Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Ewaaaaaaa wasipokuelewa hapa ndo basi tena
 
Wewe ni KATAA NDOA,FIKA MAKAO MAKUU UCHUKUE KADI YA UANACHAMA.UNAELEMENT ZOTE ZA KATAA NDOA.

๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“ŒKATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
Awali ya yote napenda sana kukushukuru mkuu..
Nakuja hapo sio mda
 
Sawa ila sio sheria kwamba lazima watu waoe au kuoana
Nchi imejaa wanawake wa kila sampuli, unataka ujizeeshe na kujifungia na mke mmoja why???

Chapa ilaleeeeeee,,,,,sakaramua mbususu mwanawane.

Cha ajabu mpaka kuna vitabu vya dini vimeahidi watenda wema kula mbususu tena bikra 72 huko mbinguni.

Nyie acheni utani.Nawaagiza KULENI MBUSUSU.Mimi ni nani nisile mbususu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€


๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“ŒKataa ndoa,ndoa inaleta ulemavu wa akili!!!
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Dadeq hawa ke
 
Umewachana live.
 
Tunapoelekea haki za kulinda wanawake kwenye ndoa zitafutwa zote, na kisha zitatungwa haki za kulinda maslahi ya mwanaume ili washawishike kuoa ila itakua too late.

Ndoa ni kwaajili ya mwanamke ila cha ajabu wao wanaiharibu na kuifanya ionekane ni mzigo kwa mwanaume....hii fursa ya kuolewa wanayoipata sasahivi itageuka fursana
 
Uwoga wa maisha ila watu wengi saiv wanaishi nyumba moja ila wanalala mzungu wa nne.

Wenye ndoa wengi wanakiri wanapimiwa unyumba.Hamtushawishi kuingia hilo chaka mlilofeli nyie.

๐Ÿ“Œ๐Ÿ“ŒKataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
Tatizo lako unajibu na mihemko,
kuna watu kwenye ndoa wamefaulu na kuna wengine imekuwa kinyume chake
 
Hatukatai mahusiano ya mwanamke na mwanaume. Hatukatai malezi ya baba na mama. Hayo yote yanaweza kufanyika bila ndoa. Ambacho hatukubaliani nacho ni ule mkataba wa kitapeli kwa mwanaume uliopewa jina la ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ