFA ZA MAKABILA ILA SIFA ULIZOYIA KWA HAWA NDO ZIMEFANYA NIKUYILIE MASHAKA KUWA YAWEZEKANA UNAJUA SIFA HIZI JUU JUU LABDA KWA MTU MLOKOROFISHANA UKA GENERALIZE.Wanyiramba hawana shida, ni wazuri tu ila wakiuza mazao wakashika hela ndo wanaota mapembe wanatafuta hadi kesi ili watumie pesa, ila ni wazuri kwakweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli kbs hujakosea mkuuNajua kila kabila lina sifa zake nzuri na zisizofurahisha.
Mfano Wanyaturu wengi ni warefu na weupe. Pia wana changamoto kwenye dental fomula zao yaani mpangilio wa meno haujakaa vizuri.
Njoni mie mie nimeanzisha tu.
Mi nimeishi nao hawana shidaNILITAKA KUSHAWISHIKA KUWA UNAJUA SIFA ZA MAKABILA ILA SIFA ULIZOYIA KWA HAWA NDO ZIMEFANYA NIKUYILIE MASHAKA KUWA YAWEZEKANA UNAJUA SIFA HIZI JUU JUU LABDA KWA MTU MLOKOROFISHANA UKA GENERALIZE.
WANYIRAMBA NIMEKAA NAO MIAKA 9 HAMNA WATU WAGUMU KUISHI NAO KAMA HAWA.
MOJA YA SIFA YAO NI UTAFUTAJI ILA HAWAPENDANI NA NDIO MAANA KILA ANAYEFANIKIWA LAZIMA AONDOKE MAENEO YA KWAO KWANI ANAWEZA KUONDOLEWA DUNIANI.