Sijawahi kuona nchini yenye amani na usalama kama Zambia

Sijawahi kuona nchini yenye amani na usalama kama Zambia

Mzee naelewa na najua maana ya 1 Kilometre is equal to 1000 metres Mzee. Kuna mtu aliyekimbia 1 km then akamcheka aliyekimbia 1000 metres akidai amekimbia umbali mfupi.
Duh aisee.. 🤣🤣🤣
 
Naamini ipo siku ntatembelea nchi zetu jirani hizi aisee.

Ni majirani zetu ila daah tupo tofauti saana.

Mfan kipindi cha nyuma kidg mji wa tunduma ulikua unasifika kwa wizi, udokozi, ujambazi, magendo na uhalifu mwingine lakini cha ajabu ndo hapo karibu na hiyo Zambia isiyo na hizo sifa. Na wakazi wa hapo wengi shughuli zao hufanyia hiyo nchi jirani!!.

Ama kweli jasiri haachi asili, pamoja na kukaa na uaridi bado hatujanukia.
Yan inashangaza sana watanzania tunashindwa kujifunza mazuri kutoka kwa jirani zetu.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Katika zunguka zunguka yangu yote katika nchi mbali mbali nikianza na nyumbani Tanzania, kwa kweli sijawahi kuona nchi yenye amani na usalama wa hali ya juu kama Zambia.

Kwa wale wenzangu waliowahi kuikanyaga nchi hii bila shaka wataleta ushuhuda wa hiki ninachoongea. Zambia ndio nchi ambayo unaweza kununua kitu njiani huku basi linakwenda, cha ajabu kama ulitangulia kumpa muuzaji hela kubwa, basi muuzaj atalikimbilia hilo basi hadi ahakikishe amekurudishia chenji yako, kitu ambacho kwa nchi nyingi including Tanzania hakipo. Yani ukinunua kitu ukatangulia kutoa hela na basi likaanza kwenda, basi uhesabu ushapigwa, maana muuzaji hatokupa chenji yako, badala yake atakimbia zake akijua hauna uwezo wa kutoka ndani ya basi linalotembea ili umkimbize yeye.

Hiyo tisa, kumi ni pale unapofika Lusaka katika ile stand yao kuu inayoitwa Kaunda bus terminal. Aisee pale utakuta wale jamaa wanaochenji hela wakiwa na maburungutu ya dola za mia mia, hamsini hamsini nk wameziweka mezani kwa ajili ya kuwachenjia wasafiri mbali mbali wanaoshukia pale kutoka nchi mbali mbali. Lile soko liko wazi masaa 24, na hakuna anaeingia kuwasumbua au kuwaibia wale wanao anika madola yao hadharani kwa ajili ya chenji. Kwa Tanzania ukiwa na sh laki 1 ukienda kariakoo kununua kitu, basi muda wa kulipa inabidi usogee kona kidogo ndo uchomoe hela, tena kimagutu magutu unaangalia huku na kule ili usije fatwa na vibaka. Kwa Zambia hiyo haipo.

Kuna siku nilishuka pale na mzigo wa maana, kwa vile nina mjomba wangu anaishi pale ikabidi na mimi nichukue hata wiki moja ili niuze mzigo wangu mdogo mdogo. Aisee nilishangaa kuona jamaa amekuja na zaidi ya dola 2500 tena kaziweka mfukoni tu, hana wasi wasi wowote mpaka pale town lilipo duka la mjomba wangu, akanipa changu na mimi nikamkabidhi mizigo yake akaita gari akapakia akaondoka.

Mimi mcheche ukanishika nikifikiri labda kuna watu wametuona kwahiyo wanaweza kuja kutupora yale madola aliyoniachia jamaa, mjomba wangu akacheka na kuniambia kuwa hapa watu huwa wanatembea mpaka na dola elf 7 town, itakuwa mimi wa dola elf 2 bwana.

Ki ukweli style ya maisha ya pale niliipenda sana haswa kwa upande wa usalama, sema ndo hivyo sehemu ambayo haukuanzia maisha ukisema uende kuanza tena itachukua muda kutoka.

Hizi nchi zetu zingine usalama ni zero, mpaka inafika kipindi wengi wetu tunakuwa tunatembea na kadi za bank tu mifukoni, ili kuepusha wizi wa fedha unaoweza kutokea wakati wowote. Mpaka sasa sijajua ni mbinu gani wanayotumia hawa jamaa kudhibiti wizi na ujambazi katika maeneo mbali mbali ya mji wa Lusaka na Zambia yote kwa ujumla.
Huko ukiiba utasimulia ya dunia ndo maana hakuna wizi. Mfano mzuri ni Zanzibar watu wanapogopa kuiba kwa sababu wanajua wezi wanafanywaga mambo gani.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Katika zunguka zunguka yangu yote katika nchi mbali mbali nikianza na nyumbani Tanzania, kwa kweli sijawahi kuona nchi yenye amani na usalama wa hali ya juu kama Zambia.

Kwa wale wenzangu waliowahi kuikanyaga nchi hii bila shaka wataleta ushuhuda wa hiki ninachoongea. Zambia ndio nchi ambayo unaweza kununua kitu njiani huku basi linakwenda, cha ajabu kama ulitangulia kumpa muuzaji hela kubwa, basi muuzaj atalikimbilia hilo basi hadi ahakikishe amekurudishia chenji yako, kitu ambacho kwa nchi nyingi including Tanzania hakipo. Yani ukinunua kitu ukatangulia kutoa hela na basi likaanza kwenda, basi uhesabu ushapigwa, maana muuzaji hatokupa chenji yako, badala yake atakimbia zake akijua hauna uwezo wa kutoka ndani ya basi linalotembea ili umkimbize yeye.

Hiyo tisa, kumi ni pale unapofika Lusaka katika ile stand yao kuu inayoitwa Kaunda bus terminal. Aisee pale utakuta wale jamaa wanaochenji hela wakiwa na maburungutu ya dola za mia mia, hamsini hamsini nk wameziweka mezani kwa ajili ya kuwachenjia wasafiri mbali mbali wanaoshukia pale kutoka nchi mbali mbali. Lile soko liko wazi masaa 24, na hakuna anaeingia kuwasumbua au kuwaibia wale wanao anika madola yao hadharani kwa ajili ya chenji. Kwa Tanzania ukiwa na sh laki 1 ukienda kariakoo kununua kitu, basi muda wa kulipa inabidi usogee kona kidogo ndo uchomoe hela, tena kimagutu magutu unaangalia huku na kule ili usije fatwa na vibaka. Kwa Zambia hiyo haipo.

Kuna siku nilishuka pale na mzigo wa maana, kwa vile nina mjomba wangu anaishi pale ikabidi na mimi nichukue hata wiki moja ili niuze mzigo wangu mdogo mdogo. Aisee nilishangaa kuona jamaa amekuja na zaidi ya dola 2500 tena kaziweka mfukoni tu, hana wasi wasi wowote mpaka pale town lilipo duka la mjomba wangu, akanipa changu na mimi nikamkabidhi mizigo yake akaita gari akapakia akaondoka.

Mimi mcheche ukanishika nikifikiri labda kuna watu wametuona kwahiyo wanaweza kuja kutupora yale madola aliyoniachia jamaa, mjomba wangu akacheka na kuniambia kuwa hapa watu huwa wanatembea mpaka na dola elf 7 town, itakuwa mimi wa dola elf 2 bwana.

Ki ukweli style ya maisha ya pale niliipenda sana haswa kwa upande wa usalama, sema ndo hivyo sehemu ambayo haukuanzia maisha ukisema uende kuanza tena itachukua muda kutoka.

Hizi nchi zetu zingine usalama ni zero, mpaka inafika kipindi wengi wetu tunakuwa tunatembea na kadi za bank tu mifukoni, ili kuepusha wizi wa fedha unaoweza kutokea wakati wowote. Mpaka sasa sijajua ni mbinu gani wanayotumia hawa jamaa kudhibiti wizi na ujambazi katika maeneo mbali mbali ya mji wa Lusaka na Zambia yote kwa ujumla.
mkuu ni kweli kabisa.
mimi niko lusaka west hii ya mumbwa road jirani na kituo cha west wood.

Natype now nikiwa karibu na bar ya bill buster "J J' s pub and grill....maisha ukiachilia mbali usalama wa-zambia hawana roho mbaya ni wtu wazuri sana ,mnoooo

Any way tuko pamoja kuijenga nvhi ya hichelema
 
Nimeshatembea nchi zaidi ya 5, ila kati ya hizo nchi nimeona Zambia ndio nchi yenye amani na usalama zaidi kwa sababu
1) Zambia ndio nchi pekee ukiingia town iwe sokoni, kwenye mall au stand ya mabasi utakutana na watu wanaochenji pesa tena wengi wao ni wageni kutona Nigeria, Congo nk. Wachenji hela hawa utawakuta wamekaa mstari mfano wa wauza samaki pale feri. Kila mtu utakuta kaweka maburungutu ya usd (yani dola za kimarekani) mia mia, hamsini hamsini na ishirini ishiri.
Kifupi kwa hesabu ya haraka haraka kila meza moja au mfuko wa mchenji hela mmoja huwa haukosi dola elfu 3, elfu 5 na kuendelea. Sasa fikiria kama ukipiga vamizi la meza 10 utaondoka na dola elf ngapi? Na ukizichenj kwa hela ya Tanzania utapata bei gani. Pia watu wanauza vitu vyao nje nje tena vya thamani kubwa, ila hakuna anaelalamika kuvamiwa wala kuibiwa. Zambia nimeshakaa takriban miezi 3 na pia huwa napita nikirudi Tanzania kutokea South. So nina uhakika na ninachokisema.
Nafikiri umesoma na michango ya watu wengine humu na kushuhudia mwenyew jinsi watu waliofanikiwa kupita, au kuishi nchi ile wanavyokubaliana na kile nilichoandika.
Nina mwaka m1 zambia,nafanya kazi kwa kampuni flani hivi, japokuwa work permit ni ghali ila sijutiii kuendelea kupiga kazi
 
mkuu ni kweli kabisa.
mimi niko lusaka west hii ya mumbwa road jirani na kituo cha west wood.

Natype now nikiwa karibu na bar ya bill buster "J J' s pub and grill....maisha ukiachilia mbali usalama wa-zambia hawana roho mbaya ni wtu wazuri sana ,mnoooo

Any way tuko pamoja kuijenga nvhi ya hichelema
Ndugu zetu wa Zambia wako vizuri kiusalama na kiushirikiano. Wacongo, warundi, wanyarwanda, watanzania, wazimbabwe, wamalawi nk wamejaa kibao Lusaka wakifanya biashara zao bila bughuza yoyote.
 
Tanzania na kenya ina jitahidi sana ukilinganisha na hao enzetu atleast na rwanda nao
 
mkuu ni kweli kabisa.
mimi niko lusaka west hii ya mumbwa road jirani na kituo cha west wood.

Natype now nikiwa karibu na bar ya bill buster "J J' s pub and grill....maisha ukiachilia mbali usalama wa-zambia hawana roho mbaya ni wtu wazuri sana ,mnoooo

Any way tuko pamoja kuijenga nvhi ya hichelema
Jitahidi sana usifanye kosa la uhamiaji au jinai. Kamwala na Chimbwakaila ni njia panda ya kuzimu.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Katika zunguka zunguka yangu yote katika nchi mbali mbali nikianza na nyumbani Tanzania, kwa kweli sijawahi kuona nchi yenye amani na usalama wa hali ya juu kama Zambia.

Kwa wale wenzangu waliowahi kuikanyaga nchi hii bila shaka wataleta ushuhuda wa hiki ninachoongea. Zambia ndio nchi ambayo unaweza kununua kitu njiani huku basi linakwenda, cha ajabu kama ulitangulia kumpa muuzaji hela kubwa, basi muuzaj atalikimbilia hilo basi hadi ahakikishe amekurudishia chenji yako, kitu ambacho kwa nchi nyingi including Tanzania hakipo. Yani ukinunua kitu ukatangulia kutoa hela na basi likaanza kwenda, basi uhesabu ushapigwa, maana muuzaji hatokupa chenji yako, badala yake atakimbia zake akijua hauna uwezo wa kutoka ndani ya basi linalotembea ili umkimbize yeye.

Hiyo tisa, kumi ni pale unapofika Lusaka katika ile stand yao kuu inayoitwa Kaunda bus terminal. Aisee pale utakuta wale jamaa wanaochenji hela wakiwa na maburungutu ya dola za mia mia, hamsini hamsini nk wameziweka mezani kwa ajili ya kuwachenjia wasafiri mbali mbali wanaoshukia pale kutoka nchi mbali mbali. Lile soko liko wazi masaa 24, na hakuna anaeingia kuwasumbua au kuwaibia wale wanao anika madola yao hadharani kwa ajili ya chenji. Kwa Tanzania ukiwa na sh laki 1 ukienda kariakoo kununua kitu, basi muda wa kulipa inabidi usogee kona kidogo ndo uchomoe hela, tena kimagutu magutu unaangalia huku na kule ili usije fatwa na vibaka. Kwa Zambia hiyo haipo.

Kuna siku nilishuka pale na mzigo wa maana, kwa vile nina mjomba wangu anaishi pale ikabidi na mimi nichukue hata wiki moja ili niuze mzigo wangu mdogo mdogo. Aisee nilishangaa kuona jamaa amekuja na zaidi ya dola 2500 tena kaziweka mfukoni tu, hana wasi wasi wowote mpaka pale town lilipo duka la mjomba wangu, akanipa changu na mimi nikamkabidhi mizigo yake akaita gari akapakia akaondoka.

Mimi mcheche ukanishika nikifikiri labda kuna watu wametuona kwahiyo wanaweza kuja kutupora yale madola aliyoniachia jamaa, mjomba wangu akacheka na kuniambia kuwa hapa watu huwa wanatembea mpaka na dola elf 7 town, itakuwa mimi wa dola elf 2 bwana.

Ki ukweli style ya maisha ya pale niliipenda sana haswa kwa upande wa usalama, sema ndo hivyo sehemu ambayo haukuanzia maisha ukisema uende kuanza tena itachukua muda kutoka.

Hizi nchi zetu zingine usalama ni zero, mpaka inafika kipindi wengi wetu tunakuwa tunatembea na kadi za bank tu mifukoni, ili kuepusha wizi wa fedha unaoweza kutokea wakati wowote. Mpaka sasa sijajua ni mbinu gani wanayotumia hawa jamaa kudhibiti wizi na ujambazi katika maeneo mbali mbali ya mji wa Lusaka na Zambia yote kwa ujumla.
Mr.Dudumizi umehamia na kuwa balozi wa Amani wa Zambia,Ile habari ya nchi yako ni kisiwa cha amani imeishia wapi🥱
 
Back
Top Bottom