Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Huwa naandika direct humu humu, sinacho sehem nyingine yoyote zaidi ya humu
 
Chambo wa chama Cha wezi Analyse big up kwa story nzuri na yenye mafunzo.
👉 Nimejifunza familia ndio msingi wa kila kitu.
👉Vijana Ina tubidi tupambane, ili familia zetu zisije teseka Kama sisi.
👉Mapenzi na Vita dhidi ya umasikini ni maji na mafuta.
👉I mean no malice to nobody. Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉 Roho begani
,
 
Pole sana mkuu,
Wengine mpaka tuliitwa mjapani kwa kupenda magari na ufundi na tuliyaweza haswa.
Mtu hata huelewi leo ni Baba ntilie🤷‍♂️.
Ila mulemule tu michuzi nayo watakula imesukwa km injini ya Scania.👊
Maisha yaendelee😁
 
Pamoja sana kamanda 👊👊
 
Natamani sana kujua mlitumia njia gani kulitafuta puto liliowekwa juu ya mti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…