Safari ilifanyiwa promo Hadi Bitchuka aliitungia wimbo!Hayo ma castle lite serengeti lite kinachowasaidia ni promosheni utakuta unaambiwa elfu 10 bia nane
Safari haitegemei promo wala kushusha bei ni big brand
Kwani ulijua ni mdomo wa nani.mkuu?Siku hizi mbona imekuwa chungu Sana au Ni mdomo wangu?
Sijazungumzia soda. Nakunywa juice ya matunda na maziwa tu.
Ipo, ila sehemu sehemu..mi naielewa sanaHivi Guiness Extra Stout ipo kweli mbon imekua adimu mana ina vibe sana..!
Kwani lazima ukae na Mimi jomba? we kunywa bia zako za kinanihii, hata ukinywa Savannah jomba Ila kaa kivyako .Acha udictator
Wewe c ndio ulisema ukimkuta mtu anakunya bia aina hizo haukai nae?Kwani lazima ukae na Mimi jomba? we kunywa bia zako za kinanihii, hata ukinywa Savannah jomba Ila kaa kivyako .
Windhoek bei sana hizo ni imported, wewe kunywa mataputapu ushibe ukalaleWindhoek nimezinywa Sana 2007-2010 hapo,baadae nikaanza kuona taste yake siielewi.Nikanywa Castle lager nayo baadae ikawa na sukari nyingi Sana nikahamia kwny Kilimanjaro lager ndio mpk leo.Nakaaga na vijana wanavimba na beer za flying fish nacheka Sana.
Watoto wa 2000's sio rahisi kuelewa, miaka ya 1990's na 2000s mwanzoni safari ilikua na matangazo mengi sanaMwaka upi huo
Windhoek test yake sio nzuri wewe kwako kama bei ni kikwazo wengine taste ni kikwazo tusipende kugeneralize mamboWindhoek bei sana hizo ni imported, wewe kunywa mataputapu ushibe ukalale
Noma sana🎶Safari ni Safari,
Iwe kwa miguu ama kwa basi,
Safari ni Safari,
Kutumia baiskeli au daladala,
Safari ni Safari,
Kupita Jangwani au porini
Safari ni Safari 🎶
Dogo tulia aisee usitupige kamba hadharani wewe umekuja kipindi ambacho Safari inakula matunda ya matangazo yao.
Subiri kisukariNmeanza kunywa hii bia nikiwa na miaka 15/16 mpaka leo
Ova
Beer ambayo haina promo bongo ni Charles glass tu.. Nikkmaanisha castle lagerHayo ma castle lite serengeti lite kinachowasaidia ni promosheni utakuta unaambiwa elfu 10 bia nane
Safari haitegemei promo wala kushusha bei ni big brand
Siku hizi watz tumekuwa mayai sana, hii bia enzi za mwalimu ndo ilikuwa bia kiongozi kabla ya kunywa bia zingine kama Pilsner, Ndovu na TuskerSafai bia ngumu sana ukinywq hizo bia jiandae kunywa supu mara mbili ya hizo bia za safari maana hang over yake ni nyokoo
Aaah kaka teknolojia ilikuwa low Heineken alcohol sawa na safari lakini haina uchovu ukiamka.Siku hizi watz tumekuwa mayai sana, hii bia enzi za mwalimu ndo ilikuwa bia kiongozi kabla ya kunywa bia zingine kama Pilsner, Ndovu na Tusker
Alafu mwaka 1999/2000 walikuja bia ngumu zaidi chapa Bingwa, ilichangamkiwa baadae watu wakaikumbiaAaah kaka teknolojia ilikuwa low Heineken alcohol sawa na safari lakini haina uchovu ukiamka.
Safari nikinywa kichwa kinauma sijui kwanini
Bingwa ameingia bingwa 🎶🎶🎶Alafu mwaka 1999/2000 walikuja bia ngumu zaidi chapa Bingwa, ilichangamkiwa baadae watu wakaikumbia