Sijawahi kuambiwa maneno yakaniuma kama aliyoniambia aliyekuwa mpenzi wangu, sitayasahau kamwe

Jamaa kagundua ripoti ya CAG ina dosari akaamua kusepa mazima....kwamba kava la kitabu na yaliyomo ndani havina uhusiano hata wa asilimia 15% tu! 😁😁😁

 
Sasa ndo nini..... kwaiyo alikwambia wewe ni mwanamke wa mithali31
 
kwa akili hizi zake za kuandika. anastahili kuambiwa alicho ambiwa mpaka kikamfikisha huku JF na Nukuu za mithali
Huyo mtu mbona nishamsahau wakuu?Mnaonaje tufunge uzi atajing'ata bure huko saa hizi ashindwe kumkiss mpenzi wake mpya jinsi mnavyomtajataja😁.
He is a closed chapter
 
Sasa ndo nini..... kwaiyo alikwambia wewe ni mwanamke wa mithali31
Uzi usha expire huu mkuu.
Huyo mtu keshakua historia na hayuko tena kwenye maisha yangu na sioni umuhimu wa kuendelea kumjadili hapa.
 
Asepe tu atatokea wakunikubali na madhaifu yangu
Usidinywe tena na watu wa kanisani na hasa Baba Mchungaji. Baadhi yao wanatumia nguvu za giza na ukiingizwa kwenye maagano yao ya kishetani huko hutakaa uwe na amani maishani mwako. I hope utakuwa umejifunza kitu....

Ndiyo utapata mwingine na pengine bora zaidi lakini huyu mwamba ulikuwa unamkubali ndo maana ulikuja mpaka kuanzisha uzi huku. Sizitaki mbichi hizi ama?

Humble yourself. Repent. Be genuine. Focus on yourself and you will attract your Mr. Right!

I am rooting for you sis 🙏🏿
 
Ni kweli niliikua namkubali mwamba na sio sizitak mbichi hizi bali siwez kushinda namuwaza nikilia wkt huko aliko keshanisahau anacheka na kufurahi na mpenz wake mpya.

Nimekua humble kiasi cha kusema hapa kuwa alikua na haki yakunione alivyo niona sasa unataka niwe humble vipi zaidi ya kukiri na kukubali kuwa kweli nilimkosea?

Yeye aende tu nishakubali kuwa Iam single now na namtakia heri huko aendako.
 
Ni kweli niliikua namkubali mwamba na sio sizitak mbichi hizi bali siwez kushinda namuwaza nikilia wkt huko aliko keshanisahau anacheka na kufurahi na mpenz wake mpya.

Nimekua humble kiasi cha kusema hapa kuwa alikua na haki yakunione alivyo niona sasa unataka niwe humble vipi zaidi ya kukiri na kukubali kuwa kweli nilimkosea?

Yeye aende tu nishakubali kuwa Iam single now na namtakia heri huko aendako
 
Mkuu,
Ni kweli ulidinywa na watu wa kanisani kwako?
 
Pole sana dada yangu, kweli ni rahisi mwanaume kumchukulia vibaya mwanamke kutokana uharibifu uliopo Duniani umeharibu kabisa picha ya mwanamke. Mwenyewe nina mchumba wangu ambaye mwanzo nilikuwa na mtazamo hasi juu yake.
Moyo wangu ulikuwa unamkubali ila akili ilikuwa inaniambia hawezi kuwa mke mwema wa Mithali 31 ambaye nimekuwa nikimuomba na kumgoja toka kwa Mungu miaka yote hii.
Mpaka baadae nilipokuja kumfahamu vizuri nikashangaa kumbe ni tofauti kabisa na nilovyokuwa namfikiria.
Hivyo we usivunjike moyo, endelea tu kuwa good girl, atakuelewa tu kama ni mtu sahihi kwako. Asipokuelewa Mungu atakuletea mwingine ambaye ni sahihi kwako na atakuelewa.
 
Hivyo we usivunjike moyo, endelea tu kuwa good girl, atakuelewa tu kama ni mtu sahihi kwako. Asipokuelewa Mungu atakuletea mwingine ambaye ni sahihi kwako na atakuelewa.
Kunielewa hawezi kunielewa ila siwezi kuvunjika moyo na nitaendelea kuboresha mienendo yangu.

Asante kwa maneno mazuri mkuu 🙏
 
Umeambiwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…