Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
"Kunywa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako", ndivyo wanavyoandika.Nani kakwambia bia a.k.a chapati ni takataka na sumu?
Ila wanatakiwa kuandika, "pombe ni sumu inayoenda kuoverwork ini lako na kupelekea kushindwa kufanya kazi kwa siku za usoni. Pia kisukari ni uhakika ukifika miaka 40 na kuendelea"