Uchaguzi 2020 Sijauona ‘u-kibaraka’ wala ‘ubeberu’ kwa Lissu mpaka sasa

Uchaguzi 2020 Sijauona ‘u-kibaraka’ wala ‘ubeberu’ kwa Lissu mpaka sasa

Mandela alikuwa mpigania haki kama Lissu, hakuwa mtumwa.

Hahaha mimi nikiwa mjinga wewe akili utazitoa wapi?! Mimi babu yako nilimtongoza bibi yako tukamzaa baba yako, nikachepuka upande wa pili nikamzaa mama yako, kama una vijiakili hata kidogo jua umerithi toka kwangu.
Mandela alikuwa mpigania haki kama Lissu, hakuwa mtumwa.

Hahaha mimi nikiwa mjinga wewe akili utazitoa wapi?! Mimi babu yako nilimtongoza bibi yako tukamzaa baba yako, nikachepuka upande wa pili nikamzaa mama yako, kama una vijiakili hata kidogo jua umerithi toka kwangu.
Unavyoonekana tu huna maadili si ajabu umejilea mtaani baada ya aliyekuzaa kukutupa. Ila sishangai sitegemei mfuasi wa Lisu kuwa mtu anaejitambua. Nikuongezee Nelson Mandela hakuwa mpigania haki wala hakukomesha yeye utumwa bali ni mpango ulioanzishwa na mataifa ya wazungu baada ya wengine kuona wenzao ananufaika na nguvukazi ya watumwa.
 
Back
Top Bottom