Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
- Thread starter
- #2,541
Huwa naandika direct humu humu, sinacho sehem nyingine yoyote zaidi ya humuAisee! Yani nimesoma kipande cha 20 kama nikiwa nimeshikiwa fimbo na kujaribu kuungaunga kila tukio la kuunganisha hiyo part ila sijafua dafu! Nikakosa ladha ikabidi nipumzike kidogo! Ndio nimerudi nikiwa na matumaini flani ambayo sijayakuta!
Kiweke hapa mkuu au nitumie PM kama kilikua na ukakasi mpaka kimeondolewa