Sijaoa bado. Nimekuwa mtu wa papa sana. Asubuhi Pono usiku sikosi Changu. Naombeni Msaada

Sijaoa bado. Nimekuwa mtu wa papa sana. Asubuhi Pono usiku sikosi Changu. Naombeni Msaada

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Haya maisha kama ukiwa umezoea sana jambo. unaweza teseka sana. Mimi nimechelewa sana kuanza kutumia papa.siku nimeonja tu nikapenda sana... Nikajikuta nitafuata papa popote pale nile.

Natamani nioe ili niwe napata papa wakati wote. Sisi wa kanda ya Ziwa wengi tukija Dar basi ndo unakuwa ulevi wetu.

Tabia hii imeendelea nimejikuta asubuhi lazima nianze na pono kwanza. Hapo ndo najisikia nimeanza siku vizuri. Na chapati tatu kubwa basi...siku inakuwa mujarabu kabisa.

Siku moja usiku katika pita pita nikaona changu buguruni. Ilikuwa mida ya saa 4 hivi usiku. Nikaona angalau leo nijaribu changudoa. Basi nikachukua moja huyo mpaka ghetto. Nligundua kumbe sikuwa nimemaliza kupata utamu. Changudoa ni watamu sana.

Nlimgonga mkavu maana nikasema huyu inabidi nimsikilizie ladha yake nipate utamu kamili. Changu ni watamu. Watamu sana asikwambie mtu. Na vile asubuhi nilipata supu ya pono na chapati. Basi nilikuwa fresh sana. Nikamgonga changu nikalala vizuri.

Naye sasa amekuwa samaki pendwa. Sikosi kula changu kwa siku.awe wa kukangaa au wa kuungwa na nazi. Na kwa sasa naenda nunua ferry pale kwa tsh 30 napata wa kutosha tu.

Basi nabadilisha. Mara supu ya pono na chapati au mchemsho wa pono au changudoa.

Papa kwa sasa situmii sana. Hawa pono na changu ni wazuri unaweza wapika kama supu au mchemsho na ndizi au viazi ukala ukalala. Kwa sisi ambao hatujaoa wanasaidia sana. Sasa nmekuwa mlevi wa hawa samaki mpaka nahisi nahitaji msaada wa kisaikolojia. Sifahamu samaki wengine wakoje.
 
Ila vijana punguzeni zinaa, tafuta muyajenge weka ndani, shinsa naye mruke mpaka darini...
 
Haya maisha kama ukiwa umezoea sana jambo. unaweza teseka sana. Mimi nimechelewa sana kuanza kutumia papa.siku nimeonja tu nikapenda sana... Nikajikuta nitafuata papa popote pale nile.

Natamani nioe ili niwe napata papa wakati wote. Sisi wa kanda ya Ziwa wengi tukija Dar basi ndo unakuwa ulevi wetu.

Tabia hii imeendelea nimejikuta asubuhi lazima nianze na pono kwanza. Hapo ndo najisikia nimeanza siku vizuri. Na chapati tatu kubwa basi...siku inakuwa mujarabu kabisa.

Siku moja usiku katika pita pita nikaona changu buguruni. Ilikuwa mida ya saa 4 hivi usiku. Nikaona angalau leo nijaribu changudoa. Basi nikachukua moja huyo mpaka ghetto. Nligundua kumbe sikuwa nimemaliza kupata utamu. Changudoa ni watamu sana.

Nlimgonga mkavu maana nikasema huyu inabidi nimsikilizie ladha yake nipate utamu kamili. Changu ni watamu. Watamu sana asikwambie mtu. Na vile asubuhi nilipata supu ya pono na chapati. Basi nilikuwa fresh sana. Nikamgonga changu nikalala vizuri.

Naye sasa amekuwa samaki pendwa. Sikosi kula changu kwa siku.awe wa kukangaa au wa kuungwa na nazi. Na kwa sasa naenda nunua ferry pale kwa tsh 30 napata wa kutosha tu.

Basi nabadilisha. Mara supu ya pono na chapati au mchemsho wa pono au changudoa.

Papa kwa sasa situmii sana. Hawa pono na changu ni wazuri unaweza wapika kama supu au mchemsho na ndizi au viazi ukala ukalala. Kwa sisi ambao hatujaoa wanasaidia sana. Sasa nmekuwa mlevi wa hawa samaki mpaka nahisi nahitaji msaada wa kisaikolojia. Sifahamu samaki wengine wakoje.
Siku Jaribu kula Pweza a.k.a mkuyati
 
Unaongelea mara chapati mara changu huu Uzi wa maharage nini?
 
Kama unadhani ukiwa na mke ndani ndiyo utamwaga goli kila unapohiitaji,
basi waulize wanaume waliooa..

Kuna muda unajiona kama upo single ,
Na mke unae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kala ya changu, piga kwanza pweza na supu yake, ukikuta papa kaoshwa vizuri lazima anukie, na utamu wake si mchezo, Ukipata mkunga itakuwa vizuri zaidi. 😂
 
Haya maisha kama ukiwa umezoea sana jambo. unaweza teseka sana. Mimi nimechelewa sana kuanza kutumia papa.siku nimeonja tu nikapenda sana... Nikajikuta nitafuata papa popote pale nile.

Natamani nioe ili niwe napata papa wakati wote. Sisi wa kanda ya Ziwa wengi tukija Dar basi ndo unakuwa ulevi wetu.

Tabia hii imeendelea nimejikuta asubuhi lazima nianze na pono kwanza. Hapo ndo najisikia nimeanza siku vizuri. Na chapati tatu kubwa basi...siku inakuwa mujarabu kabisa.

Siku moja usiku katika pita pita nikaona changu buguruni. Ilikuwa mida ya saa 4 hivi usiku. Nikaona angalau leo nijaribu changudoa. Basi nikachukua moja huyo mpaka ghetto. Nligundua kumbe sikuwa nimemaliza kupata utamu. Changudoa ni watamu sana.

Nlimgonga mkavu maana nikasema huyu inabidi nimsikilizie ladha yake nipate utamu kamili. Changu ni watamu. Watamu sana asikwambie mtu. Na vile asubuhi nilipata supu ya pono na chapati. Basi nilikuwa fresh sana. Nikamgonga changu nikalala vizuri.

Naye sasa amekuwa samaki pendwa. Sikosi kula changu kwa siku.awe wa kukangaa au wa kuungwa na nazi. Na kwa sasa naenda nunua ferry pale kwa tsh 30 napata wa kutosha tu.

Basi nabadilisha. Mara supu ya pono na chapati au mchemsho wa pono au changudoa.

Papa kwa sasa situmii sana. Hawa pono na changu ni wazuri unaweza wapika kama supu au mchemsho na ndizi au viazi ukala ukalala. Kwa sisi ambao hatujaoa wanasaidia sana. Sasa nmekuwa mlevi wa hawa samaki mpaka nahisi nahitaji msaada wa kisaikolojia. Sifahamu samaki wengine wakoje.
Jiue tu mkuu because your life is a waste and burden to others.

Kammoon commit suicide!
 
Nimesoma comment zote ,nimegundua waliokuelewa hawazidi wawili ..!

Na hivi ndivyo watanzania wanashindwa kufaulu mtihani hata ya shuleni ...hawajuagi kusoma ,kutafakali na kuelewa jambo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna kakipindi fulani cha vichekesho Channel ya Star Tv - Brightens your day, nimekisahau jina lake ila yupo Braza K, Sharobaro wa kihaya Evodia, na wenzao nenda kawape hilo wazo watalitendea haki... Nikimuangaliaga Braza K anavyo kurupukaga nachekaga sanaaa!
 
Kama unadhani ukiwa na mke ndani ndiyo utamwaga goli kila unapohiitaji,
basi waulize wanaume waliooa..

Kuna muda unajiona kama upo single ,
Na mke unae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wengi ni Vilaza sana sababu hata kuelewa vitu vidogo ni kazi sana. Wewe umejaza kwenye akili yako ngono tu?
Umesoma huo uzi hadi mwisho ukaelewa mantiki ya mleta uzi?
 
Back
Top Bottom