Uchaguzi 2020 Sijauona ‘u-kibaraka’ wala ‘ubeberu’ kwa Lissu mpaka sasa

Uchaguzi 2020 Sijauona ‘u-kibaraka’ wala ‘ubeberu’ kwa Lissu mpaka sasa

Nyamsusa JB

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
567
Reaction score
1,564
Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.

Nautafuta Ubeberu wake siuoni.

Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.

Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (Jibu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)

Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)

Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.

Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.
 
..TL ameanza kutetea wananchi tangu awamu ya Mkapa walipotaka kufukuza wavuvi wadogo-wadogo na kukodisha eneo la delta ya mto Rufiji kwa muwekezaji. Na hajapumzika harakati hizo hata alipoingia ktk siasa na kugombea ubunge.

..Na ccm wanavyozidisha hila zao dhidi ya TL ndivyo wananchi wanavyozidi kumuunga mkono. Haiwezekani wajaribu kumchafua rekodi ya mtu, na kumtoa roho, kwasababu tu amewazidi kimaadili, kimsimamo, na kwa hoja.

 
Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.
Nautafuta Ubeberu wake siuoni.

Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.

Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (JIbu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)
Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)

Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.

Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.
Umehakiki daftari la kudumu la wapiga kura?

Au utapigia huku?
 
Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.
Nautafuta Ubeberu wake siuoni.

Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.

Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (JIbu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)
Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)

Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.

Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.
CCM ndio vibaraka wakubwa na mabeberu wa demokrasia tuwakatae.
 
Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.
Nautafuta Ubeberu wake siuoni.

Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.

Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (JIbu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)
Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)

Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.

Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.
Mzee labda unamzungumzia Lissu wa enzi ya Dr Slaa huyu Lissu wa sasa mzee wa Miga ni tofauti sana na Lissu wa Slaa leo ukizungumzia mzalendo wa Nchii hii kati ya Lissu na JPM hata mtoto mdogo anajua nani ni mzalendo mzalendo si maneno ni pamoja na vitendo leo Mwenye nyumba wako aje kutembea na mkeo na kuchukua chakula cha watoto wako ukaogopa kusema kisa utapewa notice huyo ndo Lissu aliyesema tutapelekwa mahakamani kwa kuwakataza wazungu wasiibe na kuchukua madini yetu but JPM alisimama kidete na kutetea hakujali kama kuna Drone zinaweza kutumwa au kupelekwa mahakamani leo hii tuna kampuni ya Twiga

Leo unafurahia Uhuru wako wa kutembea na unajitafutia mkate wa kila siku lakini chama chako kilisema tuwekwe ndani mpk wakatoka Bungeni , mwenyekiti wenu anahutubia nyumbani kwake peke yake lakini kavaa groves utadhani Michael Jackson. Leo hii mnasimama majukwaani na kutukana matusi (Kwa maana hamna sera yeyote ya kuwambia watanzania )je tungewekwa ndani leo mngesimama jukwaaa gani wkt tupo ndani??
 
Mzee rabda unamzungumzia Lissu wa enzi ya Dr Slaa huyu Lissu wa sasa mzee wa Miga ni tofauti sana na Lissu wa Slaa leo ukizungumzia mzalendo wa Nchii hii kati ya Lissu na JPM hata mtoto mdogo anajua nani ni mzalendo mzalendo si maneno ni pamoja na vitendo leo Mwenye nyumba wako aje kutembea na mkeo na kuchukua chakula cha watoto wako ukaogopa kusema kisa utapewa notice huyo ndo Lissu aliyesema tutapelekwa mahakamani kwa kuwakataza wazungu wasiibe na kuchukua madini yetu but JPM alisimama kidete na kutetea hakujali kama kuna Drone zinaweza kutumwa au kupelekwa mahakamani leo hii tuna kampuni ya Twiga

Leo unafurahia Uhuru wako wa kutembea na unajitafutia mkate wa kila siku lakini chama chako kilisema tuwekwe ndani mpk wakatoka Bungeni , mwenyekiti wenu anahutubia nyumbani kwake peke yake lakini kavaa groves utadhani Michael Jackson. Leo hii mnasimama majukwaani na kutukana matusi (Kwa maana hamna sera yeyote ya kuwambia watanzania )je tungewekwa ndani leo mngesimama jukwaaa gani wkt tupo ndani??
Nonsense. Wewe unaongelea uhuru gani? Nani aliyeleta wasiojulikana, wakati hao wazungu wanapewa hiyo mikataba feki Lissu ndio alikuwa rais na Magufuli alikuwa hajazaliwa au alikuwa upinzani. Bure kabisa.
 
Mzee rabda unamzungumzia Lissu wa enzi ya Dr Slaa huyu Lissu wa sasa mzee wa Miga ni tofauti sana na Lissu wa Slaa leo ukizungumzia mzalendo wa Nchii hii kati ya Lissu na JPM hata mtoto mdogo anajua nani ni mzalendo mzalendo si maneno ni pamoja na vitendo leo Mwenye nyumba wako aje kutembea na mkeo na kuchukua chakula cha watoto wako ukaogopa kusema kisa utapewa notice huyo ndo Lissu aliyesema tutapelekwa mahakamani kwa kuwakataza wazungu wasiibe na kuchukua madini yetu but JPM alisimama kidete na kutetea hakujali kama kuna Drone zinaweza kutumwa au kupelekwa mahakamani leo hii tuna kampuni ya Twiga

Leo unafurahia Uhuru wako wa kutembea na unajitafutia mkate wa kila siku lakini chama chako kilisema tuwekwe ndani mpk wakatoka Bungeni , mwenyekiti wenu anahutubia nyumbani kwake peke yake lakini kavaa groves utadhani Michael Jackson. Leo hii mnasimama majukwaani na kutukana matusi (Kwa maana hamna sera yeyote ya kuwambia watanzania )je tungewekwa ndani leo mngesimama jukwaaa gani wkt tupo ndani??

..hata Jpm alitimka Dodoma na kwenda kujificha Chato kwa siku zaidi ya 40 kutokana na covid-19.

..kwa hiyo tusidanganyane kuhusu covid-19, hakuna ambaye hakutishika nayo.
 
Nonsense. Wewe unaongelea uhuru gani? Nani aliyeleta wasiojulikana, wakati hao wazungu wanapewa hiyo mikataba feki Lissu ndio alikuwa rais na Magufuli alikuwa hajazaliwa au alikuwa upinzani. Bure kabisa.
Soma kwanza uelewe sijui chadema mnamatatizo gani ?Mm nazungumzia uhuru wa kutoka asubuhi kujitafutia mwenyekiti wenu alitaka mfungiwe kama kuku bandani, hakujali mtakula wapi au kodi za nyumba mtalipa vipi ,lakini leo Chama ninachoongoza kwa kutembeza bakuri ni hao hao waliotaka mfungiwe ndani wkt kila kitu wanawambia muwachangie kifupi Chadema ni matonya wa siasa
 
Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.
Nautafuta Ubeberu wake siuoni.

Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.

Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (Jibu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)
Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)

Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.

Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.
Hao ni Mazezeta yanayomuabudu yule fisadi wa elimu asiyejua kuongea kizungu japo ana Phd fake
 
Kumpigia kura Lisu ni kumpa Urais beberu Amsterdam.
 
Back
Top Bottom