Sijawahi kuambiwa maneno yakaniuma kama aliyoniambia aliyekuwa mpenzi wangu, sitayasahau kamwe


Mfanye tu awe Ex
 
Kwa Muislam nikupatie mume mwema.
 
You are a dilusional church girl.

Tatizo nashindwa kukushauri.

Sikia chachi girl.
Can you plz stol all the non sense and drama and be real for a second.
F*k Mithali
F*k all the bullshit that you learned
Coz they never worked.
They will never work.

Focus on your social life skills

Hizo fairy tales unazoziamini zimeshakufelisha 3 times
You made a hat trick
You were dumped by 3 fckn church men including your pastor.
!!!!!!!!!!
Lady who are you?
Who the F**k are you?


Uliwahikujaribu upande wa pili?
Namaanisha
Have you ever discussed your situation with a real woman who understand the game.
Am not talkn about Disney Mithali woman.


Unahisi tabia zangu mbaya zinatokana na kuwa na mtoto au nini kimefanya uhisi nina mtoto?
 
Mithali what??? Hahahaaah!
Tuache kudanganyana hapa. Just imagine; (kutoka katika komenti zake)
~age: 36
~watoto: hana
~bikra: hana
~maex: wawili (wanaojulikana mpaka kwa ndugu akiwemo mchungaji)
~hitmen (madanga): unknown
~kutongozwa: yes as a lady
~nk
Kiufupi, our mithali lady yupo desperate sana kutokana na maisha aliyoyapitia na umri alionao

Yawezekana kweli anajiona ni mithali lady lakini uhalisia unamkataa... Church man aliyenaye sasa kagundua kuwa kava la kitabu halisadifu yaliyomo ndio maana kaamua kumove on muda ambao mithali lady alitaka kutulia na kujenga maisha baada ya mahangaiko mengi ya duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…