Bangida
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 2,406
- 11,258
Changamoto inakuja sehem moja
Wewe binafsi ndo unajipa ujiko na kujiona ni wa mithali 31.
Lakini olitakiwa huku nje watu wengine ndo waone hilo. Ni kama kujitekenya mwenyewe af ucheke then uje huku jukwaani utupange kua hua ukitekenywa unacheka.
And worse enough, hao wanaoona kua wewe ni wa mithali ni ma ex zako (hutujui wanaume vizuri wewe).
Uzuri jamaa ako hajawa mnafki, amekuorodheshea makosa yako yote pamoja na kukuita "wichi".
You have a long way to go.
Oh, on the flip side, haimaanishi mtu akiwa anaenda church sio mdhambi, nna rafiki zangu jumapili huwakosi wakiwa na makoti mazuri na wanaimba mapambio, lakn jumapili ikiisha ni vitombi shetani akasome.
Yaeza kua wewe na bwana wako wote mmekunywa uji wa mgonjwa kabla ya muda wa kuona wagonjwa.
Wewe binafsi ndo unajipa ujiko na kujiona ni wa mithali 31.
Lakini olitakiwa huku nje watu wengine ndo waone hilo. Ni kama kujitekenya mwenyewe af ucheke then uje huku jukwaani utupange kua hua ukitekenywa unacheka.
And worse enough, hao wanaoona kua wewe ni wa mithali ni ma ex zako (hutujui wanaume vizuri wewe).
Uzuri jamaa ako hajawa mnafki, amekuorodheshea makosa yako yote pamoja na kukuita "wichi".
You have a long way to go.
Oh, on the flip side, haimaanishi mtu akiwa anaenda church sio mdhambi, nna rafiki zangu jumapili huwakosi wakiwa na makoti mazuri na wanaimba mapambio, lakn jumapili ikiisha ni vitombi shetani akasome.
Yaeza kua wewe na bwana wako wote mmekunywa uji wa mgonjwa kabla ya muda wa kuona wagonjwa.