johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Watafiti wa Marekani wako kazini!Damu Kuganda Mwilini Unasababishwa Na Virusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watafiti wa Marekani wako kazini!Damu Kuganda Mwilini Unasababishwa Na Virusi
Ni tahadhari tuu maana nyie huwa hamkawii kutumia fursa ya kumkumbatia mfiwa mwanamke huku mkiandaa mtu wa kuwasnapu.Mkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
Imekaa kijasusi zaidi,..mke wa mbobevu amejiaisolet kuokoa wengine ...[emoji1787]Mkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
Na hii mambo Huwa inatembea sana na wakishuaChukua tafadhari hasa mnaokaa maeneo ya kishua we are not safe than ever
Nyie ndio wale wale.wacheni hofu na kuleta taharuki tanzania ni salama haijawahi kutokea
Biden pamoja na kuchanja akapata COVID.Utetezi uliotolewa ni kwamba chanjo hizo hazizuii kuambukizwa,isipokuwa zinazuia mgonjwa wa COVID kutokufariki kwa ugonjwa huo.Ukiniambia ni ile covid iliyomaliza 'kundi lile' imekuja "kusafisha" njia kwaajili ya "kundi jipya" nitashawishika, maana hawa wamechanja chanjo zote alizochanja Joe Biden
Kachero amejifia kwa coronaKuna corona mpya ila kama kawaida hatuambiwi mapema mpaka watu wengi wafe. Nimeongelea hili sehemu nyingine.
Hujajifunza kwenye korona? Mumewe kafa juzi, unataka ujichanganye naye?
Inasemekana changamoto za kupumua zimeanza tena. tetesi lkn!
Kuna is wimbi ka mafua makali kikohozi na makavu Kubana kaa mbali ....mbali
Camaraderie so, yawezekana soon tukapigwa lockdown au naota?.Kama aliyeondoka anahisiwa Kaondoka na COVID-19 japo inafichwafichwa unategemea na Mkewe awe hana?
Hivyo ilikuwa ni lazima Uzio huo uwepo ili Kuwalinda Wengine ( hasa Wageni ) na Yeye Mjane kuwa Karantini ya muda Kama hiyo Pichani.
Ni tahadhari tu za kujikinga na ile homa ya changamoto ya kupumua: Kaa umbali flani, msishikane mikono...... na kadhalika.Mkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
VictimMkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
Msiba ni wa mum wake, kama asiongeonekana msibani yangezuka maswali mengi na taharuki nyingiAngekuwa hospital au kwenye karantini
🤣🤣🤣Karantini ya kishikaji
Mwenye falsafa yake hayupo tena, tujikinge tu kwa kuvaa barakoa, kutumia vitakasa mikono, kuzingatia na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima, ambao hawajachanjwa wakimbie wakapate chanjoKirusi cha Korona kilichoboreshwa kiko mjini. Tuanze kujifukiza na kunywa malimau na tangawizi....
Mimi mwenyewe ndio mara ya kwanza kuona hili tokea nimezaliwa.Mkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
Hata mimo nimeshangaa, ukiuliza watakwambia wakivaa barakoa watazua taharuki kwa wananchi, sijui kwa nini serikali huwa inaficha mambo ya msingi namna hiyoinashangaza maana hata barakoa hawajavaa
Mwenye falsafa yake hayupo tena, tujikinge tu kwa kuvaa barakoa, kutumia vitakasa mikono, kuzingatia na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima, ambao hawajachanjwa wakimbie wakapate chanjo
Tupo kwenye awamu ya sayansi mkuu, zile mashine za kujifukiza zilishachomwa moto