Sijawahi kuambiwa maneno yakaniuma kama aliyoniambia aliyekuwa mpenzi wangu, sitayasahau kamwe

Sijawahi kuambiwa maneno yakaniuma kama aliyoniambia aliyekuwa mpenzi wangu, sitayasahau kamwe

Kwa kawaida mida hii huwa nakua kanisani ila kwa jinsi nilivyo depressed hata ningeenda Church nisingetoka na chochote.

Toka juzi nimekua naisoma MITHALI 31-10-31 kwa lengo la kujitathimini maana ndoto yangu ni kuwa huyu mwanamke anayeelezewa hapa.

Kila nikiisoma hii Methali najiona nikilandana na huyu mwanamke kwa 97% na tena nasema kwa kujiamini kuwa nimemzidi mwanamke wa Mith. 31-10-31 kwa ubora....(YES).

Mwanamke kuwa mwanamke wa MITH 31 huamki tu siku moja na kujikuta hivyo,wala huzaliwi hivyo na wala sio bahati bali ni kwa kujitengeneza kwa mchakato wa muda mrefu na kwa msaada wa roho wa Mungu.

Hata hivyo Mungu anaweza kukukutanisha na huyu mwanamke ila shetani atahakikisha anakutoa kwake kabla hujajua thamani ya mwanamke uliye nae.

Wanaume wengi mnakutana na hawa wanawake ila kwa vile shetani anapenda kusikia vitu kama KATAA NDOA atahakikisha hata Mungu akikuletea huyu mwanamke HUMUONI..Atahakikisha unaona vile anavyotaka yeye uone na ndio maana Biblia inasema 'MKE MWEMA, JE NI NANI AWEZAE KUMUONA?"

JE NI NANI AWEZAE KUMUONA?
Mwanaume jiulize,UKIMUONA mwanamke ambae kamwe hawezi kukusaliti hata uwe Impotent au atongozwe na Bill Gate au upoteze kazi au uumwe miaka 10 kitandani na hatasema siri hizo kwa yeyote zaidi ya kwa Mungu wake UTAMJUA?Utatumia vigezo gani KUMJUA?Kwanza kuna wanaume na baadhi ya wanawake hawaamini kama hawa watu wana exist ila wapo ila KUWAONA ni mpaka kwa neema.

Wanaume huwa mna vigezo vyenu vya kujua mke mwema ila Mungu akikuletea mwanamke ambae keshajiandaa na kujipa maarifa na uwezo wa kusimama kwa uaminifu bega kwa bega na atakayekua mumewe katika kuboresha maisha ya familia yao utatumia vigezo gani KUMUONA?

Je UTAMUONA kwa zawadi anazokuletea wakati wa uchumba au utamuona kwa sababu haombi nauli au utamuona kwa ajira/biashara yake nzuri au utamuona kwa kuwa hata ukikaa wiki bila kumtafuta halalamiki au utamuona kwa degree yake au utamuona kwa sababu hana kasoro kama binadamu wengine au UTAMUONAJE?

Kwa jinsi ninavyoongoza maisha yangu sikutegemea ipo siku nitaambiwa maneno niliyoambiwa lakini yamenisaidia kujua nifanye nini ili nisije nikaambiwa tena.

NB:Sijaandika kutafuta mwenza ndo mana PM nimefunga.
Kuandika ni njia yangu yakujifariji.

MBARIKIWE.


Mithali 31:10-31



Mwanamke ameongelewa sehemu nyingi sana, sio hapo tu, nafikiri hakuna mahali biblia imesema kijana wa Standard 7 aoe asioe mwanamke mwenye PhD, will you do that sababu haijaandikwa? Biblia ni kamili, ila usichukue package moja tu.
 
Kwa kawaida mida hii huwa nakua kanisani ila kwa jinsi nilivyo depressed hata ningeenda Church nisingetoka na chochote.

Toka juzi nimekua naisoma MITHALI 31-10-31 kwa lengo la kujitathimini maana ndoto yangu ni kuwa huyu mwanamke anayeelezewa hapa.

Kila nikiisoma hii Methali najiona nikilandana na huyu mwanamke kwa 97% na tena nasema kwa kujiamini kuwa nimemzidi mwanamke wa Mith. 31-10-31 kwa ubora....(YES).

Mwanamke kuwa mwanamke wa MITH 31 huamki tu siku moja na kujikuta hivyo,wala huzaliwi hivyo na wala sio bahati bali ni kwa kujitengeneza kwa mchakato wa muda mrefu na kwa msaada wa roho wa Mungu.

Hata hivyo Mungu anaweza kukukutanisha na huyu mwanamke ila shetani atahakikisha anakutoa kwake kabla hujajua thamani ya mwanamke uliye nae.

Wanaume wengi mnakutana na hawa wanawake ila kwa vile shetani anapenda kusikia vitu kama KATAA NDOA atahakikisha hata Mungu akikuletea huyu mwanamke HUMUONI..Atahakikisha unaona vile anavyotaka yeye uone na ndio maana Biblia inasema 'MKE MWEMA, JE NI NANI AWEZAE KUMUONA?"

JE NI NANI AWEZAE KUMUONA?
Mwanaume jiulize,UKIMUONA mwanamke ambae kamwe hawezi kukusaliti hata uwe Impotent au atongozwe na Bill Gate au upoteze kazi au uumwe miaka 10 kitandani na hatasema siri hizo kwa yeyote zaidi ya kwa Mungu wake UTAMJUA?Utatumia vigezo gani KUMJUA?Kwanza kuna wanaume na baadhi ya wanawake hawaamini kama hawa watu wana exist ila wapo ila KUWAONA ni mpaka kwa neema.

Wanaume huwa mna vigezo vyenu vya kujua mke mwema ila Mungu akikuletea mwanamke ambae keshajiandaa na kujipa maarifa na uwezo wa kusimama kwa uaminifu bega kwa bega na atakayekua mumewe katika kuboresha maisha ya familia yao utatumia vigezo gani KUMUONA?

Je UTAMUONA kwa zawadi anazokuletea wakati wa uchumba au utamuona kwa sababu haombi nauli au utamuona kwa ajira/biashara yake nzuri au utamuona kwa kuwa hata ukikaa wiki bila kumtafuta halalamiki au utamuona kwa degree yake au utamuona kwa sababu hana kasoro kama binadamu wengine au UTAMUONAJE?

Kwa jinsi ninavyoongoza maisha yangu sikutegemea ipo siku nitaambiwa maneno niliyoambiwa lakini yamenisaidia kujua nifanye nini ili nisije nikaambiwa tena.

NB:Sijaandika kutafuta mwenza ndo mana PM nimefunga.
Kuandika ni njia yangu yakujifariji.

MBARIKIWE.


Mithali 31:10-31

Duh ni hatari
 
Nahisi nimeachwa ila naombea niwe sijaachwa[emoji16].

Siwalaumu kwa kutaka sura t rangi sababu washajikatia tamaa kupata huyo wa mithali mkuu so acha wafaidi uumbaji
Pole mkuu,
Itabidi nawe utafute mume wa kwenye Bible, sijui anatoka kitabu gani manake sio Suleiman wala Daudi walikula K moja tu. Labda Job manake sikusikia kashfa yake.
 
Hapana.
Hajaniita mchawi wa kiswahili ila ni kama ameniita mchawi wa kizungu,a witch.Mzungu akisema my wife is a witch hamaanishi anapaa na ungo wala kuvaa tungure.
Ukieleza kilichotokea utanistua maana nafsi imegawanyika Kuna upande unataka useme na mwingine hautaki na unaishia kuzunguka tu bila kuweka jambo bayana
 
Pole mkuu,
Itabidi nawe utafute mume wa kwenye Bible, sijui anatoka kitabu gani manake sio Suleiman wala Daudi walikula K moja tu. Labda Job manake sikusikia kashfa yake.
Maombi yangu sio kupata mwingine maana hata yeye ni bora kwangu.
Hayo ya K atajua na Mungu wake sijawahi kujua kama ana K nyingine zaidi yangu
 
Kwa kawaida mida hii huwa nakua kanisani ila kwa jinsi nilivyo depressed hata ningeenda Church nisingetoka na chochote.

Toka juzi nimekua naisoma MITHALI 31-10-31 kwa lengo la kujitathimini maana ndoto yangu ni kuwa huyu mwanamke anayeelezewa hapa.

Kila nikiisoma hii Methali najiona nikilandana na huyu mwanamke kwa 97% na tena nasema kwa kujiamini kuwa nimemzidi mwanamke wa Mith. 31-10-31 kwa ubora....(YES).

Mwanamke kuwa mwanamke wa MITH 31 huamki tu siku moja na kujikuta hivyo,wala huzaliwi hivyo na wala sio bahati bali ni kwa kujitengeneza kwa mchakato wa muda mrefu na kwa msaada wa roho wa Mungu.

Hata hivyo Mungu anaweza kukukutanisha na huyu mwanamke ila shetani atahakikisha anakutoa kwake kabla hujajua thamani ya mwanamke uliye nae.

Wanaume wengi mnakutana na hawa wanawake ila kwa vile shetani anapenda kusikia vitu kama KATAA NDOA atahakikisha hata Mungu akikuletea huyu mwanamke HUMUONI..Atahakikisha unaona vile anavyotaka yeye uone na ndio maana Biblia inasema 'MKE MWEMA, JE NI NANI AWEZAE KUMUONA?"

JE NI NANI AWEZAE KUMUONA?
Mwanaume jiulize,UKIMUONA mwanamke ambae kamwe hawezi kukusaliti hata uwe Impotent au atongozwe na Bill Gate au upoteze kazi au uumwe miaka 10 kitandani na hatasema siri hizo kwa yeyote zaidi ya kwa Mungu wake UTAMJUA?Utatumia vigezo gani KUMJUA?Kwanza kuna wanaume na baadhi ya wanawake hawaamini kama hawa watu wana exist ila wapo ila KUWAONA ni mpaka kwa neema.

Wanaume huwa mna vigezo vyenu vya kujua mke mwema ila Mungu akikuletea mwanamke ambae keshajiandaa na kujipa maarifa na uwezo wa kusimama kwa uaminifu bega kwa bega na atakayekua mumewe katika kuboresha maisha ya familia yao utatumia vigezo gani KUMUONA?

Je UTAMUONA kwa zawadi anazokuletea wakati wa uchumba au utamuona kwa sababu haombi nauli au utamuona kwa ajira/biashara yake nzuri au utamuona kwa kuwa hata ukikaa wiki bila kumtafuta halalamiki au utamuona kwa degree yake au utamuona kwa sababu hana kasoro kama binadamu wengine au UTAMUONAJE?

Kwa jinsi ninavyoongoza maisha yangu sikutegemea ipo siku nitaambiwa maneno niliyoambiwa lakini yamenisaidia kujua nifanye nini ili nisije nikaambiwa tena.

NB:Sijaandika kutafuta mwenza ndo mana PM nimefunga.
Kuandika ni njia yangu yakujifariji.

MBARIKIWE.


Mithali 31:10-31


Mwanamke wa Mithali 31 siyo mwanamke mmoja. Hilo linaeleweka kwa wanazuoni wengi wa Theolojia maana katika uhalisia wake hakuna mwanamke ambaye anaweza kuwa na sifa zote zile labda awe roboti la Elon Musk.

Walimu wengi wanaofundisha mambo ya ndoa huitumia Mithali 31 kama picha tu ya sifa za jumla ambazo mke mwema anapaswa kuwa nazo. Kila muoaji ana vigezo vyake au sifa anazozitafuta na akizipata kwa kiwango cha asilimia angalau 60+ basi inatosha.

Tukumbuke tu kuwa hakuna aliye mkamilifu. Hata Mama E wangu siyo mkamilifu na ana mapungufu mengi sana lakini kwa vile ana sifa chache za msingi nilizokuwa nazitafuta kwa mwanamke basi inatosha. Mengine tunavumiliana, kurekebishana na kuchukuliana kama wanadamu; maana hata mimi siyo mkamilifu kwake.

Na pole kwa maneno ya kuumiza uliyoambiwa na huyo boya aliyekuumiza lakini usijipe steresi kwa kujaribu kuwa kama mwanamke wa Mithali 31. Hutaweza!

Screenshot_20230820_105230_Swahili Bible Offline.jpg
Screenshot_20230820_105243_Swahili Bible Offline.jpg
 
walokole na umalaya hamjambo.sikia dada bwanawako amepata taarifa kuwa kanisani Kuna kiongozi ana kufukuzia Sasa sijui ni mpiga kinanda au muhasibu au baba mchungaji mwenyewe?wewe ndio utakuwa na jibu sahihi.

hata Mimi mkewangu siwezi kukubali ajifanye mtu wadini sana kumbe nichakula Cha viongozi kwenye ibada zao

hatakama hujaliwa ila kutompa taarifa kuwa ibadani Kunamtu anakutongoza hilo nikosa mana mtongozaji akiongeza siraha za mashambulizi utaliwa na itakuwa ndio tabiayako.

mwamba Yuko sahihi kukuacha.
 
Back
Top Bottom