Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Daaah ujue ipo hvi.
Kwa upande wangu mi mambo ya kuoa oa hayo hata siyafatilii yaan ntajuaga huko huko kama taoa au laa..

Ila hata nikitaka kuoa huyo ambaye anataka aolewe basi awe chizi kweli kweli maana huki kichwa kwa kweli sijui.

Mi ambacho napiga marufuku mpaka kesho ni mtoto ...
Yaani mimi sitaki mtoto kabla sijamwandalia mazingira
Wewe ni KATAA NDOA,FIKA MAKAO MAKUU UCHUKUE KADI YA UANACHAMA.UNAELEMENT ZOTE ZA KATAA NDOA.

📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Daaah ujue ipo hvi.
Kwa upande wangu mi mambo ya kuoa oa hayo hata siyafatilii yaan ntajuaga huko huko kama taoa au laa..

Ila hata nikitaka kuoa huyo ambaye anataka aolewe basi awe chizi kweli kweli maana huki kichwa kwa kweli sijui.

Mi ambacho napiga marufuku mpaka kesho ni mtoto ...
Yaani mimi sitaki mtoto kabla sijamwandalia mazingira
Uko sahihi kabisa watoto bilaa kujiandaa ni kutengeneza tatizo maana uamuz wa kuwaleta duniani ni wako
 
SIMPS MUST PERISH!!!

WOMEN SHOULD KILL ALL SIMPS👏👏


📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
Nakumbuka kwenye prison break T bag alikuwa anamsikiliza Fernando Sucre(lover boy) Anatoa maelezoo mengi, T bag akamkatisha kwa kumwambia "CASANOVA WRAP IT UP" 😂😂😂😂 Ma SIMP bwana maelekezo mengi...
 
Kupenda ni kwenu wanaume
But mwanamke unatakiwa kuwa na upendo by nature na uzuri tunafundishwa kupenda na wanaume maranying ndio maana mkitutongoza tunawajibu jeuri then badae tunaanza kuwapenda sijasema ukiwa hauna ela usioe kabisa hapana ila uwe na uhakika na sautiyako huko ndani


Mwisho kaka sisi tunaatakaga vyote 😀😀😀
So uwe provider
Bado uniipende
Bado unitunze na kubembelezwa juu
Kazi kweli kweli
 
Mmh, hapa sasa nina nyumba tayari, kazi/biashara yangu sio haba, sasa nimtulize huyu Abdallah kichwa wazi nitafute Pisi (piece) moja iliyonyooka niweke ndani.

Safi kabisa….Utanyooka nayo😁

“Alisikika kataa NDOA mmoja baada ya kujipata”
Never ever kataa ndoa ni kwa watu timamu wa akili.Mamluki wapo ila tumekuwa tukiwafichua na kuwafukuza chamani.


Karibu chama la wana kataa ndoa huku hatuombi unyumba wala kupewa kwa masharti.

📌📌📌Kataa ndoa,ujilie mema ya dunia bila vificho, bila vipimo na bila masharti!!!
 
Nakumbuka kwenye prison break T bag alikuwa anamsikiliza Fernando Sucre(lover boy) Anatoa maelezoo mengi, T bag akamkatisha kwa kumwambia "CASANOVA WRAP IT UP" 😂😂😂😂 Ma SIMP bwana maelekezo mengi...
Nakubali hawa SIMPS wamechanganyikiwa nina ndugu kibao na washkaji kila day wanaachana na wake zao. Na wengine wanajilaumu kwa kuchafua clean sheet zao za kuingia kwenye ndoa.NDOA NDOANO😂😂😂

Wakija kwangu wanaona nastrieve tu muhuni nipo soo focus na mambo yangu sina stress wao wanazweka kwq stress na bado wanaichapa kwa tabu🙌🙌🙌🙌

📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Kazi kweli kweli
Ndoa ni muhimu kwa ustaw wa familia haijalishi mapunngufu ni mengi kiasi gani lakin Bado ndio ishakuwa ndoa Muombe Mungu akupe mtu sahihi
Hata maisha yanachaangamoto nyingi lakin haituzuii Kuishi na tunapambana wengine wanatoboa japo wapo wanaojiua pia so kilakitu kina nafas na muhimu kwenye maisha
 
endeleeni kumsaidia Shetani kwenye mpango wake. Mtajutraaaa
BORA SHETANI ILA NYIE WAOMBA UNYUMBA NDIO MABALADHULI MAIBILISI NA WAARIBIFU WA JAMII KABISA. NYIE NDIO WAZEE WA NYUMBA NDOGO,NYIE NDIO MNARUBUNI MABINTI WA SHULE NA KUWAHARIBIA MAISHA NYIE NDIO MNAONGOZA KWA KUSAMBAZA UKIMWI.YOTE HIYO NI SABABU YA KUNYIMWA UNYUMBA HUKO MAJUMBANI MWENU.

📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Nakubali hawa SIMPS wamechanganyikiwa nina ndugu kibao na washkaji kila day wanaachana na wake zao. Na wengine wanajilaumu kwa kuchafua clean sheet zao za kuingia kwenye ndoa.NDOA NDOANO😂😂😂

Wakija kwangu wanaona nastrieve tu muhuni nipo soo focus na mambo yangu sina stress wao wanazweka kwq stress na bado wanaichapa kwa tabu🙌🙌🙌🙌

📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
Clean sheet 😂😂😂😂😂 , me mpaka niingie kwenye huo mtego ni sijui hata, nna jamaangu kawa pressurized na familia na kapata older women ila ana mizigo tukaenda kula wali keshokutwa tu lakini akitoboa hata mwaka me ntamwekea sababu posta, sababu jamaa ni anaupiga vitoto vya 2000 mpaka nomaaa
 
BORA SHETANI ILA NYIE WAOMBA UNYUMBA NDIO MABALADHULI MAIBILISI WAARIBU WA JAMII KABISA NYIE NDIO WAZEE WA NYUMBA NDOGO,NYIE NDIO MNARUBUNI MABINTI WQ SHULE NA KUWAHARIBIA MAISHA NYIE NDIO MNAONGOZA KWA USAMBAZA UKIMWI.YOTE HIYO NI SABABU YA KUNYIMWA UNYUMBA HUKO MAJUMBANI MWENU.

📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
😂😂
 
Ndoa ni muhimu kwa ustaw wa familia haijalishi mapunngufu ni mengi kiasi gani lakin Bado ndio ishakuwa ndoa Muombe Mungu akupe mtu sahihi
Hata maisha yanachaangamoto nyingi lakin haituzuii Kuishi na tunapambana wengine wanatoboa japo wapo wanaojiua pia so kilakitu kina nafas na muhimu kwenye maisha
Kuliko kuishi na kulala na gaidi anayeniwazia nife arithi mali.Bora nikafungwe Gwantanamo!!!


📌📌📌KAMA UNAAKILI TIMAMU,KATAA NDOA!!!
 
Clean sheet 😂😂😂😂😂 , me mpaka niingie kwenye huo mtego ni sijui hata, nna jamaangu kawa pressurized na familia na kapata older women ila ana mizigo tukaenda kula wali keshokutwa tu lakini akitoboa hata mwaka me ntamwekea sababu posta, sababu jamaa ni anaupiga vitoto vya 2000 mpaka nomaaa
Na wewe utakuwa hivo 😀
 
Never ever kataa ndoa ni kwa watu timamu wa akili.Mamluki wapo ila tumekuwa tukiwafichua na kuwafukuza chamani.


Karibu chama la wana kataa ndoa huku hatuombi unyumba wala kupewa kwa masharti.

📌📌📌Kataa ndoa,ujilie mema ya dunia bila vificho, bila vipimo na bila masharti!!!

Mkuu, ni nini hasa kinachokufanya ukatae ndoa?
Je, (i) Uchumi haujatengamaa?
(ii) Ubinafsi na uchoyo?
(iii) Hitilafu ya kibayolojia kwenye VIA vya uzazi?
(iv) Udhaifu katika kupambana na changamoto?

NDoa ni zaidi ya kujilia mema ya dunia bila vificho, bila vipimo na bila masharti.

Unaweza kunipatia experience ndogo tangu ulivyokuwa mdogo mwenye utambuzi jinsi ulivyokuwa ukiwaona wazazi wako wanaishi, wanawalea na kufurahi kwa pamoja kama familia?
 
Ndoa ni muhimu kwa ustaw wa familia haijalishi mapunngufu ni mengi kiasi gani lakin Bado ndio ishakuwa ndoa Muombe Mungu akupe mtu sahihi
Hata maisha yanachaangamoto nyingi lakin haituzuii Kuishi na tunapambana wengine wanatoboa japo wapo wanaojiua pia so kilakitu kina nafas na muhimu kwenye maisha
Okay basi fanyeni kuoa au kuelewa iwe kama mtu kaamua kubaki na govi au kulikata haina impact ya moja kwa moja kwenye maisha ya mtu, waacheni watu Waishi maisha Yao.. .
 
Kuliko kuishi na kulala na gaidi anayeniwazia nife arithi mali.Bora nikafungwe Gwantanamo!!!


📌📌📌KAMA UNAAKILI TIMAMU,KATAA NDOA!!!
Poleni sana mnakutana na mifano mibay sana lakin after Ten yrs utakuja kuyalamba matpshi Yako
 
Clean sheet 😂😂😂😂😂 , me mpaka niingie kwenye huo mtego ni sijui hata, nna jamaangu kawa pressurized na familia na kapata older women ila ana mizigo tukaenda kula wali keshokutwa tu lakini akitoboa hata mwaka me ntamwekea sababu posta, sababu jamaa ni anaupiga vitoto vya 2000 mpaka nomaaa
Hakuna kataa ndoa fala mimi huwa nawaamibia humu JF kataa ndoa wote tunaaakili huwa tunaona yajayo na kuyaepuka.Yaani huko mtaani ni paranganyika ila bado kuna mafala yanaoa alafu vilio vyao wanatuletea sisi BIG BRAIN KATAA NDOA😂😂😂🙌🙌🙌
 
Unaweza kunipatia experience ndogo tangu ulivyokuwa mdogo mwenye utambuzi jinsi ulivyokuwa ukiwaona wazazi wako wanaishi, wanawalea na kufurahi kwa pamoja kama familia
Hili nalo tatizo mkuu Tena kubwa Kuishi n wazazi kupendwa na wazazi huwez kutamni et nizae nisioe labda uwe kichaa maybe wale waliofiwa naweza kuwaelewa
 
Poleni sana mnakutana na mifano mibay sana lakin after Ten yrs utakuja kuyalamba matpshi Yako
Hakuna mifano mibaya au mizuri ningerudishwa karne ya 17 au 18 ningeoa ila haya magumegume yaliopo saivi mtu kaanza kuchezea paipu tangu primary,sekondary, chuo,mtaani.Na bado unanishauri nioe, never ever!!!

Acha tuendelee kuwabadilisha kama vidaladala.hakuna namna wala jinsi ni kuchapa ilaleeeeeeeee......

Babu zenu walikuwa na busara na hekima kuwakeketa wanawake na kuwanyima mali. Pia walihakikisha wanawake hawaendi shule.Hao ndo walikuwa wanawake wanaoweza kuishi na mwanaume.Hawa wa sasa ngoja tuendelee kuwapanua mashimo mpaka kieleweke.Lakini kuoa ni ndoto za mchana.

📌📌📌Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
 
Hili nalo tatizo mkuu Tena kubwa Kuishi n wazazi kupendwa na wazazi huwez kutamni et nizae nisioe labda uwe kichaa maybe wale waliofiwa naweza kuwaelewa
Chimbuko kubwa huwa ni hili likiambatana na mengine mengi.
 
Back
Top Bottom