Sijawahi kuona vita nyepesi kama hii kwa wananchi

Sijawahi kuona vita nyepesi kama hii kwa wananchi

Hao wanaokudanganya kuwa wanajua sheria ndio hao hao waliohongwa waje wakudanganye wewe kupitia sheria.

Wanakudanganya kuwa bandari imeuzwa, lkn hawajakuonesha kipengele cha kuuziana. Wamekudanganya kuwa mkataba ufanyiwe marekebisho, lkn mpaka leo hawajakuwekea huo mkataba kuonesha mahali panapohitaji marekebisho sasa hao watu kama sio waongo ni nini?

Au walitegemea watu wataingia tena mkenge wawaunge mkono kama walivyowaunga katika swala la Lowasa?!
Ndio maana unaitwa Mr. DUDUMIZI, mbona unaandika bila kufikiri sikatai uwekezaji ila kuna makosa kwenye mkataba, embu fungua sehemu ya sahihi niambie majina ya mashuhuda waliokuwepo wakati wa kusaini huo mkataba. Alafu fungua sehemu ya sahihi ya watu wa Dubai, niambie mtu aliyesaini aliteuliwa na nani.
 
Ndio maana unaitwa Mr. DUDUMIZI, mbona unaandika bila kufikiri sikatai uwekezaji ila kuna makosa kwenye mkataba, embu fungua sehemu ya sahihi niambie majina ya mashuhuda waliokuwepo wakati wa kusaini huo mkataba. Alafu fungua sehemu ya sahihi ya watu wa Dubai, niambie mtu aliyesaini aliteuliwa na nani.
Lakini mbona mwamakula hajasema hivyo, ye amefichua kabisa kilichopo nyuma
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
uzeni za zbar , Ila za watanganyika hapana !!
 
A thorny problem for CCM to solve.
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
tapatalk_jpeg_1557319509156.jpg
 
Kweli kbs mkuu katika swala la watanzania kutopenda kufikiri umeongea point. Hebu fikiria mwanasiasa uchwara aliekudanganya kuwa Lowasa ni fisadi, leo anakuja na uongo mungine wa kuuzwa sijui bandari, mara mkataba haifai, lkn chakushangaza hawawawekei mkataba wenyewe hadharani ili muone hicho kipengele cha kuuziana au kilochokuwa hakifai kubadilishwe. Ni sawa na jirani akwambie mtoto wako amemuibia bila kukuonesha kile alichoiba kama ushahidi wa kile anachokwambia, na wewe bila kufikiri uanze kumuadhibu mwanao bila kuwa na ushahidi wa kile unachompigia.
Wewe hujausoma mkataba wa bandari?
 
Wewe hujausoma mkataba wa bandari?
Wewe ambae umeusoma uweke hapa utuoneshe kasoro zake. Wambie wachumia tumbo wenu wasituchukulie watanzania wa leo poa, kama walivyowachukulia nyinyi poa miaka hiyo kwenye swala la Lowasa.

Ile haitatokea. Never and Never again.
 
Watanzania originally wameinuka sasa, kile kimbaumbau na shemegie na kikundi chao walidhani watu bado wamelala?
Ni zamu yao sasa kuonja mateso waliyowapa watanzani miaka dahari
Wakati wao wakila mboga ya millioni kumi wenzao waliishia makande, sasa ni either wale makande au warudi zao rwanda huko, wanyonyaji kabisa kupitia mgongo wa dini
Mama twende kazi pamoja sanaaaaa
 
Ndio maana unaitwa Mr. DUDUMIZI, mbona unaandika bila kufikiri sikatai uwekezaji ila kuna makosa kwenye mkataba, embu fungua sehemu ya sahihi niambie majina ya mashuhuda waliokuwepo wakati wa kusaini huo mkataba. Alafu fungua sehemu ya sahihi ya watu wa Dubai, niambie mtu aliyesaini aliteuliwa na nani.
Inashangaza watu waliodanganya watanzania milioni 60 kuwa Lowasa ni fisadi bado wana uwezo wa kudanganya tena kuhusu mkataba wa bandari na nyinyi mnakubali kudanganywa kizembe zembe kama hamkuwahi kwenda shule.

Unanambia mimi naandika bila kufikiri, lakini ajabu ni kwamba wewe unaejiona unafikiri umeshindwa kuwambia hao wanaopinga watuwekee mkataba hadharani na kutuonesha makosa yaliopo katika mkataba tuyaone na ku judge kupitia macho yetu wenyewe.

Haiwezekani adui yako au jirani yako aanze kutangaza kuwa mtoto wako ni mwizi, alafu wewe uchukue fimbo na kuanza kumpiga mwanao bila ushahidi wa kile alichoiba.

Mtu mwenye akili unatakiwa ujiulize je kama kweli ameiba mbona haukuoneshwa kile alichoiba, au mahali alipoibia. Je kama adui au jirani yako ameamua kuichafua tu familia yako mtaani kwenu kwa kupitia mtoto wako?

Narudia tena, weka mkataba hapa unioneshe sehemu ambazo hazifai nizione kwa macho, sio ulete porojo kama zile za enzi ya Lowasa.
 
Inashangaza watu waliodanganya watanzania milioni 60 kuwa Lowasa ni fisadi bado wana uwezo wa kudanganya tena kuhusu mkataba wa bandari na nyinyi mnakubali kudanganywa kizembe zembe kama hamkuwahi kwenda shule.

Unanambia mimi naandika bila kufikiri, lakini ajabu ni kwamba wewe unaejiona unafikiri umeshindwa kuwambia hao wanaopinga watuwekee mkataba hadharani na kutuonesha makosa yaliopo katika mkataba tuyaone na ku judge kupitia macho yetu wenyewe.

Haiwezekani adui yako au jirani yako aanze kutangaza kuwa mtoto wako ni mwizi, alafu wewe uchukue fimbo na kuanza kumpiga mwanao bila ushahidi wa kile alichoiba.

Mtu mwenye akili unatakiwa ujiulize je kama kweli ameiba mbona haukuoneshwa kile alichoiba, au mahali alipoibia. Je kama adui au jirani yako ameamua kuichafua tu familia yako mtaani kwenu kwa kupitia mtoto wako?

Narudia tena, weka mkataba hapa unioneshe sehemu ambazo hazifai nizione kwa macho, sio ulete porojo kama zile za enzi ya Lowasa.
kwahiyo unataka kusema lowasa hakuwa fisadi? unamjua lowasa lakini au unamsikia.
 
kwahiyo unataka kusema lowasa hakuwa fisadi? unamjua lowasa lakini au unamsikia.
Kwahiyo mwaka 2015 wapinzani mkiongozwa na Mbowe, Lisu nk mlitaka watanzania na akili zetu tumchague Lowasa ili nchi yetu iongozwe na raisi fisadi au sio?

Afu bado kuna watu wana amini kuwa wapinzani hao ni wazalendo 😂😂😂
 
Back
Top Bottom