Sijawahi kuona promosheni ya safari lager hii bia ni big brand inajiuza bila kutegemea promo

Nani kakwambia bia a.k.a chapati ni takataka na sumu?
"Kunywa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako", ndivyo wanavyoandika.

Ila wanatakiwa kuandika, "pombe ni sumu inayoenda kuoverwork ini lako na kupelekea kushindwa kufanya kazi kwa siku za usoni. Pia kisukari ni uhakika ukifika miaka 40 na kuendelea"
 
Nimeona ndugu zangu wengi waliokufa kwa madhara ya pombe kwa kansa ya ini na kisukari. Wanywaji wengi wakifikisha miaka 40 mpaka 50 wanavuna kisukari na mateso na majuto mengi.
Hiyo mijuis na mimaziwa ndio haina sumu?
 
Kisukari wanaumwa wanaokunywa juice na soda... Pombe hazipo kwenye hiyo list ya visababishi vya kisukari

Hayo maziwa na juice ndio yatakupa kisukari miaka mitano tuu ijayo... Endekeza..

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Zamani ukinywa kwenye chupa unaliona kabisa mabaki ya shairi
Ladha ilikuwa ladha

Ova
 
Flying fish imekaa kidemu sana nikiona mtoto wa kiume anakunywa sikai nae.
 
Safari ni noma sana, ukiwa na kichwa cha panzi huwezi kuhimili mikiki yake.
 
Sijazungumzia soda. Nakunywa juice ya matunda na maziwa tu.
Organic or synthetic juice? kuhusu maziwa nisilizungumzie sana maana unaweza ukawa unakunywa maziwa ambayo residues za kutosha tu kuweza kukudhuru kiafya.
 
Wala usijali, endelea. Safari moja huanzisha nyingine.
Hakika huwa nashangaa sana eti mtu hanywi bia ila misoda mijuis ya azamu anafukia hatari.

Wangejua ilivyo na mikemikali bora wangekunywa ngano yenye kimea.

#MaendeleoHayanaChama
 
Organic or synthetic juice? kuhusu maziwa nisilizungumzie sana maana unaweza ukawa unakunywa maziwa ambayo residues za kutosha tu kuweza kukudhuru kiafya.
Juice ya matunda inatengenezwa home. Maziwa yanakamuliwa directly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…