Sifurahishwi na Wachina kujenga sanamu ya baba wa Taifa

Sifurahishwi na Wachina kujenga sanamu ya baba wa Taifa

JF
Nimeona tangazo la Mh.Waziri kuhusiana na Sanam ya baba wa Taifa ambayo wamesema watajitolea kugharamia na ambayo itawekwa Makumbusho ya Taifa...Najiuliza kwa sauti kubwa sana
1. Hivi nchi yetu haiwez kugharamia hili..how much?
2. Ile ni Sanam nyeti mno na ni nembo kwa Taifa letu..kwanini tuwape wachina waweke nembo ya baba wa Taifa kwetu..why...
3. Ni lazima vitu vingine tuweke values zetu na tutembee vifua mbele kwamba nisisi tumetengeneza na hata wao wanaweza kufanya moja ya sehem ya utalii..ya kutembelea..je? Wanalitengeneza wao itakuwa na thamani gani kwao kuja kuiangalia...si wanaijua in/out.
4. Ni lazima tuwe watu wa kutengeneza values zetu..na hata hao wachina na wengine watatuheshim siku zote..
Nawaza kwa sauti kubwa sana.. sifurahishwiii wajameni
Watanzania kama wanaweza kutengeza sanamu siku zote walikuwa wapi!!? Hii kazi ina utalaamu wake siyo kama kuchonga vinyago. Siyo kazi ndogo kama unavyofikiri. Mara ya mwisho tuliona sanamu tuliyoletewa na Kigwangalla.... Local made.
 
Take it easy mkuu. Sanamu ni sanamu tu, hayana unyeti wa kuzidi.

Relax, acha watengeneze labda litakuwa zuri. Unakumbuka kitu alitengeneza Kigwangala? Ule ndio uwezo wetu sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani wewe kujikubali Ni kuogopa sanamu ya Nyerere?

Bure kabisa

Wachina wamewajengea Bunge lenu lile wamefunga mifumo yote ya ulinzi na IT huoni ni tatizo ila sanamu ya Nyerere?

Alafu unajikuta sensitiiiiiiiiiiiive mwenyewe.

Sasa wataiba nini kwenye kutengeneza sanamu? Watu wengine mna shida Sana

Eti teenager. Kwahiyo we unaona ukubwa ni kuwa mshamba?
[emoji23][emoji23][emoji23] akikujibu hii tag me plz!
 
JF
Nimeona tangazo la Mh.Waziri kuhusiana na Sanam ya baba wa Taifa ambayo wamesema watajitolea kugharamia na ambayo itawekwa Makumbusho ya Taifa...Najiuliza kwa sauti kubwa sana
1. Hivi nchi yetu haiwez kugharamia hili..how much?
2. Ile ni Sanam nyeti mno na ni nembo kwa Taifa letu..kwanini tuwape wachina waweke nembo ya baba wa Taifa kwetu..why...
3. Ni lazima vitu vingine tuweke values zetu na tutembee vifua mbele kwamba nisisi tumetengeneza na hata wao wanaweza kufanya moja ya sehem ya utalii..ya kutembelea..je? Wanalitengeneza wao itakuwa na thamani gani kwao kuja kuiangalia...si wanaijua in/out.
4. Ni lazima tuwe watu wa kutengeneza values zetu..na hata hao wachina na wengine watatuheshim siku zote..
Nawaza kwa sauti kubwa sana.. sifurahishwiii wajameni
Haujakatazwa kutengeneza mradi isifanane na mjomba wako kama ili ya Dodoma iliyokataliwa.
 
JF
Nimeona tangazo la Mh.Waziri kuhusiana na Sanam ya baba wa Taifa ambayo wamesema watajitolea kugharamia na ambayo itawekwa Makumbusho ya Taifa...Najiuliza kwa sauti kubwa sana
1. Hivi nchi yetu haiwez kugharamia hili..how much?
2. Ile ni Sanam nyeti mno na ni nembo kwa Taifa letu..kwanini tuwape wachina waweke nembo ya baba wa Taifa kwetu..why...
3. Ni lazima vitu vingine tuweke values zetu na tutembee vifua mbele kwamba nisisi tumetengeneza na hata wao wanaweza kufanya moja ya sehem ya utalii..ya kutembelea..je? Wanalitengeneza wao itakuwa na thamani gani kwao kuja kuiangalia...si wanaijua in/out.
4. Ni lazima tuwe watu wa kutengeneza values zetu..na hata hao wachina na wengine watatuheshim siku zote..
Nawaza kwa sauti kubwa sana.. sifurahishwiii wajameni
Kabla ya kufikiria haya, ulishajiuliza kwanza kama akili za kufikiria unazo?
 
JF
Nimeona tangazo la Mh.Waziri kuhusiana na Sanam ya baba wa Taifa ambayo wamesema watajitolea kugharamia na ambayo itawekwa Makumbusho ya Taifa...Najiuliza kwa sauti kubwa sana
1. Hivi nchi yetu haiwez kugharamia hili..how much?
2. Ile ni Sanam nyeti mno na ni nembo kwa Taifa letu..kwanini tuwape wachina waweke nembo ya baba wa Taifa kwetu..why...
3. Ni lazima vitu vingine tuweke values zetu na tutembee vifua mbele kwamba nisisi tumetengeneza na hata wao wanaweza kufanya moja ya sehem ya utalii..ya kutembelea..je? Wanalitengeneza wao itakuwa na thamani gani kwao kuja kuiangalia...si wanaijua in/out.
4. Ni lazima tuwe watu wa kutengeneza values zetu..na hata hao wachina na wengine watatuheshim siku zote..
Nawaza kwa sauti kubwa sana.. sifurahishwiii wajameni
Ngoja waweke vifaa vya kudukua taarifa zetu.

USA wamepeleka maputo
 
Hoja yako INA mashiko sana sema hatuthamini utamaduni wetu kitaifa. Labda kama wqchina wanajenga sanam LA ghorofa
 
Una uhakika gani mkuu kama hiyo sanamu haitabeba siri nyingine nyuma ya pazia?
Hofu hii ilikuwa inazunguka Kichwani mwangu.

Kama wametuhumiwa kuweka vifaa vya siri vya mawasiliano kwenye Ukumbi wa Umoja wa Afrika watashindwa kuweka chochote kwenye sanamu?
 
Kakudanganya nani Mimi mtoto!?..nimefulia majani ya mpapai,milenda,gwanji,sukari guru,ilikua ukiondoka tabora ukarudi miaka 15 baadae hukuti mabadiliko yoyote,nchi haijengeki,foleni za unga,watu kutembea uchi kusini huko kwa kukosa nguo...na mwenyewe alisema ujamaa ulifeli
Haa kwa ulivyoyaorodhesha wewe kweli ulipitia haya. Nakumbuka mpaka mzee Mwinyi aliwaambia wauza mitumba wapeleke na kusini kwani wengi hawana nguo za kuvaa.
 
Take it easy mkuu. Sanamu ni sanamu tu, hayana unyeti wa kuzidi.

Relax, acha watengeneze labda litakuwa zuri. Unakumbuka kitu alitengeneza Kigwangala? Ule ndio uwezo wetu sasa
Wachina wamesema ngoja tuwaonyeshee jinsi ya kutengeneza sanamu tutalilipia na kuwapa bure, lile la Kigwa watu walikula mabillion hio Sanamu saaasa! 😂
 
JF
Nimeona tangazo la Mh.Waziri kuhusiana na Sanamu ya baba wa Taifa ambayo wamesema watajitolea kugharamia na ambayo itawekwa Makumbusho ya Taifa.

Najiuliza kwa sauti kubwa sana

1. Hivi nchi yetu haiwezi kugharamia hili? how much?

2. Ile ni Sanamu nyeti mno na ni nembo kwa Taifa letu, kwanini tuwape wachina waweke nembo ya baba wa Taifa kwetu, why?

3. Ni lazima vitu vingine tuweke values zetu na tutembee vifua mbele kwamba ni sisi tumetengeneza na hata wao wanaweza kufanya moja ya sehemu ya utalii ya kutembelea. Je, Wanalitengeneza wao itakuwa na thamani gani kwao kuja kuiangalia si wanaijua in/out.

4. Ni lazima tuwe watu wa kutengeneza values zetu..na hata hao wachina na wengine watatuheshimu siku zote..

Nawaza kwa sauti kubwa sana.. sifurahishwi wajameni
There secretly ya wachina kujitolea kujenga hasa nchi za africa

Wachina wamejitolea na kuchukua tenda ya majengo mengi ya serikali africa wanachokifanya ni unyama sana

Wachina wanaweka mifumo ya kupata taarifa zote zinazoendelea kwenye jengo walilojenga, siri zote wachina wanazipata

Hivyo kila wanachokifanya ni kwa kusudi maalumu
 
Take it easy mkuu. Sanamu ni sanamu tu, hayana unyeti wa kuzidi.

Relax, acha watengeneze labda litakuwa zuri. Unakumbuka kitu alitengeneza Kigwangala? Ule ndio uwezo wetu sasa
Kwa maoni yako, na watu Zaidi ya 15 wamekupa "thanks" inaonyesha vipi waTanzania wengi walivyo namtindi wa ubongo, very low IQ, hatujitambui, shame on you; -------
 
JF
Nimeona tangazo la Mh.Waziri kuhusiana na Sanamu ya baba wa Taifa ambayo wamesema watajitolea kugharamia na ambayo itawekwa Makumbusho ya Taifa.

Najiuliza kwa sauti kubwa sana

1. Hivi nchi yetu haiwezi kugharamia hili? how much?

2. Ile ni Sanamu nyeti mno na ni nembo kwa Taifa letu, kwanini tuwape wachina waweke nembo ya baba wa Taifa kwetu, why?

3. Ni lazima vitu vingine tuweke values zetu na tutembee vifua mbele kwamba ni sisi tumetengeneza na hata wao wanaweza kufanya moja ya sehemu ya utalii ya kutembelea. Je, Wanalitengeneza wao itakuwa na thamani gani kwao kuja kuiangalia si wanaijua in/out.

4. Ni lazima tuwe watu wa kutengeneza values zetu..na hata hao wachina na wengine watatuheshimu siku zote..

Nawaza kwa sauti kubwa sana.. sifurahishwi wajameni
Unaikumbuka sanamu ya mwl nyerere aliyoitengeneza Kigwangala?
Bora wachina wajenge
images (80).jpeg
 
2. Ile ni Sanamu nyeti mno na ni nembo kwa Taifa letu, kwanini tuwape wachina waweke nembo ya baba wa Taifa kwetu, why?
Salaam zimfikie Hamis Kingwangala
 
Back
Top Bottom