B M F ICONIC
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 824
- 1,631
Wivu tu . Kisa hana Degree. Joke kidogo😁Vipi homework za watoto utakua unawahi nyumbani kusadia? Joke kidogo😷
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu tu . Kisa hana Degree. Joke kidogo😁Vipi homework za watoto utakua unawahi nyumbani kusadia? Joke kidogo😷
Sawa ila ndiyo homework za watoto ataomba majirani wamsaidie, joke tena😀Wivu tu . Kisa hana Degree. Joke kidogo😁
Cha msingi watoto wanapata upendo , Basic need na uwepo na attetion ya mama. Ishu ya home work ataimudu form 4 mbona anajua kujumlisha, kutoa na kuzidisha.Sawa ila ndiyo homework za watoto ataomba majirani wamsaidie, joke tena😀
Sahih, kuna watu nawafaham walikua micharuko ya kuotea mbali bt walivyotulizana ktk ndoa zao huezi amini kabisa.wengine huamua kutulia nahutulia kweli kweli
exactlySahih, kuna watu nawafaham walikua micharuko ya kuotea mbali bt walivyotulizana ktk ndoa zao huezi amini kabisa.
Nadhani sometimes ni mambo ya ujana.
Check hii kichwa cha panzikila la heri
Anaolewa hana hata degree i feel sorry for her basi hata certificate?
Unazifahamu homework za siku hizi za watoto wewe, form 4 hutoboi kuzifanya, pia kuna wa degree wanaowahi kutoka kazini vizuri tu, joke ya mwisho😀Cha msingi watoto wanapata upendo , Basic need na uwepo na attetion ya mama. Ishu ya home work ataimudu form 4 mbona anajua kujumlisha, kutoa na kuzidisha.
Wa degree ndo hawakai nyumban kutwa ni kazini mpaka wa staafu ndo utapat uwepo wao. JOKE tena😁
most men are oblivious to the many dreams and ambitions of womendoesnt she have dreams?
Hii sio theory mkuuWala siijui formula ya aina ipi ya mwanamke wa kuoa hata huyu nilite naye siijui kesho yetu hivyo nachoweka hapa ni theory tu lakini waweza kupata kitu.
Sikuoa rafiki yangu, nilikuwa na marafiki wengi wa kike hata wa muda mrefu tuliowahi kuwa kwenye uchumba lakini haikuwahi kunijia akilini kuoa rafiki wa kike.
Nimemuoa akiwa na miaka 19, cha kuzingatia zaidi nimemzidi miaka, tupo rika tofauti, kwa makadirio yangu nadhani binti wa miaka 18 hadi 23 ana experience ndogo kwenye mapenzi kuliko mwanamke mwenye umri mkubwa, pia itakuwa binti mdogo ni rahisi kumfinyanga kwa jinsi ulivyo kuliko mwanamke mkubwa
Nimeoa kwenye jamii ambayo ndugu wa karibu na wa mbali hawaingilii sana maisha ya mwanamke akiolewa, sijajua kama imetoka kwenye ukoo au kabila lake, Katokea Iringa ila baada ya mkoa kugawanywa itakuwa ni Njombe, Wazazi wake tunawatembelea na kuwajulia hali lakini wao hapa kwetu mama yake amewahi kuja mara chache, Ndugu zake wakija huwa ni kwa shughuli zao, alipojifungua na alipowahi kuumwa ndugu walikuja mumpa msaada alipopona wakakaa kidogo wakarudi makwao .
Haendekezi mambo ya dini, Siku ya kwenda ibada ni moja shughuli imeishia hapo ni mpaka wiki lijalo, kwa mawazo yangu huwa naona labda wanawake wakianza kushinda sana sehemu za ibada, dorminance ya mwanaume wake inahamia kwa wachungaji.
Ana elimu ya kawaida, si jambo la kufurahia lakini naweza kuweka iwe moja ya factors, kaishia form 4 ana division 3 yake, Nimekuwa nikisikia baadhi ya wanaume waliooa wanawake wasomi wakilalamika lakini kwa utafiti mdogo niliofanya kuna namna vyuo huchangia, mwanafunzi wa sekondari akiingia chuo kuna ule uhuru wa ghafla tena akiwa mbali na kwao bila usimamizi, tuliosoma vyuoni tumejionea live jinsi mabinti wanavyobadilika kwa kasi ya radi ndani ya muda mfupi, hii inawathiri hata wakimaliza chuo, kuna mtindo wa maisha, marafiki waliowazunguka na vitu walivyojifunza vinavyoweza kuleta changamoto ndani ya ndoa.
Nilimjaribu kabla hatujaingia kwenye ndoa, vijana wengi siku hizi wanavuta jiko ndani bila kujua uimara wake, sio mtaalam sana wa kupima vigezo lakini binafsi nilimpima kwa kunifulia nguo, kunipikia, usafi wa chumba enzi hizo nimepanga vyumba viwili, n.k. so tulipoingia kwenye ndoa nilishajipatia uhakika haya mambo anaweza,
Meza jeuri yako pale unapoona umekosea au umemkosea mke wako, usihamishe lawama ama kutafuta visingizio, ni ngumu kwa mwanaume kusema samahani lakini waweza konyesha kwa vitendo na yeye atajua,
Sisi hatuna pesa ya kumpeleka mtoto bus la njano, tutazimudu homework za kata. Wa degree wanajikuta sana huwezi kuwa control na sio submissive kwenye relationship .. Joke ya mwisho😄Unazifahamu homework za siku hizi za watoto wewe, form 4 hutoboi kuzifanya, pia kuna wa degree wanaowahi kutoka kazini vizuri tu, joke ya mwisho😀
Wa dgree hamwez ku sacrifice dream zenu for the sake of family.hapana ila at 18 amewahi labda tuseme ameshindwa shule
basi hata angepata ujuzi wowote she is too young to marry doesnt she have dreams?
Bikira uliikuta?Wala siijui formula ya aina ipi ya mwanamke wa kuoa hata huyu nilite naye siijui kesho yetu hivyo nachoweka hapa ni theory tu lakini waweza kupata kitu.
Sikuoa rafiki yangu, nilikuwa na marafiki wengi wa kike hata wa muda mrefu tuliowahi kuwa kwenye uchumba lakini haikuwahi kunijia akilini kuoa rafiki wa kike.
Nimemuoa akiwa na miaka 19, cha kuzingatia zaidi nimemzidi miaka, tupo rika tofauti, kwa makadirio yangu nadhani binti wa miaka 18 hadi 23 ana experience ndogo kwenye mapenzi kuliko mwanamke mwenye umri mkubwa, pia itakuwa binti mdogo ni rahisi kumfinyanga kwa jinsi ulivyo kuliko mwanamke mkubwa
Nimeoa kwenye jamii ambayo ndugu wa karibu na wa mbali hawaingilii sana maisha ya mwanamke akiolewa, sijajua kama imetoka kwenye ukoo au kabila lake, Katokea Iringa ila baada ya mkoa kugawanywa itakuwa ni Njombe, Wazazi wake tunawatembelea na kuwajulia hali lakini wao hapa kwetu mama yake amewahi kuja mara chache, Ndugu zake wakija huwa ni kwa shughuli zao, alipojifungua na alipowahi kuumwa ndugu walikuja mumpa msaada alipopona wakakaa kidogo wakarudi makwao .
Haendekezi mambo ya dini, Siku ya kwenda ibada ni moja shughuli imeishia hapo ni mpaka wiki lijalo, kwa mawazo yangu huwa naona labda wanawake wakianza kushinda sana sehemu za ibada, dorminance ya mwanaume wake inahamia kwa wachungaji.
Ana elimu ya kawaida, si jambo la kufurahia lakini naweza kuweka iwe moja ya factors, kaishia form 4 ana division 3 yake, Nimekuwa nikisikia baadhi ya wanaume waliooa wanawake wasomi wakilalamika lakini kwa utafiti mdogo niliofanya kuna namna vyuo huchangia, mwanafunzi wa sekondari akiingia chuo kuna ule uhuru wa ghafla tena akiwa mbali na kwao bila usimamizi, tuliosoma vyuoni tumejionea live jinsi mabinti wanavyobadilika kwa kasi ya radi ndani ya muda mfupi, hii inawathiri hata wakimaliza chuo, kuna mtindo wa maisha, marafiki waliowazunguka na vitu walivyojifunza vinavyoweza kuleta changamoto ndani ya ndoa.
Nilimjaribu kabla hatujaingia kwenye ndoa, vijana wengi siku hizi wanavuta jiko ndani bila kujua uimara wake, sio mtaalam sana wa kupima vigezo lakini binafsi nilimpima kwa kunifulia nguo, kunipikia, usafi wa chumba enzi hizo nimepanga vyumba viwili, n.k. so tulipoingia kwenye ndoa nilishajipatia uhakika haya mambo anaweza,
Meza jeuri yako pale unapoona umekosea au umemkosea mke wako, usihamishe lawama ama kutafuta visingizio, ni ngumu kwa mwanaume kusema samahani lakini waweza konyesha kwa vitendo na yeye atajua,
Education is not for everyone, pumzi tu ndio ya wote, sorry hata hiyo pumzi sio. Kifo ndio cha aaa wote, awotee.kila la heri
Anaolewa hana hata degree i feel sorry for her basi hata certificate?
𝐴𝑐ℎ𝑎 𝑧𝑎𝑙𝑎𝑢Unazifahamu homework za siku hizi za watoto wewe, form 4 hutoboi kuzifanya, pia kuna wa degree wanaowahi kutoka kazini vizuri tu, joke ya mwisho😀
Ni "dharau" not "Zalau" mkuu, na nilisema it's a joke sasa hizo zalau ziko wapi?𝐴𝑐ℎ𝑎 𝑧𝑎𝑙𝑎𝑢
by me
Tatizo ni jock za seriously mkuuNi "dharau" not "Zalau" mkuu, na nilisema it's a joke sasa hizo zalau ziko wapi?