DOKEZO Sijalipwa malipo yangu ya Vita ya Kagera, kila nikifuatilia naambiwa hakuna anayedai

DOKEZO Sijalipwa malipo yangu ya Vita ya Kagera, kila nikifuatilia naambiwa hakuna anayedai

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huyo mheshimiwa Tax nami nilimsikia akitoa maelezo hayo Bungeni, yakanigusa na kunishangaza sana!

Mpaka nikaanza kufikiri kuwa, ndani ya Serikali kuna watu maalumu kwa ajili ya kupotosha ukweli na kukandamiza haki za watu, sijui huwa ni kwa maslahi ya nani!

Madai hayo ya huyo askari mstaafu yana ukweli usiotia shaka.

Ukweli ni kwamba, baada ya vita vya Kagera kumalizika mwezi July 1979, Serikali ya Nyerere iliingia mkataba wa kiulinzi na mafunzo kwa Serikali ya Uganda ya Binaisa kwa miaka miwili, uliokuja kumalizika mwezi June mwaka 1981.

Ilipofika mwaka 1980, mwezi March, jeshi liliamua kuanza kuwarejesha kidigo kidogo nyumbani baadhi ya askari wake kwa uchache.

Na mwaka 1981 mwezi March shughuli za kuwarejesha nyumbani askari wote 40,000 waliokuwa nchini Uganda kwa mkataba niliouelezea zilianza.

Pale Mwanza Kizumbi palijengwa Centre kubwa kwa ajili ya mapokezi na malipo.

Askari tuliokuwa maeneo ya mbali nchini Uganda, mfano mimi nilikuwa Kasese(Rwenzori mtn) kwa wakati huo, sote tulisogezwa mjini Jinja kwa ajili ya maandalizi ya kurejeshwa nchini.

Ilipofika mwezi May, sikumbuki tarehe, kazi rasmi ya kuwasafirisha askari kwa kutumia meli ya Mv Viktoria ikaanza.

Mimi main first yangu ilisomwa na kusafiri na kufika Mwanza mwezi June 1981 na kukuta mapokezi makubwa Mjini Mwanza na kukuta utaratibu wa malipo ulishaandaliwa kwa mchanganuo ufuatao:
Wale waliokuwa mobilized (Polisi, Magereza na Mgambo) walipigiwa mahesabu ya mishahara kwa vyeo vyao kwa muda waliokaa Uganda, wakalipwa na kurejeshwa makwao ama kwenye vituo vyao vya kazi vya awali.

Kwa sisi wanajeshi waajiriwa wa Jwtz hatukulipwa chochote pale Mwanza, bali tuliandaliwa tu usafiri na kurejeshwa kwenye vikosi vyetu vya awali tulivyoondokea kwenda vitani kwa maelezo kwamba stahiki zetu tutalipwa vikosini mwetu.

Tulipofika vikosini, tuliandaliwa Aquitance rolls za malipo ya malimbikizo ya mishahara yetu kwa idadi ya miezi tuliyokuwa vitani, kama vile mobilized walivyofanyiwa kule Mwanza.

Baada ya hapo hakuna malipo yoyote ya vita kwa askari wa muda ama askari wa kudumu yaliyotolewa mpaka leo.
Sana babu
Miaka ya karibuni kwenye utawala wa Kikwete ndiyo tukasikia Mheshimiwa Rais Museveni wa Uganda alitoa ruzuku ya fedha ama shukurani kwa askari wote walioshiriki vita vya Kagera vya kumng'oa Amin, lakini mpaka leo habari hizo zimebakia kuwa ni tetesi tu.

Kwa hiyo majibu ya mheshimiwa Waziri kuwa askari wote wa vita walikwisha kulipwa yalitushangaza sana, kwani malimbikizo ya mishahara yetu ya nyuma hayakuwa ni malipo ya vita.

Na wengi wetu tulioshiriki vita hivyo takribani miaka 50 sasa, tayari walikwishapoteza maisha kutokana na jambo lenyewe hilo kuwa ni la miaka mingi sana.

Pia utaratibu alioutangaza kwa wale wote walioshiriki vita hivyo, lakini wakakosa sifa za penshini, wote wataunganishwa kwenye pensheni, sijaona hatua yoyote kuchukuliwa nadhani ni kubuy time ili nature itende jambo hilo liishe kimya kimya.
Aisee pole sana babu nimejikuta nabubujikwa na machozi . Nchi yangu Tanzania
 
Huyo mheshimiwa Tax nami nilimsikia akitoa maelezo hayo Bungeni, yakanigusa na kunishangaza sana!

Mpaka nikaanza kufikiri kuwa, ndani ya Serikali kuna watu maalumu kwa ajili ya kupotosha ukweli na kukandamiza haki za watu, sijui huwa ni kwa maslahi ya nani!

Madai hayo ya huyo askari mstaafu yana ukweli usiotia shaka.

Ukweli ni kwamba, baada ya vita vya Kagera kumalizika mwezi July 1979, Serikali ya Nyerere iliingia mkataba wa kiulinzi na mafunzo kwa Serikali ya Uganda ya Binaisa kwa miaka miwili, uliokuja kumalizika mwezi June mwaka 1981.

Ilipofika mwaka 1980, mwezi March, jeshi liliamua kuanza kuwarejesha kidigo kidogo nyumbani baadhi ya askari wake kwa uchache.

Na mwaka 1981 mwezi March shughuli za kuwarejesha nyumbani askari wote 40,000 waliokuwa nchini Uganda kwa mkataba niliouelezea zilianza.

Pale Mwanza Kizumbi palijengwa Centre kubwa kwa ajili ya mapokezi na malipo.

Askari tuliokuwa maeneo ya mbali nchini Uganda, mfano mimi nilikuwa Kasese(Rwenzori mtn) kwa wakati huo, sote tulisogezwa mjini Jinja kwa ajili ya maandalizi ya kurejeshwa nchini.

Ilipofika mwezi May, sikumbuki tarehe, kazi rasmi ya kuwasafirisha askari kwa kutumia meli ya Mv Viktoria ikaanza.

Mimi main first yangu ilisomwa na kusafiri na kufika Mwanza mwezi June 1981 na kukuta mapokezi makubwa Mjini Mwanza na kukuta utaratibu wa malipo ulishaandaliwa kwa mchanganuo ufuatao:
Wale waliokuwa mobilized (Polisi, Magereza na Mgambo) walipigiwa mahesabu ya mishahara kwa vyeo vyao kwa muda waliokaa Uganda, wakalipwa na kurejeshwa makwao ama kwenye vituo vyao vya kazi vya awali.

Kwa sisi wanajeshi waajiriwa wa Jwtz hatukulipwa chochote pale Mwanza, bali tuliandaliwa tu usafiri na kurejeshwa kwenye vikosi vyetu vya awali tulivyoondokea kwenda vitani kwa maelezo kwamba stahiki zetu tutalipwa vikosini mwetu.

Tulipofika vikosini, tuliandaliwa Aquitance rolls za malipo ya malimbikizo ya mishahara yetu kwa idadi ya miezi tuliyokuwa vitani, kama vile mobilized walivyofanyiwa kule Mwanza.

Baada ya hapo hakuna malipo yoyote ya vita kwa askari wa muda ama askari wa kudumu yaliyotolewa mpaka leo.

Miaka ya karibuni kwenye utawala wa Kikwete ndiyo tukasikia Mheshimiwa Rais Museveni wa Uganda alitoa ruzuku ya fedha ama shukurani kwa askari wote walioshiriki vita vya Kagera vya kumng'oa Amin, lakini mpaka leo habari hizo zimebakia kuwa ni tetesi tu.

Kwa hiyo majibu ya mheshimiwa Waziri kuwa askari wote wa vita walikwisha kulipwa yalitushangaza sana, kwani malimbikizo ya mishahara yetu ya nyuma hayakuwa ni malipo ya vita.

Na wengi wetu tulioshiriki vita hivyo takribani miaka 50 sasa, tayari walikwishapoteza maisha kutokana na jambo lenyewe hilo kuwa ni la miaka mingi sana.

Pia utaratibu alioutangaza kwa wale wote walioshiriki vita hivyo, lakini wakakosa sifa za penshini, wote wataunganishwa kwenye pensheni, sijaona hatua yoyote kuchukuliwa nadhani ni kubuy time ili nature itende jambo hilo liishe kimya kimya.
Mkuu,

Kwanza kabisa shukurani kwa kazi kubwa ya kuilinda Tanzania.

Kuhusu malipo, kwani kabla ya vota makubaliano yalikuwaje? Kulikuwa na makubaliano ya malipo maalum yaliyozidi malipo ya kawaida mnayosema mmelipwa?
 
CCM ni janga.ambao hawakupata haki zao ni wale wadogo wadogo tu lakini wale wakubwa wote wakipewa.Ajabu sana Huyu Samia.Na Kwa Sasa amependekeza wake wa Marais,mawaziri,wakurugenzi wa mashirika walipe 80% ya mshahara na marupurupu ya rais lakini sisi wazee tuliopigana vita kujikomboa Nchi yetu tuna telekezwa.
 
Una uhakika gani General Mabeyo na utawala wa kijeshi wangefanya vizuri kuliko utawala wa sasa?

Acheni ku fetishize utawala wa kijeshi nyie.
Haijalishi kinachotakiwa hawa mashetani macomonist watoke tuanze upya kureform nchia
 
Mkuu,

Kwanza kabisa shukurani kwa kazi kubwa ya kuilinda Tanzania.

Kuhusu malipo, kwani kabla ya vota makubaliano yalikuwaje? Kulikuwa na makubaliano ya malipo maalum yaliyozidi malipo ya kawaida mnayosema mmelipwa?
Afu kuwa na adabu....ujue unazungumza na mtu alie enda front,yaani aliechezea kifa
 
Afu kuwa na adabu....ujue unazungumza na mtu alie enda front,yaani aliechezea kifa
Sasa nimeanza kwa kumshukuru kwa kazi kubwa aliyofanya kuilinda Tanzania, adabu nimeiweka mbele kabisa hapo, unaanzaje kuniambia niwe na adabu?
 
Mkuu,

Kwanza kabisa shukurani kwa kazi kubwa ya kuilinda Tanzania.

Kuhusu malipo, kwani kabla ya vota makubaliano yalikuwaje? Kulikuwa na makubaliano ya malipo maalum yaliyozidi malipo ya kawaida mnayosema mmelipwa?
Ahsante.

Ipo hivi mkuu, kanuni zote za malipo, zimefafanuliwa katika vitabu vya sheria za majeshi ya ulinzi juzuu ya 3.

Kuna mshahara na posho mbalimbali anazostahili askari kulipwa awapo kikosini na maeneo ya operesheni mbali mbali.

Kwa mfano: ukiwa kikosini, utapata mshahara na posho za chakula pamoja na posho zingine zilizokasmiwa.

Ukitoka nje ya kikosi chako, ukapelekwa mipakani huko, wao wanaita 'detouch' automatic unastahili kulipwa allowance ya operesheni pamoja na ration allowance.

Kwa hiyo hela hiyo ya operesheni pamoja na ration allowence hatukulipwa kwa muda wote tuliokaa huko, mi'nilikaa miaka 2.6.

Ila tulipokwenda Msumbiji mwaka 1986, kwa kuwa hapakuwa na udharula kama ilivyokuwa kwa vita vya Kagera , kabla ya kuondoka, malipo na stahiki zingine yalifafanuliwa kuwa kila mwezi tutalipwa dollar ngapi inclusive ration allowance kwa kila mwezi kama ilivyo stahili.

Pesa hiyo kila mwezi tulilipwa, ndiyo maana hausikii mtu aliyeenda Msumbiji analalamikia kudhulumiwa haki zake.

Mkuu inapozuka vita, huwa hakuna mjadala wa malipo, huwa ni kusukumwa tu vitani, isipokuwa haki zote za malipo zipo wazi kwenye vitabu vya sheria za malipo.
 
Wengine babu na mama zetu walikuwa front huko
Alafu sahv anasimama lijamaa tumbo kubwa anakuambia mm mzalendo wa kweli 😄
Mzalendo wa kweli umefanya nini au kwa kulopokalopoka

Ova
 
Ahsante.

Ipo hivi mkuu, kanuni zote za malipo, zimefafanuliwa katika vitabu vya sheria za majeshi ya ulinzi juzuu ya 3.

Kuna mshahara na posho mbalimbali anazostahili askari kulipwa awapo kikosini na maeneo ya operesheni mbali mbali.

Kwa mfano: ukiwa kikosini, utapata mshahara na posho za chakula pamoja na posho zingine zilizokasmiwa.

Ukitoka nje ya kikosi chako, ukapelekwa mipakani huko, wao wanaita 'detouch' automatic unastahili kulipwa allowance ya operesheni pamoja na ration allowance.

Kwa hiyo hela hiyo ya operesheni pamoja na ration allowence hatukulipwa kwa muda wote tuliokaa huko, mi'nilikaa miaka 2.6.

Ila tulipokwenda Msumbiji mwaka 1986, kwa kuwa hapakuwa na udharula kama ilivyokuwa kwa vita vya Kagera , kabla ya kuondoka, malipo na stahiki zingine yalifafanuliwa kuwa kila mwezi tutalipwa dollar ngapi inclusive ration allowance kwa kila mwezi.

Pesa hiyo kila mwezi tulilipwa, ndiyo maana hausikii mtu aliyeenda Msumbiji analalamikia kudhulumiwa haki zake.

Mkuu inapozuka vita, huwa hakuna mjadala wa malipo, huwa ni kusukumwa tu vitani, isipokuwa haki zote za malipo zipo wazi kwenye vitabu vya sheria za malipo.
Salute kamanda

Ova
 
Huyo mheshimiwa Tax nami nilimsikia akitoa maelezo hayo Bungeni, yakanigusa na kunishangaza sana!

Mpaka nikaanza kufikiri kuwa, ndani ya Serikali kuna watu maalumu kwa ajili ya kupotosha ukweli na kukandamiza haki za watu, sijui huwa ni kwa maslahi ya nani!

Madai hayo ya huyo askari mstaafu yana ukweli usiotia shaka.

Ukweli ni kwamba, baada ya vita vya Kagera kumalizika mwezi July 1979, Serikali ya Nyerere iliingia mkataba wa kiulinzi na mafunzo kwa Serikali ya Uganda ya Binaisa kwa miaka miwili, uliokuja kumalizika mwezi June mwaka 1981.

Ilipofika mwaka 1980, mwezi March, jeshi liliamua kuanza kuwarejesha kidogo kidogo nyumbani baadhi ya askari wake kwa uchache.

Na mwaka 1981 mwezi March shughuli za kuwarejesha nyumbani askari wote 40,000 waliokuwa nchini Uganda kwa mkataba niliouelezea zilianza.

Pale Mwanza Kizumbi palijengwa Centre kubwa kwa ajili ya mapokezi na malipo.

Askari tuliokuwa maeneo ya mbali nchini Uganda, mfano mimi nilikuwa Kasese(Rwenzori mtn) kwa wakati huo, sote tulisogezwa mjini Jinja kwa ajili ya maandalizi ya kurejeshwa nchini.

Ilipofika mwezi May, sikumbuki tarehe, kazi rasmi ya kuwasafirisha askari kwa kutumia meli ya Mv Viktoria ikaanza.

Mimi main first yangu ilisomwa na kusafiri na kufika Mwanza mwezi June 1981 na kukuta mapokezi makubwa Mjini Mwanza na utaratibu wa malipo ukawa umeandaliwa kwa mchanganuo ufuatao:
Wale waliokuwa mobilized (Polisi, Magereza na Mgambo) walipigiwa mahesabu ya mishahara kwa vyeo vyao kwa muda waliokaa Uganda, wakalipwa na kurejeshwa makwao ama kwenye vituo vyao vya kazi vya awali.

Kwa sisi wanajeshi waajiriwa wa Jwtz hatukulipwa chochote pale Mwanza, bali tuliandaliwa tu usafiri na kurejeshwa kwenye vikosi vyetu vya awali tulivyoondokea kwenda vitani kwa maelezo kwamba stahiki zetu tutalipwa vikosini mwetu.

Tulipofika vikosini, tuliandaliwa Aquitance rolls za malipo ya malimbikizo ya mishahara yetu kwa idadi ya miezi tuliyokuwa vitani, kama vile mobilized walivyofanyiwa kule Mwanza.

Baada ya hapo hakuna malipo yoyote ya vita kwa askari wa muda ama askari wa kudumu yaliyotolewa mpaka leo.

Miaka ya karibuni kwenye utawala wa Kikwete ndiyo tukasikia Mheshimiwa Rais Museveni wa Uganda alitoa ruzuku ya fedha ama shukurani kwa askari wote walioshiriki vita vya Kagera vya kumng'oa Amin, lakini mpaka leo habari hizo zimebakia kuwa ni tetesi tu.

Kwa hiyo majibu ya mheshimiwa Waziri kuwa askari wote wa vita walikwisha kulipwa yalitushangaza sana, kwani malimbikizo ya mishahara yetu ya nyuma hayakuwa ni malipo ya vita.

Na wengi wetu tulioshiriki vita hivyo takribani miaka 50 sasa, tayari walikwishapoteza maisha kutokana na jambo lenyewe hilo kuwa ni la miaka mingi sana.

Pia utaratibu alioutangaza kwa wale wote walioshiriki vita hivyo, lakini wakakosa sifa za penshini, wote wataunganishwa kwenye pensheni, sijaona hatua yoyote kuchukuliwa nadhani ni kubuy time ili nature itende jambo hilo liishe kimya kimya.
Tatizo waziri anapewa tu taarifa,ukute hela zilishatolewa,zilishaliwa na wakubwa.
 
Sasa nimeanza kwa kumshukuru kwa kazi kubwa aliyofanya kuilinda Tanzania, adabu nimeiweka mbele kabisa hapo, unaanzaje kuniambia niwe na adabu?
Huyo ni babu yako anza na salamu ya heshima....anyway ni utani tu mkuu,ila jf kuna mababu zetu humu aisee
 
Huyo ni babu yako anza na salamu ya heshima....anyway ni utani tu mkuu,ila jf kuna mababu zetu humu aisee
Mimi sina utani na wewe lakini. Usijipe haki ya kufanya utani na watu usio na utani nao kihivyo.
 
Mimi sina utani na wewe lakini. Usijipe haki ya kufanya utani na watu usio na utani nao kihivyo.
Sasa mkuu....una haki gani ya kumuita huyo mzee mkuu au hujui neno mkuu linamaana gani.?

Mpe heshima yake bhna....mpigie ata saluti ndo umuulize hayo maswali ya kinafiki
 
Sasa mkuu....una haki gani ya kumuita huyo mzee mkuu au hujui neno mkuu linamaana gani.?

Mpe heshima yake bhna....mpigie ata saluti ndo umuulize hayo maswali ya kinafiki
Hapa napo bado unaendeleza utani au uko serious?

Sikuelewi.
 
Huyo mheshimiwa Tax nami nilimsikia akitoa maelezo hayo Bungeni, yakanigusa na kunishangaza sana!

Mpaka nikaanza kufikiri kuwa, ndani ya Serikali kuna watu maalumu kwa ajili ya kupotosha ukweli na kukandamiza haki za watu, sijui huwa ni kwa maslahi ya nani!

Madai hayo ya huyo askari mstaafu yana ukweli usiotia shaka.

Ukweli ni kwamba, baada ya vita vya Kagera kumalizika mwezi July 1979, Serikali ya Nyerere iliingia mkataba wa kiulinzi na mafunzo kwa Serikali ya Uganda ya Binaisa kwa miaka miwili, uliokuja kumalizika mwezi June mwaka 1981.

Ilipofika mwaka 1980, mwezi March, jeshi liliamua kuanza kuwarejesha kidogo kidogo nyumbani baadhi ya askari wake kwa uchache.

Na mwaka 1981 mwezi March shughuli za kuwarejesha nyumbani askari wote 40,000 waliokuwa nchini Uganda kwa mkataba niliouelezea zilianza.

Pale Mwanza Kizumbi palijengwa Centre kubwa kwa ajili ya mapokezi na malipo.

Askari tuliokuwa maeneo ya mbali nchini Uganda, mfano mimi nilikuwa Kasese(Rwenzori mtn) kwa wakati huo, sote tulisogezwa mjini Jinja kwa ajili ya maandalizi ya kurejeshwa nchini.

Ilipofika mwezi May, sikumbuki tarehe, kazi rasmi ya kuwasafirisha askari kwa kutumia meli ya Mv Viktoria ikaanza.

Mimi main first yangu ilisomwa na kusafiri na kufika Mwanza mwezi June 1981 na kukuta mapokezi makubwa Mjini Mwanza na utaratibu wa malipo ukawa umeandaliwa kwa mchanganuo ufuatao:
Wale waliokuwa mobilized (Polisi, Magereza na Mgambo) walipigiwa mahesabu ya mishahara kwa vyeo vyao kwa muda waliokaa Uganda, wakalipwa na kurejeshwa makwao ama kwenye vituo vyao vya kazi vya awali.

Kwa sisi wanajeshi waajiriwa wa Jwtz hatukulipwa chochote pale Mwanza, bali tuliandaliwa tu usafiri na kurejeshwa kwenye vikosi vyetu vya awali tulivyoondokea kwenda vitani kwa maelezo kwamba stahiki zetu tutalipwa vikosini mwetu.

Tulipofika vikosini, tuliandaliwa Aquitance rolls za malipo ya malimbikizo ya mishahara yetu kwa idadi ya miezi tuliyokuwa vitani, kama vile mobilized walivyofanyiwa kule Mwanza.

Baada ya hapo hakuna malipo yoyote ya vita kwa askari wa muda ama askari wa kudumu yaliyotolewa mpaka leo.

Miaka ya karibuni kwenye utawala wa Kikwete ndiyo tukasikia Mheshimiwa Rais Museveni wa Uganda alitoa ruzuku ya fedha ama shukurani kwa askari wote walioshiriki vita vya Kagera vya kumng'oa Amin, lakini mpaka leo habari hizo zimebakia kuwa ni tetesi tu.

Kwa hiyo majibu ya mheshimiwa Waziri kuwa askari wote wa vita walikwisha kulipwa yalitushangaza sana, kwani malimbikizo ya mishahara yetu ya nyuma hayakuwa ni malipo ya vita.

Na wengi wetu tulioshiriki vita hivyo takribani miaka 50 sasa, tayari walikwishapoteza maisha kutokana na jambo lenyewe hilo kuwa ni la miaka mingi sana.

Pia utaratibu alioutangaza kwa wale wote walioshiriki vita hivyo, lakini wakakosa sifa za penshini, wote wataunganishwa kwenye pensheni, sijaona hatua yoyote kuchukuliwa nadhani ni kubuy time ili nature itende jambo hilo liishe kimya kimya.


Pole Sana mkuu naomba serikali ya SSH ifikirie hili jambo maana hapo chini pameniumiza Sana.
 
Back
Top Bottom