Nyongeza ya wanaodai anataka wauze madini yao kwa wanaowaita mabeberu hebu waulize, kwani sasa hivi hiyo migodi inamilikiwa na nani?Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.
Nautafuta Ubeberu wake siuoni.
Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.
Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (Jibu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)
Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)
Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.
Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.
Na je hayo madini wakiyachimba wanayauza wapi?
Tukianza na Barrick, Geita gol mine, nk. Je wakichimba hayo madini wanaizuia serikali ya Tanzania?
Wanaochimba ni Mababeru na wakiyapata wanayapeleka kwa Mabeberu wenzao. Hivyo kelele zao juu ya Lissu hazina maana hata kidogo.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app