Sijawahi kuona vita nyepesi kama hii kwa wananchi

Sijawahi kuona vita nyepesi kama hii kwa wananchi

Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
Wewe muhuni tu uliyeshiba maharage unakuja kujamber jf
 
Chadema wana shida moja nayo ni kudandia linalopita mbele yao
Na tatizo lao hilo limezaa tatizo jingine (sub-tatizo) la kusahau hatari ya kimarinda inayomkabili deputy-mwenyekiti kutokana na hizi safari zake za ulaya za mara kwa mara.
 
Na tatizo lao hilo limezaa tatizo jingine (sub-tatizo) la kusahau hatari ya kimarinda inayomkabili deputy-mwenyekiti kutokana na hizi safari zake za ulaya za mara kwa mara.
Umeenda mbali sana we shoga mfi.rwaji
 
Wewe hata sheria huijui ni chawa tu asiye na elimu. Kama unayo ni bora hivyo vyeti ukaviudishe kwenye vyuo ulivyo soma.
Hao wanaokudanganya kuwa wanajua sheria ndio hao hao waliohongwa waje wakudanganye wewe kupitia sheria.

Wanakudanganya kuwa bandari imeuzwa, lkn hawajakuonesha kipengele cha kuuziana. Wamekudanganya kuwa mkataba ufanyiwe marekebisho, lkn mpaka leo hawajakuwekea huo mkataba kuonesha mahali panapohitaji marekebisho sasa hao watu kama sio waongo ni nini?

Au walitegemea watu wataingia tena mkenge wawaunge mkono kama walivyowaunga katika swala la Lowasa?!
 
Fikra CCM hizo, ndio tatizo la watanzania wengi ni kutopenda kufikiri, kupenda mteremko na kutojali kwani hawaoni hasara zozote hata nchi ikiuzwa.
Kweli kbs mkuu katika swala la watanzania kutopenda kufikiri umeongea point. Hebu fikiria mwanasiasa uchwara aliekudanganya kuwa Lowasa ni fisadi, leo anakuja na uongo mungine wa kuuzwa sijui bandari, mara mkataba haifai, lkn chakushangaza hawawawekei mkataba wenyewe hadharani ili muone hicho kipengele cha kuuziana au kilochokuwa hakifai kubadilishwe. Ni sawa na jirani akwambie mtoto wako amemuibia bila kukuonesha kile alichoiba kama ushahidi wa kile anachokwambia, na wewe bila kufikiri uanze kumuadhibu mwanao bila kuwa na ushahidi wa kile unachompigia.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
Hoja yako imekaa kama ya teja. Sijawahi kuona binadamu mwenye ujasiri wa kutetea mkataba unaofanana na mkataba kutoka kwa shetani motoni.
 
TICTS hawezi pewa kazi pale.
Yeye aanze kuondoa crane zake

DP world lazima atapewa tu

Kama gezi ya Mtwara ilikuja hata pale Wanajeshi watawekwa kulinda na wataojifanya wahujumu watahujumiwa wao
Hahahaha ya ni kweli kbs
 
Kweli kbs mkuu katika swala la watanzania kutopenda kufikiri umeongea point. Hebu fikiria mwanasiasa uchwara aliekudanganya kuwa Lowasa ni fisadi, leo anakuja na uongo mungine wa kuuzwa sijui bandari, mara mkataba haifai, lkn chakushangaza hawawawekei mkataba wenyewe hadharani ili muone hicho kipengele cha kuuziana au kilochokuwa hakifai kubadilishwe. Ni sawa na jirani akwambie mtoto wako amemuibia bila kukuonesha kile alichoiba kama ushahidi wa kile anachokwambia, na wewe bila kufikiri uanze kumuadhibu mwanao bila kuwa na ushahidi wa kile unachompigia.
Wavutabangi na mateja kumbe na nyie mnaweza kusoma mikataba?
 
Na tatizo lao hilo limezaa tatizo jingine (sub-tatizo) la kusahau hatari ya kimarinda inayomkabili deputy-mwenyekiti kutokana na hizi safari zake za ulaya za mara kwa mara.
Duh aisee....😂😂😂😂
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
hakuna mwaka ccm walikosa kujibu hoja kama mwaka huu kwenye issue ya dp world. watu na akili zao wanazunguka tu lakini hawajibu hoja. hadi aibu.
 
Hoja yako imekaa kama ya teja. Sijawahi kuona binadamu mwenye ujasiri wa kutetea mkataba unaofanana na mkataba kutoka kwa shetani motoni.
Hiyo profile ya Gadafi itoe haraka sana, unamdhalilisha mzee wa watu. Maana katika uhai wake hakuwahi kushikiwa akili na watu jamii ya wanasiasa uchwara wetu kama unavyoshikiwa wewe.
 
hakuna mwaka ccm walikosa kujibu hoja kama mwaka huu kwenye issue ya dp world. watu na akili zao wanazunguka tu lakini hawajibu hoja. hadi aibu.
Aibu ni kwa yule anaetaka kwenda kuhiji katika kaburi la adui yake aliefurahia kifo chake.

Na bado kuna watu wataenda mpaka katika kaburi la chachawangwe 😂😂😂
 
Aibu ni kwa yule anaetaka kwenda kuhiji katika kaburi la adui yake aliefurahia kifo chake.

Na bado kuna watu wataenda mpaka katika kaburi la chachawangwe 😂😂😂
Hutaki waende? Wewe umeenda kuhiji kwa wanaokupa visenti ili uendelee kuropoka ukazuiliwa? Jaribu kujipa thamani ya ubinadamu wako.
 
Aibu ni kwa yule anaetaka kwenda kuhiji katika kaburi la adui yake aliefurahia kifo chake.

Na bado kuna watu wataenda mpaka katika kaburi la chachawangwe 😂😂😂
jibuni hoja. tuseme ukweli bila unafiki, (kama una akili walau kidogo), kwenye ulimwengu wa capitalism, mtu anayekuja kusema akiwekeza wewe usijenge bandari nyengine, yeye tu ndio awekeze bandari zote, sio kuuza nchi huko? kwanini msiseme wewe wekeza dsm port, wenzako pia waje wawekeze bagamoyo, mwingine aje awekeza Tanga, mwingine aje mtwara, mwingine yeyote au hata wewe wekeza tena kwenye maziwa n.k, ili kuwe na ushindani, ushindani ndio utaleta huduma bora zaidi na mmoja akidengua mwingine anafanya badala ya sasa dp world wakiamua kutufanyia fitna hakuna mwingine wa kuhudumia nchi, na bandari zote mmekabidhi mikononi mwake. mbona hakuna mtu anachukia uwekezaji? hakuna mtu anachukia mwarabu, na hakuna mtu anachukia dini? ila WATU WANASEMA BADILISHENI VIPENGELE VYA MKATABA, basi. mbona rahisi sana lakini mnajifyatua kujifanya hamuelewi?

na inakuwaje mnautetea sana bila hoja, kuna nini nyuma yake? tukisema kuna rushwa nyuma yake mtakataa? kati ya wanaopinga wote, nani kapinga mwarabu au mkataba? wote hoja imejikita kwenye vipengele vya mkataba na hadi sasa ilitakiwa kiongozi atoke atangaze kwamba tutakaa tubadilishe vipengele na mkataba urudishwe bungeni upya baada ya vipengele kubadilishwa. kitu kirahisi kama hiki kweli kinawashinda kufikiria hadi mmekuwa wajinga kama vipisi vya mmavi ya mbwa?
 
Back
Top Bottom