Sifurahishwi na Wachina kujenga sanamu ya baba wa Taifa

Sifurahishwi na Wachina kujenga sanamu ya baba wa Taifa

JF
Nimeona tangazo la Mh.Waziri kuhusiana na Sanam ya baba wa Taifa ambayo wamesema watajitolea kugharamia na ambayo itawekwa Makumbusho ya Taifa...Najiuliza kwa sauti kubwa sana
1. Hivi nchi yetu haiwez kugharamia hili..how much?
2. Ile ni Sanam nyeti mno na ni nembo kwa Taifa letu..kwanini tuwape wachina waweke nembo ya baba wa Taifa kwetu..why...
3. Ni lazima vitu vingine tuweke values zetu na tutembee vifua mbele kwamba nisisi tumetengeneza na hata wao wanaweza kufanya moja ya sehem ya utalii..ya kutembelea..je? Wanalitengeneza wao itakuwa na thamani gani kwao kuja kuiangalia...si wanaijua in/out.
4. Ni lazima tuwe watu wa kutengeneza values zetu..na hata hao wachina na wengine watatuheshim siku zote..
Nawaza kwa sauti kubwa sana.. sifurahishwiii wajameni
sanamu lina unyeti gani sasa
 
Kwa maneno yako tayari umeshajidharau na kujikataa..jomba uko vizuri..wewe utakuwa teenager hujui hizi habari
Yaani wewe kujikubali Ni kuogopa sanamu ya Nyerere?

Bure kabisa

Wachina wamewajengea Bunge lenu lile wamefunga mifumo yote ya ulinzi na IT huoni ni tatizo ila sanamu ya Nyerere?

Alafu unajikuta sensitiiiiiiiiiiiive mwenyewe.

Sasa wataiba nini kwenye kutengeneza sanamu? Watu wengine mna shida Sana

Eti teenager. Kwahiyo we unaona ukubwa ni kuwa mshamba?
 
sanamu lina unyeti gani sasa
Hahaha jomba nenda kafanye Mambo mengine kama kusoma kasome fanya homework...Hivi huoni mpaka Nchi inajitolea kujenga na kugharamia..hau feel kitu hapo
 
Ule Upuuzi Uliowekwa Dodoma Wenyewe Wanaita Nyerere Square
Wahandisi Wameshindwa Kujenga Sanamu Kubwa Lile La US, Ama Brazil
 
Hahaha jomba nenda kafanye Mambo mengine kama kusoma kasome fanya homework...Hivi huoni mpaka Nchi inajitolea kujenga na kugharamia..hau feel kitu hapo
ni feel nini sasa, Tanzania China friendship tu
 
Yaani wewe kujikubali Ni kuogopa sanamu ya Nyerere?

Bure kabisa

Wachina wamewajengea Bunge lenu lile wamefunga mifumo yote ya ulinzi na IT huoni ni tatizo ila sanamu ya Nyerere?

Alafu unajikuta sensitiiiiiiiiiiiive mwenyewe.

Sasa wataiba nini kwenye kutengeneza sanamu? Watu wengine mna shida Sana

Eti teenager. Kwahiyo we unaona ukubwa ni kuwa mshamba?
Jomba hiv unajua Bunge lilivyojengwa..si uulize kwanza kabla ya kusema...
 
Aaah jomba miaka hiyo alikuwa Mao..na ndie aliyeweka misingi imara ya Taifa ambalo unaliona sasa
Deng ndiye aliyeibadili China,ndiye aliyewaambia wachina wasome waache taboos, Deng ndiye baba wa uchumi wa China leo
 
Jomba hiv unajua Bunge lilivyojengwa..si uulize kwanza kabla ya kusema...
Punguza unoko wa kishamba jamaa

Serekali yako inavyopiga magoti kukopa hadi hela za dawa mahospitalini huoni kama huko ndo kujikataa ila kujengewa sanamu
 
Punguza unoko wa kishamba jamaa

Serekali yako inavyopiga magoti kukopa hadi hela za dawa mahospitalini huoni kama huko ndo kujikataa ila kujengewa sanamu
Nadhan hakuna shida na kukopa...kwa sababu fedha unayokopa Ni kama yako tu.kwa sababu mwisho wa siku utatafuta hela uilipe..kwa lazima...au unadhan. Ukikopa unapewa bure hudaiwi
 
Punguza unoko wa kishamba jamaa

Serekali yako inavyopiga magoti kukopa hadi hela za dawa mahospitalini huoni kama huko ndo kujikataa ila kujengewa sanamu
Jomba wewe hujawah kopa
 
Kakudanganya nani Mimi mtoto!?..nimefulia majani ya mpapai,milenda,gwanji,sukari guru,ilikua ukiondoka tabora ukarudi miaka 15 baadae hukuti mabadiliko yoyote,nchi haijengeki,foleni za unga,watu kutembea uchi kusini huko kwa kukosa nguo...na mwenyewe alisema ujamaa ulifeli
Huna ujualo wewe. Unapiga kampeni tu hapa za kipumbavu kama kawaida.
 
Mkuu 'Babeli', labda ungeweka utangulizi au ufafanuzi kidogo wa habari yako ingependeza sana.

Hii habari wewe umeitoa wapi; na kuna maelezo yoyote juu yake kwa nini waChina wame"pendekeza/omba/wanamsukumo wa kufanya kazi hiyo?
Ni nani anahusika kwa Tanzania kutoa uamzi kazi itekelezwe?

Maswali ni mengi sana, lakini hayo tuyaache pembeni nijaribu kuungana nawe kwenye baadhi ya uliyoandika hapo juu.

Nami nauliza: hivi kwa mfano, swerkali, au basi tuseme ile Taasisi inayohusiana na maswala ya Mwalimu chini ya (nani yule Butiku?), wangesema wanao mpango wa kutoa heshima hiyo kwa Mwalimu, na wakawaambia waTanzania wenyewe kuchangia kazi hiyo, hata Tsh 500/ tu kwa wenye uwezo ndani ya nchi hii na hiyo mia tano, kweli ingeshindikana kuifanya kazi hiyo?

Anyway, Mwalimu mwenyewe alisema wakati wa uhai wake kwamba hana mpango na masanamu, lakini katika hili hana uamzi juu yake, kwa hiyo waTanzania wangejisikia vizuri zaidi kuwa sehemu ya kumuenzi kiongozi wao aliyewatumikia kwa unyenyekevu mkubwa sana.

Kuhusu viongozi wa leo tulio nao, hii habari yako haina mashiko yoyote kwao, kwa hiyo vyovyote na iwavyo wao hayawahusu. Watajionyesha tu kwa nje kushiriki na kuruhusu mambo lakini kwa ndani hawana chochote kinachowaunganisha na aliyoyasimamia Mwalimu ndani ya nchi hii.

Acha waChina wajenge, kwani wanajua urafiki wa dhati aliowapa Mwalimu wakati wa uhai wake.
Watayafanya haya si kwa kuwapendesha viongozi waliopo, lakini ni shukrani zao za dhati kwa Mwalimu.
Bro nimekuelewa sana na andiko lako...yes maamuzi ameyatamka leo Waziri wetu wa Utalii..lakini bado kwangu lunaloniuma hivi kweli Wachina wanamwona baba wa Taifa wa muhimu zaidi ya Watanzania ambao alitutumikia...katika uhai wake wote...is it...??ni lazima ifike mahali tuwe na ownership ya vitu vya muhimu kama hivyo ambavyo vinaweka kumbukumbuku ya vizazi vijavyo...
 
Acha tu watengeneze wachina. Tukianza kuwapa wabongo watengenezea kinyago cha mpapure halafu tutaanza kulaumiana tu hapa.
 
Tumeisha kuwa Taifa la ombaomba na kutegemea misaada katika kila kitu na tunajivunia ujinga huo na kuona tunapendwa sana ndio maana tunasaidiwa.
 
Acha tu watengeneze wachina. Tukianza kuwapa wabongo watengenezea kinyago cha mpapure halafu tutaanza kulaumiana tu hapa.
Tunaweza hata ku hire Mkandarasi mtaalam lakini tunamsimamia anavyotengeneza lakini pia tunatumia fedha yetu
 
Acha tu watengeneze wachina. Tukianza kuwapa wabongo watengenezea kinyago cha mpapure halafu tutaanza kulaumiana tu hapa.
Tunaweza hata ku hire Mkandarasi mtaalam lakini tunamsimamia anavyotengeneza lakini pia tunatumia fedha zetu...msaada wa nini kutengeneza sanamu, is the cost in bilions?
 
Back
Top Bottom