Sijawahi kuambiwa maneno yakaniuma kama aliyoniambia aliyekuwa mpenzi wangu, sitayasahau kamwe

Sijawahi kuambiwa maneno yakaniuma kama aliyoniambia aliyekuwa mpenzi wangu, sitayasahau kamwe

Siwezi kusema kiundani ila kutokana na sababu fulani fulani amepata picha mbaya kuhusu mimi.Kibinadamu yuko sawa kudhani niko hivyo wala hana makosa ila kiuhalisia siko anavyodhani tatizo yeye sio Mungu kuona ambavyo upeo wa macho ya binadamu hauwezi kuona.Kinachoniuma ni kwamba nampenda sana na amekua mtu mzuri sana kwangu ila sina jinsi yakumtoa imani mbaya aliyoijenga juu yangu.

Vitalis Msungwite hii
Una umri gani?
 
Siwezi kusema kiundani ila kutokana na sababu fulani fulani amepata picha mbaya kuhusu mimi.Kibinadamu yuko sawa kudhani niko hivyo wala hana makosa ila kiuhalisia siko anavyodhani tatizo yeye sio Mungu kuona ambavyo upeo wa macho ya binadamu hauwezi kuona.Kinachoniuma ni kwamba nampenda sana na amekua mtu mzuri sana kwangu ila sina jinsi yakumtoa imani mbaya aliyoijenga juu yangu.

Vitalis Msungwite hii
Una umri gani?
 
,Acha nicheke kwanza🤭😁😂🤣😅😄😃😀
haya tuendelee Mae x unao wangapi ndugu mlalamikaji?

nasio mlalamikaji tuu pia wewe ni mwanamke wakwenye mithali ambae mwamba ameshindwa kukutambua kabisa🤭🤭

nahao max walikuoa au vipi?

mkuu huna Cha umwanamke wakwenye mithali wala nini wee ni malaya.
mwanamke wakwenye mithali sifa yake kuu aliolewa akiwa bikiraa.wewe endelea na umalaya wako Hadi ujaze yutong ya max Huku ukijisifia kuwa wewe nimwanamke wakwenye mithali.
🤭polee
😂😂😂😂
 
Ata muna love kaokoka ila madudu yake ni ngumu kufutika vichwan mwa wabongo, nature ya mwanaume ni selfish hapend ku share so hata kama historia ni mbaya still inakata stimu asee.

Pole mithali lady.
 
Acheni Uzinzi jamani. Baada ya kufarakana unakimbilia Mithali kusoma na mawazo juu. Tuacheni unafiki jamani Mungu hapendi vuguvugu.
 
She is dilusional lady.

Huyo lady kama hana mtoto sijui!!
Nauhakika she is above 30yrs
Hiyo body count nivema ange multiply by 4.

Kwakifupi anatudanganya.
Unahisi tabia zangu mbaya zinatokana na kuwa na mtoto au nini kimefanya uhisi nina mtoto?
 
Ata muna love kaokoka ila madudu yake ni ngumu kufutika vichwan mwa wabongo, nature ya mwanaume ni selfish hapend ku share so hata kama historia ni mbaya still inakata stimu asee.

Pole mithali lady.
Asante ila sijamsaliti
 
Back
Top Bottom