Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Yaani mbele pale hightable upande wa mwanaume tunakaa sisi. Familia yako iliyokuponza wanakaa karibu na entrance. Tutakushitua.
Yeye hajiulizi alimuona nani kaja kajisifia kuhusu ndoa humu.
Huwa nikiangalia scene za maharusi kati ya watu wanakuwa kwenye lindi la mawazo pale mbele ni wanaume.Huwa wanapata mawazo mseto.Ila pia nature huwa inaanza kumshughulikia palepale anapokula kiapo cha kuwa mtumwa wa mwanamke maisha yake yote😀😀😀

📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Huwa nikiangalia scene za maharusi kati ya watu wanakuwa kwenye lindi la mawazo pale mbele ni wanaume.Huwa anapata mawazo mseto.Ila pia nature huwa inaanza kumshughulikia palepale anapokula kiapo cha kuwa mtumwa wa mwanamke maisha yake yote😀😀😀

📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
Huyu tushamalizana nae, kwanza hela tu ya mahali hana huyu. Tunajipotezea muda. Haelewi hata kula yake. Tumuache atajijua.
 
Rafiki yangu material yako ni mazuri, tatizo utamuoa nani. Unachoeleza ni inavyotakiwa kuwa, lakini unakutana na hali tofauti kabisa. Bahati mbaya hata mwenye maono kama yako anaweza kushindwa kuyasimamia akawa kituko tu.
Katika dunia iliyojaa utapeli na uwongo plus unafiki.Ni heri ukachagua KATAA NDOA ili uilinde nafsi yako na afya yako ya akili!!!
 
Hamisi ananyongwa kisa ni NDOA.

""Nilikutana na wewe mke wangu ukiwa ni mwanachuo katika chuo cha Mwalimu Nyerere kigamboni.

Tukaanzisha mahusiano ya kimapenzi.

Mimi ni muislamu

Lakini mwaka 2008 nikaamua kukuoa kwa ndoa ya kikistru kanisa la Assemblies of God Upanga

Bila ya shaka nimefanya hivi kwa kuwa nakupenda sana mke wangu.

Tunaishi maisha mazuri, tunafanikiwa kumiliki nyumba kadhaa na magari manne.

Ninakufungulia biashara ya duka la kuuza madawa huku mimi nikiendelea na biashara yangu ya kununua na kuuza viwanja.

Tunapata mtoto mmoja aitwaye Gracious

Mke wangu unabadilika.

Unaanza kuninyima haki yangu ya ndoa bila sababu za msingi.

Hali inaendelea hadi inafikia hatua tunalala vyumba tofauti katika nyumba yetu ya ghorofa mimi chumba cha juu wewe cha chini.

Inafikia hatua mimi naanzisha mahusiano nje na wewe unaanzisha ya kwako.

Unaweza kulala nje bila taarifa na mimi vivyohivyo.

I and you deny each other conjugal rights (horizontal engagement)

Jambo hili linajulikana kwa wazazi wa pande mbili.

Hata majirani wanajua mambo unayonifanyia kama kunimwagia maji machafu, kunipiga na fagio na hata kunivuta makende yangu mbele ya mama yangu mzazi.

Mke wangu,

Kuna siku ulinichoma na kisu mkononi

Nikaenda Polisi lakini wakanirudisha kuwa tumalizane wenyewe.

Yote nilivumilia.

Kila wakati unani provoke kuwa nikupige nikuue lakini sifanyi hivyo.

Nilishakuomba twende mahakamani tuvunje hii ndoa yetu lakini ukakataa.

Ikafikia hatua sili wala siogi nyumbani kwangu kwani naogopa usije niwekea sumu.

Ndipo kuna siku niliondoka nyumbani bila kurudi kwa muda wa siku tano.""

Story juu, imepatikana kwenye maelezo ya onyo (Cautioned statement) ya Hamisi Saidi Luwongo

Maelezo haya aliyatoa mbele ya mpelelezi kituo cha polisi Temeke

NA HIZI NDIO NDOA ZENU.

View attachment 3251653View attachment 3251654

#YNWA
#YANGA_BINGWA
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA MKATABA WA KITAPELI
 
Okay basi fanyeni kuoa au kuelewa iwe kama mtu kaamua kubaki na govi au kulikata haina impact ya moja kwa moja kwenye maisha ya mtu, waacheni watu Waishi maisha Yao.. .
Lazima tuwaambie wachague moja. Kuna ambao wanafuata mkumbo tu. Akisimama peke yake hajui kwa nini anakataa ndoa. Wasije kutusumbua wakianza kuhitaji uwepo wa watu katika maisha yao maana ni ndugu zetu
 
duuuu! NIMECHEKA HADI NIMEJISTUKIA
Unashawishi watu wachape ukuni bila kuoa?? Kama hutaki ndoa kaa na ukuni wako ukunyaukie. Acha uzinzi.
ENDELEA KUOMBA UNYUMBA, WENZAKO TUNAENDELEA KUWATINDUA MPAKA KIELEWEKE.

📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Tuwe wakweli tu. Asilimia kubwa ya wanaokataa ndoa ni Wanaotumia/tumika katika jinsia moja. Hawa wanashabikia sana kukataa ndoa maana hawatawapata wote wakioa/kuolewa hakutakuwa na wateja. Na huu ni mpango halisi wa Shetani. Mwenye sikio na asikie
 
Lazima tuwaambie wachague moja. Kuna ambao wanafuata mkumbo tu. Akisimama peke yake hajui kwa nini anakataa ndoa. Wasije kutusumbua wakianza kuhitaji uwepo wa watu katika maisha yao maana ni ndugu zetu
Nani akusumbue wewe mwenyewe hao makinda wako wakishajitegemea ujipange kwa kutengwa kama huamini subiri utakuja kuona.

Mwanamke ataungana na wanae wewe SIMBILIS utabaki na umasikini wako.Anza kujiwekeza vitu vya pekeako sio kila kitu huyo GAIDI unayemuona ni mpenzi wako anatakiwa kujua.Vitu hivyo ndo vitakusaidia baadae when your no longer useful
🤝🤝🤝

📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI KWAAJILI YA VIPOFU!!!
 
Leteni hoja zenye mantiki.Yaani unaingia kwenye ndoa kisa ukizeeka upate mtu wa kukuvalisha pampers are you nuts!!!

Hivi unashindwa nini kujitengea hela like a trust fund kiasi kwamba ukizeeka beyond huwezi kujihudumia unawalipa watu tena professionals wakutunze.Manesi kibao huko wanataka hizo kazi za kulea wazee.Nyie mazezeta badilikeni dunia inaenda kasi acheni kulala.
Jaribu kuchunguza mtaani kwenu hili unalolitabiri kama ni rahisi saana kiutekelezaji na uulize sababu nini na mtu huyo awe bachela
 
Tuwe wakweli tu. Asilimia kubwa ya wanaokataa ndoa ni Wanaotumia/tumika katika jinsia moja. Hawa wanashabikia sana kukataa ndoa maana hawatawapata wote wakioa/kuolewa hakutakuwa na wateja. Na huu ni mpango halisi wa Shetani. Mwenye sikio na asikie
Endelea kuomba unyumba.Tunafahamu hakuna siku unapewa tunda willingly.

Wanaume wadhaifu ndo wamejificha kwenye kichaka cha ndoa.Hata mashoga michicha mwiba wamejificha huko.
 
Jaribu kuchunguza mtaani kwenu hili unalolitabiri kama ni rahisi saana kiutekelezaji na uulize sababu nini na mtu huyo awe bachela
Uwoga wa maisha ila watu wengi saiv wanaishi nyumba moja ila wanalala mzungu wa nne.

Wenye ndoa wengi wanakiri wanapimiwa unyumba.Hamtushawishi kuingia hilo chaka mlilofeli nyie.

📌📌Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
 
Wanawake hao mnaowazalisha ndio mnakuja kuwatukana na kuwaita single mothers, tatu mzuka wanaoiba mtaani na ombaomba ndio matokeo ya zao lenu, unaweza fikiria ni kwanamna Gani umedata?
📌📌📌chapa ilaleeee kitaeleweka tu!!!
 
KAtaa ndoa wanayomaanisha n usifunge ndoa rasm iwe ya kidini , kimila, ki serikali n.k (mkataba wa ndoa ya maisha) n kama kifungo hasa kwa sheria za kikiristo.
Hawamaanishi kataa ndoa kwamba usioe au usiishi na mwanamke au usizaee.....uo ni uchaguzi wako...hujawahi kuona watu wanaishi pamoja mke na mume na hawajafunga ndoa rasm?

Sheria hz za dini za ndoa, sheria za serikali/mfumo jike [feminism]haki za binadamu n.k vinaonekana kuwabeba sana wanawake ktk ndoa kuliko waume....inapelekea mume kunyanyasika...
% kubwa ya me walioko kweny ndoa wanapitia changamoto kuliko ambao hawako.
Elewa slogan yao kwanza... usipapukie kuwalaumu.....
UCHUMBA SUGU NDIO HABARI YA MUJINI.AKIJIHISI KUCHOKA ANAACHIA SITI, HILI GOMA NI KAMA DALADALA UKISHUKA MWENZAKO ANAPANDA😀😀😀

KULA VIPARA MPAKA BASI.HAKUNA KUPIMIANA KARNE HII YA 21.TAFUNA MBUSUSU HAKUNA STAREHE KAMA KULA MBUSUSU.

CHAPA ILALEEEEE. KUOA TUNAWAACHIA MAZUZU!!!

📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
KAtaa ndoa wanayomaanisha n usifunge ndoa rasm iwe ya kidini , kimila, ki serikali n.k (mkataba wa ndoa ya maisha) n kama kifungo hasa kwa sheria za kikiristo.
Hawamaanishi kataa ndoa kwamba usioe au usiishi na mwanamke au usizaee.....uo ni uchaguzi wako...hujawahi kuona watu wanaishi pamoja mke na mume na hawajafunga ndoa rasm?

Sheria hz za dini za ndoa, sheria za serikali/mfumo jike [feminism]haki za binadamu n.k vinaonekana kuwabeba sana wanawake ktk ndoa kuliko waume....inapelekea mume kunyanyasika...
% kubwa ya me walioko kweny ndoa wanapitia changamoto kuliko ambao hawako.
Elewa slogan yao kwanza... usipapukie kuwalaumu.....
UJENGEWE SANAMU LAKO NA WALIWEKE PALE BUNGENI DODOMA.

WEWE NI GENIUS MAAKILI MENGI PURE AND CHARISMATIC FELLA🤝🤝

MWAKA UJAO ADA YA UANACHAMA YA KATAA NDOA KWAKO HAITAKUWEPO. NGOJA NIWASILIANE NA KATIBU MKUU WA CHAMA.

📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
KAtaa ndoa wanayomaanisha n usifunge ndoa rasm iwe ya kidini , kimila, ki serikali n.k (mkataba wa ndoa ya maisha) n kama kifungo hasa kwa sheria za kikiristo.
Hawamaanishi kataa ndoa kwamba usioe au usiishi na mwanamke au usizaee.....uo ni uchaguzi wako...hujawahi kuona watu wanaishi pamoja mke na mume na hawajafunga ndoa rasm?

Sheria hz za dini za ndoa, sheria za serikali/mfumo jike [feminism]haki za binadamu n.k vinaonekana kuwabeba sana wanawake ktk ndoa kuliko waume....inapelekea mume kunyanyasika...
% kubwa ya me walioko kweny ndoa wanapitia changamoto kuliko ambao hawako.
Elewa slogan yao kwanza... usipapukie kuwalaumu.....

Ni sawa hawataki kufunga ndoa rasmi. Na hasara yake ni kwamba unakuwa hauna mtu committed pale utakapoingia kwenye changamoto yoyote iwe kuacha kazi au kufirisika, kuugua au kuzeeka atakukimbia. Na anaweza ondoka kwako muda wowote. hiyo ni hasara. Ukiamua kuoa ... oa mazimaaaa. Kwa walio wajanja atakuibia na atatengeneza mambo yake kwa siri kwa kuwa anajijua mguu ndani mguu nje. Hii haitakusaidia usinyanyasike. Mnavyokataa kuwaoa rasmi ndio mnawafanya wawe manundaa zaidi
 
Back
Top Bottom