Uchaguzi 2020 Sijauona ‘u-kibaraka’ wala ‘ubeberu’ kwa Lissu mpaka sasa

Uchaguzi 2020 Sijauona ‘u-kibaraka’ wala ‘ubeberu’ kwa Lissu mpaka sasa

Mapendekezo yako ni mufilisi Kama unaona raha sana kuwa chini ya wazungu una Uhuru wa kuukana uraia wetu na kuhamia huko kwao.

Ila kwa sasa tunayo haki ya kujiamulia mambo yetu, hatuhitaji kuelekezwa namna ya kufanya,

Wakati wao wakifanya yao hatujawahi kuwaingilia wala hawakuja kutuomba ushauri.

They should mind their own business.
Ni kweli ccm ndio mna uhuru wa kufanya kila kitu ndani ya nchi hii baada ya kutupoka uhuru wetu wananchi ila mwaka huu tumesema SASA BASI
 
Akiwa Tunduma amemtishia Magufuli kushtakiwa katika mahakama ya kimataifa ya jinai, ICC. Nachojaribu kujiuliza ni kwa nini Kesi za viongozi wa Afrika zipelekwe ICC ile hali juzi hapa tumeshuhudia Marekani ikiwekea vikwazo baadhi ya watu kwa kilichodaiwa walikuwa wanashinikiza kuchunguzwa kwa tuhuma za uhalifu wa kivita uliofanywa na wanajeshi wa jeshi la Marekani.

Hii inaleta picha mbaya kwa mtu anaetaka Urais akihutubia juu ya haki na usawa lakini bado anaamini kupata suluhu kwa kutumia mifumo kandamizi. Inashangaza kuona kiongozi anapiga kelele kuhamasisha kuirudisha nchi chini ili hali ndio inaanza kusimama. Hizo nchi mnazoona mfano wa uchumi ukiangalia kwa makini utagundua mambo yote yanayofanywa na Magufuli ndio sehemu ya maisha yao, na kinachofanya wamchukie Magufuli ni kwa kuwa wanaona njia anazotumia ndio zimafikisha wao walipo hivyo wana hofu ipo siku Tanzania itaacha kunyonyesha.

Nakumbuka vizuri katika Amplifaya ya Millard Ayo aliwahi kumuuliza Flaviana Matata kwa nini asichukue uraia wa Marekani ili iwe rahisi kwake kupewa tenda za mitindo kwani ilionekana raia ndio wanapewa kipaumbele, alichojibu Flaviana alisema kwa Marekani ukishakuwa raia karibia 50% ya kipato inaenda kwenye kodi za serikali. Ulaya huwezi sikia wakilalamikia kodi kwa sababu kizazi kilichopo kimezikuta hizo kodi hivyo wanaona ni sehemu ya maisha yao ya kawaida, huku kwetu tunabwabwaja kwa kuwa tulizoea madili na kukwepa kulipa kodi.
 
Mabeberu mbona wazuri, juzi tu wametupa mabillioni ya kupambana na Covid19. Pia walitupa trillioni 1 kwa ajili ya kusaidia elimu kwa watoto wa kike. Hao ndio watu wa kushirikiana nao
 
Mtu mwenye akili timamu huwezi kukosoa mgombea anayesema ikitokea uvunjifu wa amani unaosababishwa na wizi wa kura pamoja na kuzuia wagombea wa vyama vya upinzani muhusika apekelekwe The Hague. Mbona Nyerere aliposema madikteta wamebakia Afrika hukupingana nae. Wananchi wanazidi kuwa masikini sababu ya udikteta, madikteta wote ni wabinafsi ndiyo maana mtu anajenga uwanja wa Ndege nyumbani kwake kutumia kodi za wananchi bila kujali maisha ya wananchi wanaoteseka na umasikini huu ni ukatili mkubwa sana.

Ukimuona mtu anajipigisha kelele sana kuwa ni mtetezi wa wanyonge muogope sana mbona marais waliotangulia hawakuwa wanatumia nguvu kubwa hivo sababu hawakuwa madikteta kama yeye lakini kwakuwa anaona watanzania hawana cha kumfanya ndiyo maana anajenga uwanja wa Ndege nyumbani kwake anataka kujenga uwanja wa mpira nyumbani kwake hajali kuwa hizo pesa ni kodi ya watanzania wote anadhani chato ndiyo Tanzania

Ndiyo maana hataki kabisa kuzungumzia maslahi ya wafanya kazi sababu anataka wananchi wazidi kuwa masikini ili aendelee kuwatawala hayo ndiyo mawazo ya madikteta wote wanapenda kuwa na uchumi dola ndiyo mbinu yao ya kwanza.

Mimi ni bora niwe masikini kabisa lakini niwe mtu huru nisiye tawaliwa na dikteta
 
Akiwa Tunduma amemtishia Magufuli kushtakiwa katika mahakama ya kimataifa ya jinai, ICC. Nachojaribu kujiuliza ni kwa nini Kesi za viongozi wa Afrika zipelekwe ICC ile hali juzi hapa tumeshuhudia Marekani ikiwekea vikwazo baadhi ya watu kwa kilichodaiwa walikuwa wanashinikiza kuchunguzwa kwa tuhuma za uhalifu wa kivita uliofanywa na wanajeshi wa jeshi la Marekani.

Hii inaleta picha mbaya kwa mtu anaetaka Urais akihutubia juu ya haki na usawa lakini bado anaamini kupata suluhu kwa kutumia mifumo kandamizi. Inashangaza kuona kiongozi anapiga kelele kuhamasisha kuirudisha nchi chini ili hali ndio inaanza kusimama. Hizo nchi mnazoona mfano wa uchumi ukiangalia kwa makini utagundua mambo yote yanayofanywa na Magufuli ndio sehemu ya maisha yao, na kinachofanya wamchukie Magufuli ni kwa kuwa wanaona njia anazotumia ndio zimafikisha wao walipo hivyo wana hofu ipo siku Tanzania itaacha kunyonyesha.

Nakumbuka vizuri katika Amplifaya ya Millard Ayo aliwahi kumuuliza Flaviana Matata kwa nini asichukue uraia wa Marekani ili iwe rahisi kwake kupewa tenda za mitindo kwani ilionekana raia ndio wanapewa kipaumbele, alichojibu Flaviana alisema kwa Marekani ukishakuwa raia karibia 50% ya kipato inaenda kwenye kodi za serikali. Ulaya huwezi sikia wakilalamikia kodi kwa sababu kizazi kilichopo kimezikuta hizo kodi hivyo wanaona ni sehemu ya maisha yao ya kawaida, huku kwetu tunabwabwaja kwa kuwa tulizoea madili na kukwepa kulipa kodi.
CCM wakienda ulaya kutembeza bakuri kuomba omba hovyo misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani, lakini hao hao wazungu wakikataa Upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike?
 
hakuna ubishi tena beberu wa Magufuli ni Lissu.
CCM huenda ulaya kuomba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa Upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Akiwa Tunduma amemtishia Magufuli kushtakiwa katika mahakama ya kimataifa ya jinai, ICC. Nachojaribu kujiuliza ni kwa nini Kesi za viongozi wa Afrika zipelekwe ICC ile hali juzi hapa tumeshuhudia Marekani ikiwekea vikwazo baadhi ya watu kwa kilichodaiwa walikuwa wanashinikiza kuchunguzwa kwa tuhuma za uhalifu wa kivita uliofanywa na wanajeshi wa jeshi la Marekani.

Hii inaleta picha mbaya kwa mtu anaetaka Urais akihutubia juu ya haki na usawa lakini bado anaamini kupata suluhu kwa kutumia mifumo kandamizi. Inashangaza kuona kiongozi anapiga kelele kuhamasisha kuirudisha nchi chini ili hali ndio inaanza kusimama. Hizo nchi mnazoona mfano wa uchumi ukiangalia kwa makini utagundua mambo yote yanayofanywa na Magufuli ndio sehemu ya maisha yao, na kinachofanya wamchukie Magufuli ni kwa kuwa wanaona njia anazotumia ndio zimafikisha wao walipo hivyo wana hofu ipo siku Tanzania itaacha kunyonyesha.

Nakumbuka vizuri katika Amplifaya ya Millard Ayo aliwahi kumuuliza Flaviana Matata kwa nini asichukue uraia wa Marekani ili iwe rahisi kwake kupewa tenda za mitindo kwani ilionekana raia ndio wanapewa kipaumbele, alichojibu Flaviana alisema kwa Marekani ukishakuwa raia karibia 50% ya kipato inaenda kwenye kodi za serikali. Ulaya huwezi sikia wakilalamikia kodi kwa sababu kizazi kilichopo kimezikuta hizo kodi hivyo wanaona ni sehemu ya maisha yao ya kawaida, huku kwetu tunabwabwaja kwa kuwa tulizoea madili na kukwepa kulipa kodi.
Lissu ana skills za defense lawyer; haitaji kuonyesha kuwa yeye ni raia mzuri au ana niqa nzuri na nchi, anachojaribu kufanya ni kuweka reasonable doudt kwenye record ya Magufuli tu. Anajitahidi kuweka matundu kwenye record ya Magufuli kwa njia zozote nzuri au mbaya mradi zote ni halali; sasa sijui kama kuna mafanikio au vipi. Filimbi ya mwisho ni October 28
 
Lissu ana dhamira nzuri na nchi hii, ni amirijeshi wa umma kupambana na uonevu, magufuli amebaki na majeshi tu. mambo yakikorogeka kisawasawa majeshi yatahamia upande wa umma magufuli atakamatwa kama kuku atapelekwa ICC.
 
Atapelekwa the Hague kwa lipi kwa watu kushindwa kutii mamlaka na sheria zilizopo za uchaguzi.
 
" hatutaki"......
-Identfy the speaker
-Who were the listeners?
-Describe the occasion.
 
Bora Lisu kuliko huyu anayepoteza watu.
Wakati mwingine ni vizuri kujua nafasi yako, Yuko wapi Kashogi? Vipi kuhusu Julian Assenga wa WeakLeaks? Wewe unapiga kelele na hakuna unachofaidika nacho zaidi ya kutafuta umaarufu wa kijinga.

Haya Tujikumbushe Snowden licha ya alichokipata baada ya kuituhumu serikali inachunguza mawasiliano ya wananchi, sasa anaishi maisha ya hofu na bado hamna uhakika kama aliyoyapinga kama hayatendeki. Kwa hiyo wakati mwingine ni vizuri kujua nafasi yako na usipende kushindana na mamlaka.
 
Inabidi kuwa na roho mbaya kama ya jiwe, bashiri au kondakta.

Tambua kuwa hata mataga unaowaona ni njaa za matumbo yao tu. Hata wao wanajua huyu jamaa ni jembe!
Yaani mtu yeyote anaye side na magufuli una conclude kuwa huyu tabia yake ni ile ile roho mbaya, wivu wa maedndeleoo. Choyo, roho ya korosho. Yaani watu hawa wanaamini wao ni maskini kwa sababu ya matajri.
 
..TL ameanza kutetea wananchi tangu awamu ya Mkapa walipotaka kufukuza wavuvi wadogo-wadogo na kukodisha eneo la delta ya mto Rufiji kwa muwekezaji. Na hajapumzika harakati hizo hata alipoingia ktk siasa na kugombea ubunge.

..Na ccm wanavyozidisha hila zao dhidi ya TL ndivyo wananchi wanavyozidi kumuunga mkono. Haiwezekani wajaribu kumchafua rekodi ya mtu, na kumtoa roho, kwasababu tu amewazidi kimaadili, kimsimamo, na kwa hoja.


Kazi tukufu ya Lissu imeandikwa hadi kwenye kitabu cha mbinguni cha watalatifu.
 
Tundu Lissu kwa miaka Mingi tu alipigania Mikataba ya Nchi hususani ya Madini iwe inapelekwa Bungeni kuthibitishwa ili kuondoa uwezekano wa Mikataba kama hiyo.

Tundu Lissu alichokua anasisitiza ni kufuata utaratibu wa Kisheria katika kudeal na hiyo Mikataba ambayo CCM na Serikali yake ilikua ikiishadadia. Unajua ni Mikataba mingapi imetuingiza kwenye kulipa Fidia kwa sababu ya kuivunja bila kufuata utaratibu wa sheria?

Tunaposhughulika na hawa jamaa tunaowaita mabeberu inatakiwa tuwe wajanja hasa kwa mara ya kwanza tunapoingia nao kwenye mikataba.
Je unajua kuna baadhi ya Mikataba ya Madini Mawaziri wetu walienda kuifungia nje ya Nchi?
Ni muda sasa wa kufumua kabisa mfumo wa kiutawala na kulifanya Bunge liwe na Uwezo Mkubwa kuisimamia Serikali na hili litawezekana tu CCM itakapoondoka madalakani.

Lissu kapigania sana Nchi hii inaumiza sana kuona leo hii hapewi credit/recognition zinazomstahili na badala yake zinakwenda kwa Mtu mwingine ambaye sio Mpigania Nchi halisi.

Tusaidiane kwenye hili tuitengeneze Nchi yetu. Tundu Lissu anaweza hii kazi.
Magufuli kafanya kwa sehemu yake tutampongeza kwa sehemu yake lakini kwa sasa atupishe kwanza.
Kazi ya Lissu ni tukufu
 
Back
Top Bottom