Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Kuwa strong haimaanishi hatuumii, ila pia chozi kutoka sio symbol ya udhaifu
 
Kali zote mkuu
 
Analyse thanx bro, shukran mno kwa nasaha za mzee maana nimetembea nazo km nilikua naambiwa mm![emoji120]
 
Hii mbona story, inataka kufafana na walimu fulani, ila yeye ni wakiume na mkoa wengine!?
 
Analyse mkuu hii stori nlikuwa naipita juu juu tu, ila leo nimeanza kuisoma nmejikuta sijatoka mpaka namaliza.
Umeongea uhalisia wa maisha nimeng'amua how it feels like to grow up with a father on your side, by my side he left me when im in kindergarten.
I can't picture if he was still in my young age would it be troublesome or awesome?
#RIPDAD
 
Mkuu, wanasema the right time of anything, ni pale kinapokuwa mbele yako. Nadhani huu ndio ulikuwa muda sahihi kwako kuisoma. Pia shukran kwa kusonga nayo mpaka mwisho.

Lastly, pole kwa kumpoteza Mshua ukiwa katika umri mdogo. Kila kitu kina sababu yake.

Stay blessed.
 
Bless
 
Hizi story za kutunga ambazo huwa mnalazimisha kusema ni kweli ukifikia hatua flani zinakuwa ngumu sana kuendeleza. Hapo mtunzi huanza kukimbia kimbia na kutoa udhuru. Unamwona kabisa yumo humu anasoma tu comments ila anakuambia hivi na vile. Yaani ili mradi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…