Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Maxence Melo mkuu naomba JF ID yangu kuanzia sasa hivi isome "MZEE KESHO YETU au KISAUTI " 😁😁😁
 
Hii part ya mchagga imenichekesha kama mwehu[emoji23]
 
Hapana bhana. Mimi nitaweka kila siku mpaka ifike mwisho. Wala usiwe na shaka 😅😅😅
Huchelewi kulewq na sifa ukaanza kutusumbua unaleta baada ya wiki kujifanya unasafiri kikazi😀 kazi yenyew ni kumridhisha Shani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…