Sijawahi kuona Rais kama huyu tangu nchi yetu iumbwe

Huna akili tafuta pesa mdgo wangu bila pesa utahis kila mtu amekukosea utahis hata baba yako na mama yako walikosea kukulea
Nakubaliana na wewe. Kwa mazingira mazuri aliyoyaweka mama biashara zinawezekana na watu tunapiga hela. Ila kipindi kile cha shetani magufuli ilibaki kidogo nijinyinge mana kila sehemu ilikuwa vilio wakabaki wale kula kulala ndo wanamsifia tu ili wote tufanane
 


Weka ushahidi wa kueleweka acha kuchafua watu
 

Tena usikute alijitengenezea huo mzezo wote wa risasi yeye mwenyewe,, hata hizo idadi za risasi ukawa ni uongo mtupu kila kitu ni ubatili tu
 
Simple maind
 
Soma tena uelewe. Nyie ndo wale mnaosoma vichwa vya habari halafu mnaconclude.
 
Ni kweli yule bwana ilikuwa ni tatizo kubwa, malalamiko karibu yote kwenye ziara za Makonda na huko aliko ilikuwa ni Utawala wake ,just imagin.
 
Pole kwa makasiriko
 
Acha majungu
 
Ndiyo maana muumba mbingu na dunia akaamua kumuondoa hivyo kuwa ni ukombozi Kwa walimwengu/watanzania.

Bado kuna viashiria kuwa bado wafuasi wake wanelaendelea kuisumbua nchi Kwa kutokukubali kuwa mjomba wao kashaitwa na muumba hivyo Tanzania ipo Kwa mtawala mwingine kutoka chaka lilelile
 
wako salama maana hawakuwahi kuua watu, kupiga risasi, kupoteza watu, kunyanganya pesa ambazo samia anazirudisha, kuteka. wamelala mahali pema maana walikufa wakiwa wamepakatwa na malaika. Siyo hili

View attachment 2994021
Jiwe litakuwa linapigwa na kuunguzwa na moto mkali wa jehanamu hadi lowe unga
 
Huna akili tafuta pesa mdgo wangu bila pesa utahis kila mtu amekukosea utahis hata baba yako na mama yako walikosea kukulea
We mpumbavu mimi siyo mdogo wako. Naweza kuwa baba yako sema tu mama yako alikulia sweken huko Nangurukuru

Niko humu JF toka inaanza, wewe kenge unejiunga 2020 halafu unaniita mdogo wako. Nyambaff
 
Hii kali 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…