Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Kuna tabia ya kijinga sana ya kuchukua picha kwenye angle ya mbali isiyoonyesha uhalisia wa ukubwa wa idadi ya watu na kusema mkutano hauna watu. Kuna mwingine amefanya kama wewe kwenye mkutano wa ccm. Haina maana. Kama watu walijaa ni walijaa and vise versa.
 
Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.

Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.

Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa Chadema.

Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.

Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko ccm basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.

Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.

Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.

Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.

Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.

Hii picha ww umepiga sangap, Dodoma watumsihi wote hawaruhusiwi kuhudhuria mkutano wanachunguzwa, wafanya biashara nao waoga sana sasa subiri kwenye sanduku la kura ndio utashangaa kura zote za dodoma zimetoka wapi. watu wanaogopa kujitokeza hadharani hapo ni sehem nyeti ya kuchorwa nchi ipo hapo
 
hali ilivyo na kama muonavyo kule juu inasakwa picha ya nyomiView attachment 1558340
Labda watu bado wanakuja muda bado.
Na hiyo.picha wkii post YouTube usiku wanmeshaitoa kwa fundi kuishona utahdani ni wengi saana.
Angalia picha ya arusha kuna sehemu wameishona mpaka mshabiki wao NGURUMO nae akaistukia.
 
Kuna tabia ya kijinga sana ya kuchukua picha kwenye angle ya mbali isiyoonyesha uhalisia wa ukubwa wa idadi ya watu na kusema mkutano hauna watu. Kuna mwingine amefanya kama wewe kwenye mkutano wa ccm. Haina maana. Kama watu walijaa ni walijaa and vise versa.
Shida inakuja pale ambapo hizo za kuonyesha watu wengi hazipo. Hujiulizi mbona picha za mwanza na arusha zilikuwa nyingi sana na video clipa nyingi kweli kweli??
 
Dodoma ambako ndiyo makao makuu ya CCM na Serikali wananchi wake ni mazezeta. Dodoma ndiyo wanakotoka omba omba wote nchini, wanaishi nyumba za mgongo wa tembo (yaani sakafu udongo na paa udono) lakini bado wanachagua CCM.

WAGOGO HAWAJITAMBUI
 
Kushinda atashinda iwe kukandamiza kisukuma au kizenj atashinda tu,tatizo anataka ushindi kwa kishondo by 99.9% by far lakini most likely atapata 70 -80%.
Kama hawajai mbona mzee ana wasiwasi sana[emoji1787][emoji1787]
 
Kamanda punguza jazba, tatzo mnaongea maneno matupu. Jiulize swali rahisi sana, siku ya mkutano wa kampeni kule mwanza viongozi wengi walipost picha na video clips nyingi sana, kila ulipopita unaona wanaonyesha kilichotokea mwanza.
Na hadi picha za juu(za drones) kwa mwanza tuliziona nyingi sana.
Sasa jiulize, kimetokea nini huko shinyanga na tabora tusione picha nyingi za juu na videos clips?
Ila punguza munkari, tunajenga nyumba moja

Unataka upostiwe wewe picha?

Kumbe ishu siyo "uwingi wa watu" tena ila ni wewe uone picha zinazopostiwa na viongozi wa CHADEMA, au siyo?

Nimekuambia una tatizo wewe....!!

Jibu lako ni hili;

Kote Shinyanga, Tabora na sasa huko Dodoma, maelfu ya watu kwa hiari yao wanahudhuria mikutano ya ufunguzi wa kampeni za mgombea Urais CHADEMA ya kikanda...

Sasa kama wewe unasubiri picha, kana kwamba picha ndo zinasikiliza sera za mgombea na baadae kupiga kura, basi kalaghabhaho...
 
LISU kisha maliza mkutano
IMG_20200904_175752_836.jpg
 
Kamanda, tusifiche moshi utatuumbua. Ifanyike namna watu wahamasike waje kwenye kampeni zetu
Wewe ni lumumba, haya maigizo yako hayamsumbui mwerevu, endelea kudanganya wajinga wenzio.
 
Back
Top Bottom