Uchaguzi 2020 Sijauona ‘u-kibaraka’ wala ‘ubeberu’ kwa Lissu mpaka sasa

Uchaguzi 2020 Sijauona ‘u-kibaraka’ wala ‘ubeberu’ kwa Lissu mpaka sasa

Wanachokifanya ni propaganda zakizamani nakitoto zakupumbaza wasioweza kufikiri sawasawa.
Usiyeweza kufikiri ni wewe na hao viazi wenzio, juzi katangaza kwamba atafuta kodi zote na bidhaa kutoka nje zitaingia nchini bila kodi, hivyo ataifanya nchi dampo la bidhaa za mabeberu, kweli tunachagua afisa masoko wa mabeberu? katumwa kuja kutafuta soko la bidhaa za viwanda vya mabwana zake? sio ukibaraka huo? tunajenga uchumi shindani ye anataka turudi kwenye ukoloni tulikotoka!!!?? hayo mambo mengi sana anayoahidi atayafanya atapata wapi pesa bila kukusanya kodi? ATATUUZA.
 
Bila Mabeberu hii nchi haiendiii mzee...Muulize bashite serikali ilivyomkataa hadharanii..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.

Nautafuta Ubeberu wake siuoni.

Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.

Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (Jibu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)

Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)

Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.

Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.
WENGINE WANAJIFANYISHA TU
 
Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.

Nautafuta Ubeberu wake siuoni.

Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.

Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (Jibu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)

Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)

Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.

Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.
Mti wenye matunda mazuri ndio unapigwa,mawe hakuna mzalendo na mwenye uchungu na raslimali za nchi kama Lisu narudia tena hakuna
 
Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.

Nautafuta Ubeberu wake siuoni.

Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.

Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (Jibu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)

Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)

Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.

Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.
Hao wanaomuita hivyo ni vijana hayawani barobaro wasio na mbele wala nyuma...
 
Najaribu kuutafuta Ukibaraka wa Lissu siuoni.

Nautafuta Ubeberu wake siuoni.

Nampekua na namchimba zaidi ninachokiona ni kua Tundu Lissu ni Mzalendo wa Kweli na wa kuigwa.

Eti oooh, anatumika na Wabeligiji, swali la kujiuliza hapa Je, Lissu alifikajefikaje huko Ubeligiji (Jibu Risasi zenu ndio hatimaye zilimfikisha huko)

Eti oooh, anataka Migodi yetu na Madini yetu yachukuliwe na Mabeberu (Hivi Mnajua halakati za Lissu katika kupambania Madini yetu na Migodi yetu?)

Nasema tena Lissu ndio Mzalendo wa kweli namba moja Tanzania hii, sisi wengine ni Wanafiki tu tena Wanafiki Uchwara.

Tusikalilishwe kila kitu. Mengine Tuhoji.

Ni YEYE 2020. Mzalendo wa kweli, Mhe Tundu Lissu ANOTHER LEVEL.
 
Unakalilishwa vibaya sana.
Kuhusu mikataba ya madini Lisu alisimamisha mishipa ya shingo mpaka mate yaliruka akisema haiwezekani, mara nchi tutaiweka pabaya.
Kuhusu suala la CORONA mpaka leo Lisu anachukia kwanini sisi tumeamua kupambana kivyetu vyetu akitaka tutii wazungu wanataka nini.
Kwahiyo kwa akili zako na wewe unaona hiki kichwa ndio cha kukipa nchi kiongoze!!?



MAGUFULI4LIFE.
 
CCM ya Magufuli imemteua UBUNGE aliekuwa mfungwa wa makenikia na mdeni wa NOAH zetu.
CCM = Chama Cha MIJIZI na MAFISADI PAPA
 
Huna macho hivyo huoni
Huyo ni Kibaraka wa Mabeberu
 
Ushoga ni kosa la jinai hapa Tanzania Chadema na mgombea wenu mnasema ni haki ya faragha. Hafai kuwa hata diwani.
Your silliness won't distract our attention from fighting this despotic and inept regime.
 
Soma kwanza uelewe sijui chadema mnamatatizo gani ?Mm nazungumzia uhuru wa kutoka asubuhi kujitafutia mwenyekiti wenu alitaka mfungiwe kama kuku bandani, hakujali mtakula wapi au kodi za nyumba mtalipa vipi ,lakini leo Chama ninachoongoza kwa kutembeza bakuri ni hao hao waliotaka mfungiwe ndani wkt kila kitu wanawambia muwachangie kifupi Chadema ni matonya wa siasa
Serikali yenyewe kutembeza bakuli ni sera yake kuu na wala hilo hulioni unaona tu chama ambacho viongozi wake wanasulubiwa kila siku na utawala wa kiimla. Bogus.
 
Duniani kote chunguza kuhusu watu wanaopenda kutumia lugha ya mabeberu kuficha mambo yao ni madikteta ndio wanatumia sana msemo huu ili kuficha udikteta wao ili waendelee kuongoza.
 
Back
Top Bottom