Siijui formula ya kuoa lakini haya ni mambo nayodhani yemechangia nimepata mke mwenye ushirikiano tunaeishi kwa amani, waweza pata somo

Siijui formula ya kuoa lakini haya ni mambo nayodhani yemechangia nimepata mke mwenye ushirikiano tunaeishi kwa amani, waweza pata somo

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Wala siijui formula ya aina ipi ya mwanamke wa kuoa hata huyu nilite naye siijui kesho yetu hivyo nachoweka hapa ni theory tu lakini waweza kupata kitu.

Sikuoa rafiki yangu, nilikuwa na marafiki wengi wa kike hata wa muda mrefu tuliowahi kuwa kwenye uchumba lakini haikuwahi kunijia akilini kuoa rafiki wa kike.

Nimemuoa akiwa na miaka 19, cha kuzingatia zaidi nimemzidi miaka, tupo rika tofauti, kwa makadirio yangu nadhani binti wa miaka 18 hadi 23 ana experience ndogo kwenye mapenzi kuliko mwanamke mwenye umri mkubwa, pia itakuwa binti mdogo ni rahisi kumfinyanga kwa jinsi ulivyo kuliko mwanamke mkubwa

Nimeoa kwenye jamii ambayo ndugu wa karibu na wa mbali hawaingilii sana maisha ya mwanamke akiolewa, sijajua kama imetoka kwenye ukoo au kabila lake, Katokea Iringa ila baada ya mkoa kugawanywa itakuwa ni Njombe, Wazazi wake tunawatembelea na kuwajulia hali lakini wao hapa kwetu mama yake amewahi kuja mara chache, Ndugu zake wakija huwa ni kwa shughuli zao, alipojifungua na alipowahi kuumwa ndugu walikuja mumpa msaada alipopona wakakaa kidogo wakarudi makwao .

Haendekezi mambo ya dini, Siku ya kwenda ibada ni moja shughuli imeishia hapo ni mpaka wiki lijalo, kwa mawazo yangu huwa naona labda wanawake wakianza kushinda sana sehemu za ibada, dorminance ya mwanaume wake inahamia kwa wachungaji.

Ana elimu ya kawaida, si jambo la kufurahia lakini naweza kuweka iwe moja ya factors, kaishia form 4 ana division 3 yake, Nimekuwa nikisikia baadhi ya wanaume waliooa wanawake wasomi wakilalamika lakini kwa utafiti mdogo niliofanya kuna namna vyuo huchangia, mwanafunzi wa sekondari akiingia chuo kuna ule uhuru wa ghafla tena akiwa mbali na kwao bila usimamizi, tuliosoma vyuoni tumejionea live jinsi mabinti wanavyobadilika kwa kasi ya radi ndani ya muda mfupi, hii inawathiri hata wakimaliza chuo, kuna mtindo wa maisha, marafiki waliowazunguka na vitu walivyojifunza vinavyoweza kuleta changamoto ndani ya ndoa.

Nilimjaribu kabla hatujaingia kwenye ndoa, vijana wengi siku hizi wanavuta jiko ndani bila kujua uimara wake, sio mtaalam sana wa kupima vigezo lakini binafsi nilimpima kwa kunifulia nguo, kunipikia, usafi wa chumba enzi hizo nimepanga vyumba viwili, n.k. so tulipoingia kwenye ndoa nilishajipatia uhakika haya mambo anaweza,

Meza jeuri yako pale unapoona umekosea au umemkosea mke wako, usihamishe lawama ama kutafuta visingizio, ni ngumu kwa mwanaume kusema samahani lakini waweza konyesha kwa vitendo na yeye atajua,
 
Wala siijui formula ya aina ipi ya mwanamke wa kuoa hivyo nachoweka hapa ni theory tu lakini waweza kupata kitu.

Sikuoa rafiki yangu, nilikuwa na marafiki wengi wa kike hata wa muda mrefu tuliowahi kuwa kwenye uchumba lakini haikuwahi kunijia akilini kuoa rafiki wa kike.

Nilimjua mke wangu akiwa na 18 nikamuoa akiwa na miaka 19, cha kuzingatia zaidi nimemzidi miaka, tupo rika tofauti, kwa makadirio yangu nadhani binti wa miaka 18 hadi 23 ana experience ndogo kwenye mapenzi kuliko mwanamke mwenye umri mkubwa, pia itakuwa binti mdogo ni rahisi kumfinyanga kwa jinsi ulivyo kuliko mwanamke mkubwa

Nimeoa kwenye jamii ambayo ndugu wa karibu na wa mbali hawaingilii sana maisha ya mwanamke akiolewa, sijajua kama imetoka kwenye ukoo au kabila lake, Katokea Iringa ila baada ya mkoa kugawanywa itakuwa ni Njombe, Mama yake runamtembelea na kumjulia hali lakini yeye hapa kwetu kawahi kuja mara chache, Ndugu zake wakija huwa ni kwa shughuli zao, n.k. na mimi nisiwe mnafki napenda sana ndugu wa mke wangu kwasababu ya hili

Haendekezi mambo ya dini, Siku ya kwenda ibada ni moja shughuli imeishia hapo ni mpaka wiki lijalo, kwa mawazo yangu huwa naona labda wanawake wakianza kushinda sana sehemu za ibada, dorminance ya mwanaume wake inahamia kwa wachungaji.

Elimu ya kawaida, si jambo la kufurahia lakini naweza kuweka iwe moja ya factors, kaishia form 4 ana division 3 yake.
Hongera Sana mkuu, wanyalu hatunaga tabu kAbisa, tatizo ni kuwa hatupendagi dharau tu
 
Wala siijui formula ya aina ipi ya mwanamke wa kuoa hivyo nachoweka hapa ni theory tu lakini waweza kupata kitu.

Sikuoa rafiki yangu, nilikuwa na marafiki wengi wa kike hata wa muda mrefu tuliowahi kuwa kwenye uchumba lakini haikuwahi kunijia akilini kuoa rafiki wa kike.

Nilimjua mke wangu akiwa na 18 nikamuoa akiwa na miaka 19, cha kuzingatia zaidi nimemzidi miaka, tupo rika tofauti, kwa makadirio yangu nadhani binti wa miaka 18 hadi 23 ana experience ndogo kwenye mapenzi kuliko mwanamke mwenye umri mkubwa, pia itakuwa binti mdogo ni rahisi kumfinyanga kwa jinsi ulivyo kuliko mwanamke mkubwa

Nimeoa kwenye jamii ambayo ndugu wa karibu na wa mbali hawaingilii sana maisha ya mwanamke akiolewa, sijajua kama imetoka kwenye ukoo au kabila lake, Katokea Iringa ila baada ya mkoa kugawanywa itakuwa ni Njombe, Mama yake runamtembelea na kumjulia hali lakini yeye hapa kwetu kawahi kuja mara chache, Ndugu zake wakija huwa ni kwa shughuli zao, n.k. na mimi nisiwe mnafki napenda sana ndugu wa mke wangu kwasababu ya hili

Haendekezi mambo ya dini, Siku ya kwenda ibada ni moja shughuli imeishia hapo ni mpaka wiki lijalo, kwa mawazo yangu huwa naona labda wanawake wakianza kushinda sana sehemu za ibada, dorminance ya mwanaume wake inahamia kwa wachungaji.

Elimu ya kawaida, si jambo la kufurahia lakini naweza kuweka iwe moja ya factors, kaishia form 4 ana division 3 yake.
Watakuja wajumbe na kukuuliza ndoa Una umri gani, tafadhali nakusihi Sana ndugu wapuuze
 
Wala siijui formula ya aina ipi ya mwanamke wa kuoa hivyo nachoweka hapa ni theory tu lakini waweza kupata kitu.

Sikuoa rafiki yangu, nilikuwa na marafiki wengi wa kike hata wa muda mrefu tuliowahi kuwa kwenye uchumba lakini haikuwahi kunijia akilini kuoa rafiki wa kike.

Nilimjua mke wangu akiwa na 18 nikamuoa akiwa na miaka 19, cha kuzingatia zaidi nimemzidi miaka, tupo rika tofauti, kwa makadirio yangu nadhani binti wa miaka 18 hadi 23 ana experience ndogo kwenye mapenzi kuliko mwanamke mwenye umri mkubwa, pia itakuwa binti mdogo ni rahisi kumfinyanga kwa jinsi ulivyo kuliko mwanamke mkubwa

Nimeoa kwenye jamii ambayo ndugu wa karibu na wa mbali hawaingilii sana maisha ya mwanamke akiolewa, sijajua kama imetoka kwenye ukoo au kabila lake, Katokea Iringa ila baada ya mkoa kugawanywa itakuwa ni Njombe, Mama yake runamtembelea na kumjulia hali lakini yeye hapa kwetu kawahi kuja mara chache, Ndugu zake wakija huwa ni kwa shughuli zao, n.k. na mimi nisiwe mnafki napenda sana ndugu wa mke wangu kwasababu ya hili

Haendekezi mambo ya dini, Siku ya kwenda ibada ni moja shughuli imeishia hapo ni mpaka wiki lijalo, kwa mawazo yangu huwa naona labda wanawake wakianza kushinda sana sehemu za ibada, dorminance ya mwanaume wake inahamia kwa wachungaji.

Elimu ya kawaida, si jambo la kufurahia lakini naweza kuweka iwe moja ya factors, kaishia form 4 ana division 3 yake.
Unaongoza 3 - Team kataa ndoa 0, dakika ya 80 hii, Furahia ndoa yako
 
Wala siijui formula ya aina ipi ya mwanamke wa kuoa hivyo nachoweka hapa ni theory tu lakini waweza kupata kitu.

Sikuoa rafiki yangu, nilikuwa na marafiki wengi wa kike hata wa muda mrefu tuliowahi kuwa kwenye uchumba lakini haikuwahi kunijia akilini kuoa rafiki wa kike.

Nilimjua mke wangu akiwa na 18 nikamuoa akiwa na miaka 19, cha kuzingatia zaidi nimemzidi miaka, tupo rika tofauti, kwa makadirio yangu nadhani binti wa miaka 18 hadi 23 ana experience ndogo kwenye mapenzi kuliko mwanamke mwenye umri mkubwa, pia itakuwa binti mdogo ni rahisi kumfinyanga kwa jinsi ulivyo kuliko mwanamke mkubwa

Nimeoa kwenye jamii ambayo ndugu wa karibu na wa mbali hawaingilii sana maisha ya mwanamke akiolewa, sijajua kama imetoka kwenye ukoo au kabila lake, Katokea Iringa ila baada ya mkoa kugawanywa itakuwa ni Njombe, Wazazi wake tunawatembelea na kuwajulia hali lakini wao hapa kwetu mama yake amewahi kuja mara chache, Ndugu zake wakija huwa ni kwa shughuli zao, n.k. na mimi nisiwe mnafki napenda sana ndugu wa mke wangu kwasababu ya hili

Haendekezi mambo ya dini, Siku ya kwenda ibada ni moja shughuli imeishia hapo ni mpaka wiki lijalo, kwa mawazo yangu huwa naona labda wanawake wakianza kushinda sana sehemu za ibada, dorminance ya mwanaume wake inahamia kwa wachungaji.

Elimu ya kawaida, si jambo la kufurahia lakini naweza kuweka iwe moja ya factors, kaishia form 4 ana division 3 yake.
Raha ya ndoa Iko hivi
Mheshimiane
Mpendane
Anaechpwa Nje aheshimu WA NDAN
Anaechapa Nje akifika ndani aheshimu WA ndani
 
haya maisha haya hayajawahi kuwa fair you know, wewe umetungua embe lamo uneamua kukomaa nalo ndani had likaiva sio wote hupata wa hivo na kila mtu ana experience zake wengine hutaka alichakazwa na mapenzi ili watulie sasa wengine wao hawajahi kuumia yan nakupenda fasta fasta ndoa ndio dunia hii hongera mkuu
 
Wala siijui formula ya aina ipi ya mwanamke wa kuoa hata huyu nilite naye sina uhakika kamili kama atakuja kubadilika hivyo nachoweka hapa ni theory tu lakini waweza kupata kitu.

Sikuoa rafiki yangu, nilikuwa na marafiki wengi wa kike hata wa muda mrefu tuliowahi kuwa kwenye uchumba lakini haikuwahi kunijia akilini kuoa rafiki wa kike.

Nimemuoa akiwa na miaka 19, cha kuzingatia zaidi nimemzidi miaka, tupo rika tofauti, kwa makadirio yangu nadhani binti wa miaka 18 hadi 23 ana experience ndogo kwenye mapenzi kuliko mwanamke mwenye umri mkubwa, pia itakuwa binti mdogo ni rahisi kumfinyanga kwa jinsi ulivyo kuliko mwanamke mkubwa

Nimeoa kwenye jamii ambayo ndugu wa karibu na wa mbali hawaingilii sana maisha ya mwanamke akiolewa, sijajua kama imetoka kwenye ukoo au kabila lake, Katokea Iringa ila baada ya mkoa kugawanywa itakuwa ni Njombe, Wazazi wake tunawatembelea na kuwajulia hali lakini wao hapa kwetu mama yake amewahi kuja mara chache, Ndugu zake wakija huwa ni kwa shughuli zao, alipojifungua na alipowahi kuumwa ndugu walikuja mumpa msaada alipopona wakakaa kidogo wakarudi makwao .

Haendekezi mambo ya dini, Siku ya kwenda ibada ni moja shughuli imeishia hapo ni mpaka wiki lijalo, kwa mawazo yangu huwa naona labda wanawake wakianza kushinda sana sehemu za ibada, dorminance ya mwanaume wake inahamia kwa wachungaji.

Elimu ya kawaida, si jambo la kufurahia lakini naweza kuweka iwe moja ya factors, kaishia form 4 ana division 3 yake.

Nilimjaribu kabla hatujaingia kwenye ndoa, vijana wengi siku hizi wanavuta jiko ndani bila kujua uimara wake, sio mtaalam sana wa kupima vigezo lakini binafsi nilimpima kwa kunifulia nguo, kunipikia, usafi wa chumba enzi hizo nimepanga vyumba viwili, n.k. so tulipoingia kwenye ndoa nilishajipatia uhakika haya mambo anaweza,

Meza jeuri yako pale unapoona umekosea au umemkosea mke wako, usihamishe lawama ama kutafuta visingizio, ni ngumu kwa mwanaume kusema samahani lakini waweza konyesha kwa vitendo na yeye atajua,
uzuri wake umesema ni theory na umesema sio formular, kwahiyo kila mtu na njia yake.

Wa kwangu nimempata akiwa na miaka 23, na nimemuoa akiwa na miaka 28, she was descent girl and still she is descent woman, alikuwa anasali tena alikuwa mwanamaombi haswa when I met her, kwao ni watu wa dini, baba yake ni Mwinjilist mstaafu sasa, mambo yanaenda. No formular at all
 
haya maisha haya hayajawahi kuwa fair you know, wewe umetungua embe lamo uneamua kukomaa nalo ndani had likaiva sio wote hupata wa hivo na kila mtu ana experience zake wengine hutaka alichakazwa na mapenzi ili watulie sasa wengine wao hawajahi kuumia yan nakupenda fasta fasta ndoa ndio dunia hii hongera mkuu
Waliochakazwa huwa ni changamoto sana
 
Back
Top Bottom