Sijaoa bado. Nimekuwa mtu wa papa sana. Asubuhi Pono usiku sikosi Changu. Naombeni Msaada

Sijaoa bado. Nimekuwa mtu wa papa sana. Asubuhi Pono usiku sikosi Changu. Naombeni Msaada

Sioni kama kuna shida yoyote mkuu

Maisha yenyewe mafupi raha jipe mwenyewe mkuu

Huoni mimi napenda pombe
 
Watanzania wengi ni Vilaza sana sababu hata kuelewa vitu vidogo ni kazi sana. Wewe umejaza kwenye akili yako ngono tu?
Umesoma huo uzi hadi mwisho ukaelewa mantiki ya mleta uzi?
Mkuu huu uzi kwa uandishi wake wadau wengi wanaona manyota na mareli tu, watz hatutakagi vitu vigumu ama namna gani[emoji1][emoji1]
 
Haya maisha kama ukiwa umezoea sana jambo. unaweza teseka sana. Mimi nimechelewa sana kuanza kutumia papa.siku nimeonja tu nikapenda sana... Nikajikuta nitafuata papa popote pale nile.

Natamani nioe ili niwe napata papa wakati wote. Sisi wa kanda ya Ziwa wengi tukija Dar basi ndo unakuwa ulevi wetu.

Tabia hii imeendelea nimejikuta asubuhi lazima nianze na pono kwanza. Hapo ndo najisikia nimeanza siku vizuri. Na chapati tatu kubwa basi...siku inakuwa mujarabu kabisa.

Siku moja usiku katika pita pita nikaona changu buguruni. Ilikuwa mida ya saa 4 hivi usiku. Nikaona angalau leo nijaribu changudoa. Basi nikachukua moja huyo mpaka ghetto. Nligundua kumbe sikuwa nimemaliza kupata utamu. Changudoa ni watamu sana.

Nlimgonga mkavu maana nikasema huyu inabidi nimsikilizie ladha yake nipate utamu kamili. Changu ni watamu. Watamu sana asikwambie mtu. Na vile asubuhi nilipata supu ya pono na chapati. Basi nilikuwa fresh sana. Nikamgonga changu nikalala vizuri.

Naye sasa amekuwa samaki pendwa. Sikosi kula changu kwa siku.awe wa kukangaa au wa kuungwa na nazi. Na kwa sasa naenda nunua ferry pale kwa tsh 30 napata wa kutosha tu.

Basi nabadilisha. Mara supu ya pono na chapati au mchemsho wa pono au changudoa.

Papa kwa sasa situmii sana. Hawa pono na changu ni wazuri unaweza wapika kama supu au mchemsho na ndizi au viazi ukala ukalala. Kwa sisi ambao hatujaoa wanasaidia sana. Sasa nmekuwa mlevi wa hawa samaki mpaka nahisi nahitaji msaada wa kisaikolojia. Sifahamu samaki wengine wakoje.

sex addicts
 
Haya maisha kama ukiwa umezoea sana jambo. unaweza teseka sana. Mimi nimechelewa sana kuanza kutumia papa.siku nimeonja tu nikapenda sana... Nikajikuta nitafuata papa popote pale nile.

Natamani nioe ili niwe napata papa wakati wote. Sisi wa kanda ya Ziwa wengi tukija Dar basi ndo unakuwa ulevi wetu.

Tabia hii imeendelea nimejikuta asubuhi lazima nianze na pono kwanza. Hapo ndo najisikia nimeanza siku vizuri. Na chapati tatu kubwa basi...siku inakuwa mujarabu kabisa.

Siku moja usiku katika pita pita nikaona changu buguruni. Ilikuwa mida ya saa 4 hivi usiku. Nikaona angalau leo nijaribu changudoa. Basi nikachukua moja huyo mpaka ghetto. Nligundua kumbe sikuwa nimemaliza kupata utamu. Changudoa ni watamu sana.

Nlimgonga mkavu maana nikasema huyu inabidi nimsikilizie ladha yake nipate utamu kamili. Changu ni watamu. Watamu sana asikwambie mtu. Na vile asubuhi nilipata supu ya pono na chapati. Basi nilikuwa fresh sana. Nikamgonga changu nikalala vizuri.

Naye sasa amekuwa samaki pendwa. Sikosi kula changu kwa siku.awe wa kukangaa au wa kuungwa na nazi. Na kwa sasa naenda nunua ferry pale kwa tsh 30 napata wa kutosha tu.

Basi nabadilisha. Mara supu ya pono na chapati au mchemsho wa pono au changudoa.

Papa kwa sasa situmii sana. Hawa pono na changu ni wazuri unaweza wapika kama supu au mchemsho na ndizi au viazi ukala ukalala. Kwa sisi ambao hatujaoa wanasaidia sana. Sasa nmekuwa mlevi wa hawa samaki mpaka nahisi nahitaji msaada wa kisaikolojia. Sifahamu samaki wengine wakoje.
Acha uzinzi ndugu utakufa
 
Jua Changu Ana doa, hivyo Umlapo changu basi walau mparaze na umkaange kwa mafuta usile mkavu, Papa huyo Ana chumvi nyingi humuwezi ata hivyo jaribu kumuosha osha kupunguza makali. Huyo pono sasa nadhani sifa zake wazijua basi jitahidi usishabihiane nae maana atakuambukiza. Wasalaam
 
Pole sana, na wewe endelea tu, ukichoka utaacha...
 
Siyo lazima mtu akuite mjinga, pili hakuna samaki anaitwa changudoa bali CHANGU, samaki huwezi kalala naye ukasema mtamu bali binadamu kwa kufanya naye ngono!.
mkuu changudoa ni aina ya samaki kwenye jamii ya changu... kuna changu wa aina nyingi... huyu ni changu mwenye doa
24C8E328-CE47-4005-B0AB-8100B0CB78B8.jpeg
 
Back
Top Bottom