Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Mkuu baada ya kuacha mishe na kina mzee dingi ila mzee KY ulisema kuwa uliendelea kuwasiliana nae kwa muda fulani

Mbona sijaona umetolea maelezo sababu ya kuendelea kuwasiliana na mzee KY
Baada ya kuachana nae kule maeneo ya Chalinze, before sijarudi nyumbani kwa wazee, nilionana nae kama mara mbili hivi. Na hizi zote ni Mimi ndio nilikuwa nafosi mazungumzo.

Na dhumuni la kufosi hayo mazungumzo, ni kwamba nilikuwa naamini yupo katika position ya kunisaidia kupata mchongo halali, maana alikuwa na maisha mazuri tu. Ila yeye hakuwa tayari kuendeleza ukaribu kati yetu
 
Niliwahi kupeleka mzazi feki pia kumbe huyo mzazi feki alishawahi kucheza dili na yule discpline Master na wakadhurumiana. Aisee sitosahau niliishi maisha magumu sana kipindi kile
Itakuwa ulipata tabu sana 😅😅
 
Mkuu hongera kwa simulizi hii, nimejifunza mengi.Ile simulizi ya kwanza ya maisha yako nilipata hamu ya kujua kazi alizowahi kufanya babako kwa ukaksi aliokuwa nao.
Kwa sasa najua kuwa ni mjeda mstaafu.
Congrats kwakuwa na baba huyo.
 
Mkuu nakumbuka kipindi hicho nipo form two ndio kipindi cha kufanya mtihani wa Necta. Aisee sitosahau niliyakoroga mpaka tukashauriana na mshikaji niliyefanya nae ule msala twende kwa Mganga wa kienyeji
Mkuu form two ulishaanza kufikiria habari za waganga 😅😅😅
 
Mkuu hongera kwa simulizi hii, nimejifunza mengi.Ile simulizi ya kwanza ya maisha yako nilipata hamu ya kujua kazi alizowahi kufanya babako kwa ukaksi aliokuwa nao.
Kwa sasa najua kuwa ni mjeda mstaafu.
Congrats kwakuwa na baba huyo.
Shukrani master 👊
 
Aha nimekupata mkuu
 
Ndugu wasomaji, kivumbi leo
 
Sehemu ya 19 sijaiona nimeitafuta mpaka nimechoka
 
Nimejaribu kuangalia, pia sijaiona. Itabidi mods Moderator YinYang Invisible au Maxence Melo waje wakupe jibu kwanini imeondolewa.

Hiyo portion ya 19 ilikuwepo
Aisee! Yani nimesoma kipande cha 20 kama nikiwa nimeshikiwa fimbo na kujaribu kuungaunga kila tukio la kuunganisha hiyo part ila sijafua dafu! Nikakosa ladha ikabidi nipumzike kidogo! Ndio nimerudi nikiwa na matumaini flani ambayo sijayakuta!


Kiweke hapa mkuu au nitumie PM kama kilikua na ukakasi mpaka kimeondolewa
 
Wamefanya vibaya sana! Yani sijaona hata mtu kui quote hiyo part, kilikua na shida gani!!?
 
Wamefanya vibaya sana! Yani sijaona hata mtu kui quote hiyo part, kilikua na shida gani!!?
Wametoa vyote hadi ambavyo mtu aliquote, sijajua shida ni nn. Haikuwa na contents zozote mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…