Ni vzur kam unajua ila usijiamixhe kupita kiasi pia kuwa unajua kuliko mm, any way iko ivi mfano tu mdogo nakupa "Magufuli alivoingia madarakani alivunja mikataba kibao ya makampuni ya nje yaliyoonekana kuinyonya nchi yetu, mfano mzur ilikuwa makampuni ya madini, alivunja mikataba na akasema kuwa makampuni haya kama hayatakubali kusain mikataba mipya yenye usawa bac yasepe, lakin tundu lisu iliilaumu sana serukali ya magufuli akisema kuwa magufuli amevunja mikataba bila kifuata sheria kwa hiyo wenye makampuni wataenda kwenya mahakama za kimataifa tutashitakiwa na mali zote za tanzania zilizoko nje zitazuiliwa tanzania itawekewa vikwazo na vya kibiashara itafilisika na itakuwa maskini mno, lakini haya leo hii mikataba ikavunjwa na mingine imesainiwa upya walau kuleta usawa tusinyonywe sana lakin mbona hatujashitakiwa kama tundu lisu alivyokuwa anatuogopesha, mbona leo hii mchanga wa dhahabu haupelekwi nje ya nchi nambie nani ametushtaki na tukafilisiwa, sijaona vzur uzalendo wa tundu lisu kwa nchi hii, pia na mnukuu tundu lisu aliwahi kusema " Raisi magufuli ameongoza nchi hovyo na ametutenganisha na marafiki zetu wa ulaya " mwisho wa kunukuu....kwa nnavyojua mm hakuna nchi Yeyote ya kizungu itakayokuja hapa eti ijenge urafki na sisi itusaidie kiuchumi tuendelee bila wao kuwa na masilahi, zaidi wanajenga urafki wa kiendelea kutuibia rasilimali zetu tu na kutukopesha madeni yasiyohimilika lakin hakuna cha maan wanachotusaidia n wizi mtupu