Siijui formula ya kuoa lakini haya ni mambo nayodhani yemechangia nimepata mke mwenye ushirikiano tunaeishi kwa amani, waweza pata somo

Siijui formula ya kuoa lakini haya ni mambo nayodhani yemechangia nimepata mke mwenye ushirikiano tunaeishi kwa amani, waweza pata somo

Degree haina msaada wowote kwenye ndoa zaidi ya kuleta kiburi kwa mwanamke.

Na bado mwanamke hata akiwa anafanya kazi bado atakuwa ombaomba,sasa ulisoma na kufanya kazi ili iweje mbona mnajimix kwa yas.
Msiwasomeshe watoto wenu wa kike na dada zenu wasisome ili kuwe na hao aina ya wanawake muwatakao.
 
Back
Top Bottom