Sijawahi kuona Rais kama huyu tangu nchi yetu iumbwe

Ni bora alikufa tu la sivyo tungekuwa kama Yemen au Zimbabwe kiuchumi
acha uongo mbona tulikuwa uchumi wa Kati?,kosa la MAGU ni kupambana na waharifu kama wewe mnaonufaika na udhaifu wa utawala.
 
Wezi mama kawarudishia hela za wizi. Halafu wewe zuzu unashangilia
 
 
Angekuwepo mwamba SGR Dar/Mwanza ingekuwa kazini mda huu na majizi ya milioni 19 Arusha yasingeiba.

He was the best president for me.

Huwa nikipita kamata naangalia kule juu treni inakopita ni ngumu kumchafua au kumdelete yule mzee, na ndege zake zinaruka na reli yake itakuwa mzigoni soon.
 
1. These are petty issues in comparison with the value of human life and rights!

2. Stop that nonsense
Ushahidi mnao,usijekuta hayo mambo ya killings yalikuwa yanafanywa kijasusi na genge la Msoga ili Magufuli aonekane ni katili,na ukumbuke kuwa JK bado alikuwa na sasa bado ana nguvu kwenye system ya nchi.
Siasa ni mchezo Mchafu!!
 
Kikwete.
 
Kwanza mimi siamini kama JPM alikuwa anajua watu,ni kundi la Msoga kupitia watu wao kwenye system ndiyo walikuwa wanafanya ule unyama ili kuchafua serikali.Haya ni mambo kijasusi sana ambayo ukifikiri kiushabiki huwezi elewa.
Ata Samia akijaribu kwenda kinyume na matakwa ya Msoga gang,atapotezwa.That old man JK is very dangerous Ingawa wajinga wengi wanamshangilia,watakuja kuelewa baadaye sana ubaya wake!
Unadhani Mwalimu Nyerere alikuwa hamtaki awe Rais kwanini!!!
 

Lakini pia tuwe tuna wekana wazi hao waliokuwa wakimpinga hayati,, walikuwa wanampinga kwenye mambo gani hasa?? Je yalikuwa ni ya kujenga au kudumaza maendeleo?? Maana kuna watu wao wamebarikiwa kupinga tu hata liwe jambo zuri kiasi gani wao ni wapinzani tu na kazi yao kubwa ni kuwafanya wapinzani wao waonekane wanaharibu wakati wao ndio wakwamishaji...!! Mfano rahisi tu katika familia yako ikiwa unataka kujenga nyumba lakini mkeo akawa anakupinga anataka mpange,, unataka ununue kitu flani cha msaada kwa watoto yeye anakupinga tu kila jambo anakuwa anapinga tu tena kwa hoja za zamani na mifumo aliyo karirishwa kwao huko sasa utafanya nini ili uwe na maendeleo bila kuzinguana na mkeo??

Kuna watu wengine wanakuwa na mapepo tu wanalazimisha uadui hadi kwenye mambo ya msingi mambo yanayo saidia jamii,,

Kiongozi mzuri ni yule anaye tatua changamoto za watu kwa gharama zozote zile,, na hii naweza kusema ndio umuhimu wa kuwa na kiongozi,, kuna baadhi ya changamoto ni kubwa sana hata utatuaji wake unahitaji mipango na maamuzi magumu ambayo raia wanaweza wasielewe kwa wakati huo wataelewa baadae,, sasa kuna watu wale ambao si waelewa lakini pia ni wabishi sana yaani anabisha jambo ambalo halielewi vizuri au ameelewa tofauti hawa watu wakiwepo hakuna maendeleošŸ˜‚

Ukatili uliofanywa na hayati nadhani hata wewe ungekuwa na uelewa kuhusu malengo yake juu ya hili taifa na malengo ya wapinzani basi sidhani kama ungekuja kuandika huu uzi wako wakutaka kulazimisha kila mtu amuone alikuwa mbaya!!!

Hizi ni siasa chafu za kumchafua mtu,,,
Ubaya ni ubaya lakini pia uzuri ni uzuri tu, kamwe haviwezi kuwa pamoja, ukiona kuna ubaya na uzuri kwa mtu mmoja basi ujue ni issue ya uelewa tu, ""SIKU ZOTE MAAMUZI MAGUMU NI MAZURI TU""
 
acha uongo mbona tulikuwa uchumi wa Kati?,kosa la MAGU ni kupambana na waharifu kama wewe mnaonufaika na udhaifu wa utawala.
Nenda kasome MEMKWA ili ujifunze kuandika. Hakuna 'mhaŕifu', bali kuna 'mhalifu'
 
Ushahidi mnao,usijekuta hayo mambo ya killings yalikuwa yanafanywa kijasusi na genge la Msoga ili Magufuli aonekane ni katili,na ukumbuke kuwa JK bado alikuwa na sasa bado ana nguvu kwenye system ya nchi.
Siasa ni mchezo Mchafu!!
Acha utoto wa kitoto! kwahiyo Lisu alipopigwa risasi ni msoga ilisema asiombewe, T shirt za picha yake zisivaliwe, Msoga ndiye alimnyima matibabu, alimfukuza ubunge, Msoga ndiye aliwazuia polisi wasichunguze kifo cha Ben Saanane, mawazo, na wengine wengi..... acha utoto wa kijinga
 
Ni ujinga wa mwandishi mpka leo bado anaumia na marehemu kwa miaka 4 ssa je alikufanya vibaya huko nyuma unavuja na kutoa damu
 
Anaongozwa kusifiwa na wanafiki wasaka vyeo na wezi wabadhilifu wa mali za umma

Ambao ni kikundi cha wachache sana
2025 ashauliwe asigombee la sivyo sisisem wajiandae kupoteza dola 2030 au kabla
 
Tulikuwa na mtu ambaye ana maisha ya kijima sana. Hakutaka watu wamiliki fedha na kuamuwa kufanya mambo yao wenyewe. Aliamini katika kuabudiwa kama Mungu, Mungu ametusaidia sana maana hali ingekuwa mbaya sana hadi. Watu walitoa pesa bank na kuishi nazo nyumbani. Mamlaka za maji zilizidisha bill za maji ili serikali ipate pesa ya kufanya mambo yake, ila akajificha kwenye uzalendo wa kinafiki.
 
Ni ujinga wa mwandishi mpka leo bado anaumia na marehemu kwa miaka 4 ssa je alikufanya vibaya huko nyuma unavuja na kutoa damu
Na wewe unayemtetea marehemu miaka 4 sasa alikufanyia nini? Alikuacha na mimba labda?
 
Na wewe unayemtetea marehemu miaka 4 sasa alikufanyia nini? Alikuacha na mimba labda?
Huna akili tafuta pesa mdgo wangu bila pesa utahis kila mtu amekukosea utahis hata baba yako na mama yako walikosea kukulea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…