Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
DOLA YA WARUMI ILISHAJIFIA, IMEBAKI KWENYE MGONGO WA KANISA TU. HAWANA TEKNOLOJIA HAWANA UCHUMI IMARA NK
WARUMI WALIKUWA ZAMANI.
NGUVU ZA KIDINI ZINA FIFISHWA TARATIBU NA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.
WARABU WENYEWE BADO WANATUMIA MKONO WA CHUMA KUJISIMIKA, WAKIWEKA DEMOKRASIA NAO WATAKUWA HAWANA NGUVU ZOZOTE KATIKA NCHI ZAO.
SCIENCE AND TECHNOLOGY IS S POWERFUL WEAPON TO PARALYZE ALL RELIGION DOGMAS.
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
Hilo nalo naomba mkalitizame
 
DOLA YA WARUMI ILISHAJIFIA, IMEBAKI KWENYE MGONGO WA KANISA TU. HAWANA TEKNOLOJIA HAWANA UCHUMI IMARA NK
WARUMI WALIKUWA ZAMANI.
NGUVU ZA KIDINI ZINA FIFISHWA TARATIBU NA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.
WARABU WENYEWE BADO WANATUMIA MKONO WA CHUMA KUJISIMIKA, WAKIWEKA DEMOKRASIA NAO WATAKUWA HAWANA NGUVU ZOZOTE KATIKA NCHI ZAO.
SCIENCE AND TECHNOLOGY IS S POWERFUL WEAPON TO PARALYZE ALL RELIGION DOGMAS.
Umeandika Utopolo wa wiki,
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
Toka nilivyo sikia habari za wajesuit Toka siku hiyo niliona kanisa katoliki siyo dhehebu la Dini Bali ni Empire, hao Jesuit ndiyo wanasimamia parokia ya msimbazi center hao ni zaidi ya makachero ndani ya kanisa, serikali ikijitenga na Roma itapata anguko kubwa na la aibu na balozi wa Papa hayuko nchini kama Pambo hao Wana agenda nyingi Sana,
 
Miongoni mwa vitu ambavyo nimekuwa nikilishwa sumu, kuanzia nyumbani, shuleni na kwenye sanaa (movies) kadhalika kwenye mamedia ni kuwa marekani ndio baba Wa dunia na anaweza Fanya lolote atakalo

Kuna mwalimu mmoja akadiliki hadi kusema marekani anastahili maana ndio taifa pekee linakupiga huku linakulisha....ujinga mkubwa

Nimekuwa nikidanganywa sana

" the lie they agreed to tell each other over and over again until they forget it's a lie"

Mapropagandist wakubwa, wanafiq na madhwalim tu! at least mchungaji munishi Wa Kenya anayo akili maana ndio huwa anajaribu kuwatahadharisha ndugu zake na ulaghai wa hawa mabwana

Hatupendi machafuko ila hii ya Ukraine at least ina reveal ukweli kuwa ni uongo kuwa hao NATO na huyo mpuuzi mwenzao wakitaka kufanya chochote muda wowote wanakiwasha!

Bila wale jamaa dunia ingekuwa tulivu sana, wale jamaa na zaidi ya firauni

Pole sana,ila usa ndio baba wa dunia hii hao wengine ni vibaraka tu na vita vya ukraine watu wanauziana silaha na kutoka na utajiri ndio mana mpaka leo hakuna mshindi its all about bidness.

Ukitaka ujue ukubwa wa usa jaribu kununua mafuta nje ya mfumo wa dola.

Hayo machanjo madawa unayotumia wewe na ukoo wako bila dola mtakufa kama vibudu.
 
Kama huu uzi wako ndio IQ yako ilipoishia basi wewe ni mgongo wazi. Mimi nakuuliza facts wewe unaongea upumbavu utakuwa umelelewa na bibi wewe. Vatican unaijua wewe?? Ulishaenda vatican wewe?? Vatican ni mji mdogo tu ndani ya italy eti uifananishe power na mmarekani...kama unafacts nitakujibu ila kama unakuja na hoja alizokulisha padre wenu mimi nitakuona choko tu.

Kieneo ni dogo sana,ila kumbuka roman empira ndio empire kubwa kuhawi kutwala dunia nzima hakujawahi tokea empire kubwa kwama hiyo katika historia ya dunia.

Kama hoja ya udogo kumbuka pia British ilitawala sehemu kubwa ya dunia.

Hatutazami ukubwa wa eneo tunatazama nguvu na uwezo wa kimamlaka. Get your senses.
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
Wanaenda kisiri Vatican kubusu Rozari na Msalaba halafu wewe ukajua! Ahahahahaha!!!
 
Kieneo ni dogo sana,ila kumbuka roman empira ndio empire kubwa kuhawi kutwala dunia nzima hakujawahi tokea empire kubwa kwama hiyo katika historia ya dunia.

Kama hoja ya udogo kumbuka pia British ilitawala sehemu kubwa ya dunia.

Hatutazami ukubwa wa eneo tunatazama nguvu na uwezo wa kimamlaka. Get your senses.
Roman empire ilikufa 476 AD. So far brittish empire ndio kubwa kuliko maana inamiliki na ina say kubwa katika colony zake zote mpaka leo kimikataba. Najua mapadre wenu ndio wanawajaza ujinga ya kwamba wingi wa waumini na makanisa yenu ndio power yenyewe huo ni uongo. Drop some facts not conjectured bullshitts
 
Toka nilivyo sikia habari za wajesuit Toka siku hiyo niliona kanisa katoliki siyo dhehebu la Dini Bali ni Empire, hao Jesuit ndiyo wanasimamia parokia ya msimbazi center hao ni zaidi ya makachero ndani ya kanisa, serikali ikijitenga na Roma itapata anguko kubwa na la aibu na balozi wa Papa hayuko nchini kama Pambo hao Wana agenda nyingi Sana,
Acha uoga..bandari achukue mwarabu tu hao roman ni kenge tu walishapitwa na wakati
 
DOLA YA WARUMI ILISHAJIFIA, IMEBAKI KWENYE MGONGO WA KANISA TU. HAWANA TEKNOLOJIA HAWANA UCHUMI IMARA NK
WARUMI WALIKUWA ZAMANI.
NGUVU ZA KIDINI ZINA FIFISHWA TARATIBU NA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.
WARABU WENYEWE BADO WANATUMIA MKONO WA CHUMA KUJISIMIKA, WAKIWEKA DEMOKRASIA NAO WATAKUWA HAWANA NGUVU ZOZOTE KATIKA NCHI ZAO.
SCIENCE AND TECHNOLOGY IS S POWERFUL WEAPON TO PARALYZE ALL RELIGION DOGMAS.
Aisee umendika point kubwa sana maana huyu kenge anaonekana kanywa maji ya bendera ya rumi...rumi ni tawala iliyokufa huko miaka 476AD wamebakiza nguvu yao kwenye makanisa tu wakati wenzao wanainvest kwenye nishati na technology wao wanategemea sadaka za makenge kama hili cc GENTAMYCINE
 
Bi-polar! We una shida ya akili
Umekosa point mgongo wazi wewe alafu mshamba tu umekaa ulaya ganI miaka 20+ wakati unaonekana huna exposure. Hujawahi kufika rome kenge wewe maana ungefika usingeandika upuuzi huu mbwa mwitu wewe rome kijiji tu kwa states rome inategemea sadaka za waumini tu hakuna kitu
 
Kieneo ni dogo sana,ila kumbuka roman empira ndio empire kubwa kuhawi kutwala dunia nzima hakujawahi tokea empire kubwa kwama hiyo katika historia ya dunia.

Kama hoja ya udogo kumbuka pia British ilitawala sehemu kubwa ya dunia.

Hatutazami ukubwa wa eneo tunatazama nguvu na uwezo wa kimamlaka. Get your senses.
Mwiba1 Kuzaliwa na Upumbavu wa Kudumu unategemea kweli akuelewe au anielewe na Mimi pia Mkuu?

Ungempuuza tu kama nami nilivyompuuza ila Asante kwa Elimu Kubwa uliyompa ambayo hata hivyo kutokana na Upumbavu wake huo bado atakubishia tena.
 
Umekosa point mgongo wazi wewe alafu mshamba tu umekaa ulaya ganI miaka 20+ wakati unaonekana huna exposure. Hujawahi kufika rome kenge wewe maana ungefika usingeandika upuuzi huu mbwa mwitu wewe rome kijiji tu kwa states rome inategemea sadaka za waumini tu hakuna kitu
Matusi ni dalili ya Umasikini wa Akili.
 
Yaani bado unaamini mambo ya
freemason na mda huo unaabudu hilo kanisa. Una akili kweli?

Watu wanalipinga wazi kwa kusema 90% viongozi wa hapo ni mashoga na hakuna kitu wanafanya.

Kama unabisha tangazeni vita hadharani ndo mtajua nan ana amani ya kweli.!!
Sasa we nguruwe pori unamtisha nani kusema tutangaze vita hadharani?

Yaani unamtisha nani kwa mfano?..
 
Aisee umendika point kubwa sana maana huyu kenge anaonekana kanywa maji ya bendera ya rumi...rumi ni tawala iliyokufa huko miaka 476AD wamebakiza nguvu yao kwenye makanisa tu wakati wenzao wanainvest kwenye nishati na technology wao wanategemea sadaka za makenge kama hili cc GENTAMYCINE
Watu wengi duniani ni mabogus
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
Rubbish
 
Nimesoma nimecheka kimya kimya sema watanzania bado akili zetu hazichakati mambo vizuri topic ya genta haijakaa kidini hata kidogo katoa skeleton namna world intelligence ilivyo watu tumekimbilia udini tunachukua vitu kwa mihemko sana
TUkizungumzia bandari wao wanakuja na udini, imekuja issue ya walaka tena isiyotaja mambo ya uislam wao washakomalia udini, tena hawataji kabisa katiba ktk story zao, naweza sema most are stupid
 
Hawawezi kutangaza vita hawa waoga hawa,
Mikwaraaa mingiii
Na hawajui kama sasa hivi watu wamejipanga, tena mpaka mapandikizi yao kwenye taasisi zetu tumeshawajua, na safari hii hawachomoki,
Saanisasa
Hakuna kurudi nyuma kwani iwe isiwe siku moja utaondoka tu kwahiyo vijana wa kiislamu wote tukutane pale kidongo chekundu siku ya ijumaa ijayo
Nyie hamuwezi kuwashinda christ hata mkeshe masjid
 
Back
Top Bottom